Le Mutuz amuonyesha baby wake

Status
Not open for further replies.
lakini mchumba wa le mutuz ni mzuri sans, halaf ana akili sana. hongera le mutuz kwa kupata mbebe wa ukwel

- Mbaby wangu hujamuona bado cause sijamuonyesha so tuliza boli kwanza U know!!, halafu hii ni page ya 7 kuelekea ya nane kama kawaida ya Le Mutuz Big Show big Celebrity U know

Le Mutuz
 
- Mbaby wangu hujamuona bado cause sijamuonyesha so tuliza boli kwanza U know!!, halafu hii ni page ya 7 kuelekea ya nane kama kawaida ya Le Mutuz Big Show big Celebrity U know

Le Mutuz

mbebe wako si ulisshamuweka kwenye blogu yako? au yule umeshampiga chini?
 
- Mbaby wangu hujamuona bado cause sijamuonyesha so tuliza boli kwanza U know!!, halafu hii ni page ya 7 kuelekea ya nane kama kawaida ya Le Mutuz Big Show big Celebrity U know

Le Mutuz

Khe wafurahia page kuongezeka kwenda ya nane........

Mungu akunyime vyote ila sio upeo wa kufikiri U know
 
- Mbaby wangu hujamuona bado cause sijamuonyesha so tuliza boli kwanza U know!!, halafu hii ni page ya 7 kuelekea ya nane kama kawaida ya Le Mutuz Big Show big Celebrity U know

Le Mutuz

Nikimwangalia Hussen mwinyi, amani karume, January, riziwan, nape, Richard,fred nakuonea huruma sana na umri wako huu wa kustaafu, ata watoto anakutunzia mkeo....Aya twende page ya 8 sasa ndio ulichobakiza kujivunia. age mates wako kina Pinda wanachanja mbuga we umekuwa omba omba eti gia yako unajulikana.
 

hahahahaaaaaaaaaa Age mate kina Pinda.....umenifanya nicheke sana aiseeeeeeeeeeee
 

- wote uliowataja ni marafiki zangu wa karibu wanafanya siasa mimi nafanya biashara na nipo nao karibu kila siku kwenye maisha, pole sana maisha sio kuwa Waziri tu au mbunge, na ninaridhika sana na my life, sijawahi kuwa omba omba siku nikiwa nitarudi kwetu kijijini, umri wa Pinda ni wa Dr. Silaa vipi mke wake yupo wapi mburulazzzz wewe hahahahahahaha

- Na wewe kama ulivyosema mwenyewe utaendelea kutuangalia wanaume tunavyoendelea wewe kazi yako itakuwa ni hiyo ya kujua watoto wa viongozi wnafanya nini nani ana mke nani hana nani ana watoto nani hana, ndio kazi za mburulazzz sisi tunasonga mbelezzz U know

Le Mutuz
 
page ikiongezeka kwenda ya 8 we unaingizaje pesa U know......

- Ninapokwenda kutafuta matangazo ya biashara online huwa ninawaambia angalia JF kila ninapotajwa huwa sio chini ya Page 10, that is how it works huwezi kupata yale matangazo kama niliyonayo ya Airtel na Vodacom kama hujulikani sana kwenye mitandao, I hope umeelewa U know hahahahaha

Le Big Show
 
hahahahaaaaaaaaaa Age mate kina Pinda.....umenifanya nicheke sana aiseeeeeeeeeeee

- hii hata mimi inanivunja mbavu I mean mtoto wa kwanza wa Pinda tupo sawa sasa tena nikawa sawa na baba yake ni dalili za kushindwa mjadala hahahahaha mmezoea kutukana wasiojibu unaona mkijibiwa mnavyo panic, hgahahahahahaahahah

Le Mutuz
 
Hahhahahahha uknow am 20 ww vp?? Nahic utaki kukubaliana na matokeo kwamba umri umeendaa u know!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…