Le Mutuz ashindwa kuhudhuria mazishi ya Dkt. Mwele mkoani Dodoma

Le Mutuz ashindwa kuhudhuria mazishi ya Dkt. Mwele mkoani Dodoma

Na wa kwanza kumcheka na kumsimanga ndo huyo huyo leo analia kafiwa na Mama wa kambo ambaye ni Dada wa le mutuz. Sijaelewa sababu za Mwele kuacha kaka yake kudhalilishwa kiasi kile na the so called daughter
Tena wakawa wanamcheka eti mama yake anaishi kwenye nyumba mbaya!

Kuna watu wanapenda sana kufuatilia maisha ya watu utadhani wanapata ujira.
 
Huyu lemutuz anamiaka 60+ lakin uandishi wake utasema kachalii kenye miaka -25 yaani utoto mwingi anajisifu balaa.
Watoto wa kishua huwa hawakomai kiakili muda wote wanajiona watoto tu
Jidanganye hivyo hivyo we utajifananisha na mo ambaye ameibrand kampuni ya familia na top company in East Africa?umasikini utakumaliza wewe jamaa
 
Kuna watu wanamfatilia sana le mutuz kutwa kujigeuza mahakimu wa maisha yake mbona kwenye msiba wa mama yake hawakuuliza kwann ndugu zake wengine hawakwenda kumsaidia.

Jamaa kaumwa sana mwili wote umeporomoka ila hawaoni wanachotaka afanye wakitakacho wao aiseee

Yeye si celeb,sasa hayo ndio matunda yake yaumaaru mavi
 
Jidanganye hivyo hivyo we utajifananisha na mo ambaye ameibrand kampuni ya familia na top company in East Africa?umasikini utakumaliza wewe jamaa
Mo wa tiktok? Yule anabahati tu ya maisha Mambo anayo tweet ni ya kipuuzi sana na tabia yake ya kususasusa inaashiria ni jinsi gani anaakili za kitoto japo ni tajiri
Kiukomavu huwezi kumlinganisha na husler kama bakhresa
 
King of All Social Media Bongo! William Malecela na ndugu wa Karibu wa aliyefariki nje ya nchi kwa Saratani Dr. Mwele Malecela, ameshindwa Kufika nyumbani Mvumi kwa kile alicho Dai Afya yake Haikumruhusu baada ya kuwasiliana na dr wake.

Mfanyabiashara huyo maarufu bongo na mwanamitandao amesikitishwa kwa maneno ambayo yamekuwa yakizunguka kumhusu yeye kutokushiriki Mazishi hayo ya Dada yake.


"AlichikisemaView attachment 2126973
Duh,SONGI,SONGI😂😂,hapa kweli mmemchafua kaka mkubwa.....
 
Lakini dr.wake ni prof.janabi ujue utabakia na majungu yko hayo
Kutibiwa na Dr. Janabi ni maajabu? Kwa taarifa yako mara kibao nishatibiwa viugonjwa vya kawaida kabisa na Daktari wa Rais mmoja wa nchi za Kusini mwa Afrika, sembuse Leo Mutuz mwenye tatizo kubwa la kiafya. Dr. Janabi si anatibu yeyote hata wewe muokota makopo.

Nimeuliza mitindo anafanyia wapi na biashara ni zipi ili niwe stakeholder. Nilichouliza ni majungu kwako kwa sababu akili zako hazina akili!
 
Amesema mitandao sio mitindo.
Hapo sasa nimempata. Mitandao yake huwa naifatilia pamoja na kuonekana wa maajabu ila kuna kitu fulani uwa napata kwenye lifestyle yake. Kuhusu biashara ndio sijajua kabisa
 
King of All Social Media Bongo! William Malecela na ndugu wa Karibu wa aliyefariki nje ya nchi kwa Saratani Dr. Mwele Malecela, ameshindwa Kufika nyumbani Mvumi kwa kile alicho Dai Afya yake Haikumruhusu baada ya kuwasiliana na dr wake.

Mfanyabiashara huyo maarufu bongo na mwanamitandao amesikitishwa kwa maneno ambayo yamekuwa yakizunguka kumhusu yeye kutokushiriki Mazishi hayo ya Dada yake.


"AlichikisemaView attachment 2126973
1645522550254.png
  • Kama Daktari wako alikukataza kutosafiri kwanini sasa hukusafiri? Huoni kama umekaidi amri ya daktari!!!?​
  • Msiba wa ndugu yako wa damu unawakilishwa na mtu wa nje ...Nchimbi, lengo ni nini​
 
Back
Top Bottom