Yani ajabu. Huyo mange mwenyewe mwanawe wa kwanza Bhoke si kampata kwa ukahaba huohuo? Kweli nyani haoni kunduleNimemshangaa Sana mange kumsimanga na kumtolea maneno machafu ya kuwa yeye ni mtoto wa nje ya ndoa kwamba upatikanaji wake ulitokana na ukahaba wa mama yake wakati huo huo yeye pia alipatikana kwa njia hizo hizo.
Imenishangaza Sana nadhani hayuko sawa kiakili mange
Nilibaki mdomo wazi kuona anayakana maandiko yake mwenyewe aliyoyaandika ndani ya week 1 tu.Lembebez muongo muongo aliandika ya kwamba aliempiga picha ya kibamia alitumwa na x wake na Leo kakana Kua dr Mwele hajamchangia kwenda kutibiwa india .Day One alivyoona msiba una kick aliandika My super sister alinichangia na kuhakikisha anafatalia afya yangu kwa madaktari wote walionitibia kila wakati kwa simu
Na watoto wa house Boy wanakuwaga na viherehere sana.... kujifanya ni wa halali, hasa hasa kufungua ma- gate usiku hiki kinawaokoa weengi sana! kuumbe nyuma ya pazia mweee!! utayamba kifukuto!Pole mtoto wa hausiboi
Hayo ni mambo yao ya kifamilia.
Kwa nini watu wanajali sana? Yanawahusu?
Angeenda, asingeenda, kwangu haijalishi hata kidogo!
Na watoto wa house Boy wanakuwaga na viherehere sana.... kujifanya ni wa halali, hasa hasa kufungua ma- gate usiku hiki kinawaokoa weengi sana! kuumbe nyuma ya pazia mweee!! utayamba kifukuto!
SAsa wasipo oa huku na kule!! wakati hela wanazo!! hao wengine tupate wapi huduma???...ndo maana mnawawaisha kuzimu bila kutubu!!.... safi sana hao ndo wanajua akioa huku na huko ana ulinzi tosha ..Lemutuz anagombania urithi instagram na dada zake ikiwa baba Yao hajafariki
Wanaume msioe uzeeni mnawaletea shida watoto wenu wanaume msichepuke kuzaa huku na kule mnafanya familia zilogane, na ziwindane kutoana roho
Pole ujipe weye usiye jiujua!Pole
SAsa wasipo oa huku na kule!! wakati hela wanazo!! hao wengine tupate wapi huduma???...ndo maana mnawawaisha kuzimu bila kutubu!!.... safi sana hao ndo wanajua akioa huku na huko ana ulinzi tosha ..
mke mkubwa ukimuua tu!! hawa wanakupigia kelele!! oooh! ulimuua Baba yetu ili urithi mali na wanao!! na wewe tuna kuua!! bora umuache arithi asomeshe wa huko na huku!! waishi maisha yao km wao!!
Tatizo ni sisi wamama ndo tunasababisha!...yaani utasemwa mpaka ufe hai!
Kwahiyo pesa alipewa halafu leo anakana,yule babu anastress za kufa kenge kwahiyo roho mbaya yake itamcost...hapo alipo ni spana mkononi kma gari la mkaa,akicheza yeye atazikwa na mzee instead ya yeye kumzika baba,umri huo sio wa kuwaza mali za babaLembebez muongo muongo aliandika ya kwamba aliempiga picha ya kibamia alitumwa na x wake na Leo kakana Kua dr Mwele hajamchangia kwenda kutibiwa india .Day One alivyoona msiba una kick aliandika My super sister alinichangia na kuhakikisha anafatalia afya yangu kwa madaktari wote walionitibia kila wakati kwa simu
Yaani hata usemeje Me'' wote wanajileta tu!! km mbwa kwa chatu!! wanaume kwangu kamwe hawana ujanja wowote!!sababu najijua!! kweli ke'' mpo wenye sura ngumu mtauza uji!! watanunua ebu nikuulize wapi uliona mrembo ka mie anauza Uji!??Mdangaji at work 😿😿 kwani wewe ni kilema mama , tafuta mali zako uza hata uji hacha kuvizia wazee
Yaani hata usemeje Me'' wote wanajileta tu!! km mbwa kwa chatu!! wanaume kwangu kamwe hawana ujanja wowote!!sababu najijua!! kweli ke'' mpo wenye sura ngumu mtauza uji!! watanunua ebu nikuulize wapi uliona mrembo ka mie anauza Uji!??
ikitokea hivo atauza siku moja tu!! tena haendi mbali!!! Boss wa kampuni ataununua wote na mie jumla ya mazimaaaa hutarudi tena barabarani!! ukiona umeuza uji mwezi mzima jua tu una kimavi!...sisi ndo tua run Dunia bibi weye!!
saana mrembo utamkuta Bar na hapo napo kamwe hakai anazolewa jumla tena na mwenye hela haswaaa!!! palee Dodoma Bungeni kamwe hakuna ke mwenye Sura ngumu!! km mie muongo nenda uone km sura yako ngumu!!!!
na wengi humu avatar zenu !! siyo sura zenu, wachache sana ambao tumeweka sura zetu halisi!!! naamini km wewe ungekuwa km avatar yako ilivo!! ungepata soko la uhakika Duniani!! ungekula kiubwete!! hakika nasema......
Tangu kuumbwa kwa Dunia Warembo hatuhangaikagi!!...ulizia popote!!!....wazee vijana ilimradi kana naniliu.. wanaumeeee .ni halali yetu wameumbwa watulishe!! watuvishe!! watake wasitake !!! ukiuza uji kwa shida jua u janamke zembe sana weye!!
Dunia nzima inatutetea Beijing sisi wazee wazima walikaa pale ajili yetu papuchi tu ikawakalisha pale!! jitambue!!! tunawaliza km watoto!! yaani naweza kwenda ikulu pale nikawapiga askari makofi wooote!! na hawata nifanya kitu!!!
saaana wanaume walivo wajinga wataomba na papuchi!! hapohapo!! ... hata ukiwaahidi uongo!! wanakuachia na nauri wanakupa!! kimbembe aende kidume afanye ivo Maweeeeee!!! afwaaa mbona watamtafuna kavukavu
CD siyo dhambi walikuwepo tangu zama!! wapo na watakuwepo!! ...... kasome upya!! anaza mwanzo!! ujue Bibi yake Yesu alikuwa nani?? Magdalena mwanamke pekee aliyekuwa karibu na Yesu alikuwa CD mwenye hela!!.......Kwa hivyo wewe ni changudoa?? Umekuja kujiuza kwa great thinkers 😿😿😿😿Mbona wewe ni mdogo kama hiyo avatar ni wewe tafuta kazi ufanye mdogo wangu Dodoma tu natoa house girls wengi fanya hata hiyo huku sisi ni great thinkers hatushindani kudanga hatushindani kwa uzuri
Huku sio instagram wala tik tok huku tuna challenge kwenye issue za msingi za Taifa let una ndio maana hatuoni umuhimu wa picha zetu kwa Kua Kua hatujiuzi
Baby jaribu kupima na angalia kwa uzuri na jifunze kwa Rais wetu bongo hapo!!! huyo Mama ni Mzuri tena Bomba hasa, Mwili mzuri make guu ni guu hasa!! mengine sisemi hapo kazeeka je alipokuwa kijana??...Mabinti zake umewahi waona wale?? ...Kwa hivyo wewe ni changudoa??
Hapo kweli hata mimi kama kanichanganya. Ila kwa kweli yanayoendelea huko Inst wanamuaibisha mzee Malecela sana, huyu mzee kashika nafasi nyingi serikalini hamuwezi kwenda kumuabishia family yake na wala hakuna family isiyokuwa na matatizo lakini watu wanaficha mambo ya kifamily. Yule Mama mke wa mzee ukimuangalia tu unajuwa huyu Mama sio mtu mwema utaona Nuru tu usoni. Tuache hayo Mzee gawa mali zako waite watoto zako wote mpe kila mtu haki yake au hawa watoto zako watakuja kuuwana huko mbele. waite macho makavu wape za usoni na kama ukiona wanakuzingua wape mali zako utakaowapenda hata nje ya ukoo sasa kama kweli wanakupenda kama Baba waendelee. Mtu bado mzima mnaanza kugombania mali? shame tafuteni zenuLembebez muongo muongo aliandika ya kwamba aliempiga picha ya kibamia alitumwa na x wake na Leo kakana Kua dr Mwele hajamchangia kwenda kutibiwa india .Day One alivyoona msiba una kick aliandika My super sister alinichangia na kuhakikisha anafatalia afya yangu kwa madaktari wote walionitibia kila wakati kwa simu
Mtoto wa kwanza anakuaje wa nje ya ndoa na Mbona Mzee malecela ameoa gold digger Hawa topata kituNimemshangaa Sana mange kumsimanga na kumtolea maneno machafu ya kuwa yeye ni mtoto wa nje ya ndoa kwamba upatikanaji wake ulitokana na ukahaba wa mama yake wakati huo huo yeye pia alipatikana kwa njia hizo hizo.
Imenishangaza Sana nadhani hayuko sawa kiakili mange
Sure sikuona ndugu yake yeyote kwenye msiba wa mama yake.Kuna watu wanamfatilia sana le mutuz kutwa kujigeuza mahakimu wa maisha yake mbona kwenye msiba wa mama yake hawakuuliza kwann ndugu zake wengine hawakwenda kumsaidia.
Jamaa kaumwa sana mwili wote umeporomoka ila hawaoni wanachotaka afanye wakitakacho wao aiseee