Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Na wa kwanza kumcheka na kumsimanga ndo huyo huyo leo analia kafiwa na Mama wa kambo ambaye ni Dada wa le mutuz. Sijaelewa sababu za Mwele kuacha kaka yake kudhalilishwa kiasi kile na the so called daughter
Tena wakawa wanamcheka eti mama yake anaishi kwenye nyumba mbaya!
Kuna watu wanapenda sana kufuatilia maisha ya watu utadhani wanapata ujira.