Le Mutuz amuonyesha baby wake

Status
Not open for further replies.
Mim huyu baba ananishangaza...kichambo alichooga juzi hakijamtosha....misifa hii daah
 
Mmmh jamani hivi top 3 ya miss Tz 2011 si walikuwa Salha, Starcy na Alexia? Huyu anaitwa nani coz sura hainijii kabisa
 
atakua lini huyu jamaa ,limwili na mambo yake kama mbingu na ardhi alitakiwa kuwa na wajukuu na nkukoment mada za akili hahahahahahahahah
Huwa nashindwa kumshangaa huyu jamaa...umri ,personality na anachoongea haviendani kabisa!!! nafikiri ali skip somewhere kwenye ukuaji wake manake anachofanya ni mambo ya 20's .....au umekulia nje mkuu,then yakakupita ???unatuaibisha wakubwa wenzako!!!
 
Mnayemchokoza atakuja sasa hivi..kashaamka anajipiga selfie kwanza za kujilinganisha na mbutaaaaaaa......!
 
Yaani Tanzania mtu akishakuwa kit.ombi mnamwita bilionea
 
Nipo Interested na aina ya camera hiyo naona ina pixel za kutosha..
 
Hahahahahaha.... you know hahahaha..... you know the le billionea hahahaha..... you know....
 
hahahaha you know my mbaby wangu hahahahaha you know the le mbulura babu jinga hahahaha you know..
 
Duuuh waswahili hatuna kazi haki. Badala tuwekeane ya maana humu tuepukane na umaskini unaumiza kichwa kujadili life la mtu ambaye hata hakujui humjui. Mbaya zaidi hata kumi huingizi kwa kumjadili. Kila mtu ana maisha yake na kila mtu amechagua jinsi ya kuishi. Mwacheni Lemutuz awe babu awe aje it his life. Angalia life yako wewe. Mtu anatumia nguvuuuu kutaka jua kitu ambacho hakimsaidii kitu. Sasa ukishajua hayo kuhusu le big itakusaidia nini? Awe nyie ndiyo mnataka muwe mbebiz wake? Shame¡¡¡¡¡
 
U know big up a.k.a mbulura mtu mzima ovyo
 
Diversity is the salt of life. Let the brute entertain.

We can't all be cerebral celebrities, that would be boorish and boring, ironically so.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…