Diaspora makorokocho huyo, US kulimshindaSasa nimekubaliana na wale wanajitahidi kumrekebisha hapa jukwaani akina Matola, stata mzuka, Kim nana Muuza Sura na wengine endeleeni kumfunza
Huyu diaspora!!
Umri na mambo yake tofauti unakuta anapita mitaa ya sea veaw kafungulia sauti mpaka kero anafanya vitu utadhani under 20
...
....Kada wa CCM
Mie nilionyeshwa 2010 mama ake nikaambiwa kuwa alipata damage ya ubongo baada ya watoto wake kupata ajari ya ndege,sikuamini maana nilivyomuona na kujua status ya mzee doh,nilimuona pale Mpemba nawahakikishia Le mutuzi hawezi weka picha ya mama ake hapa hii ni kutokana na maisha anayoishi huyu mama ni tofauti ujinga anao ufanya Le mutuz kwenye mitandao!
One of the stupidest persons in the UNIVERSE