William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Tatizo lako unakua mwili akili kisoda muda huu ulitakiwa kuwa karibu na mama tuseme unauguza matokeo yake upo humu kuonyesha picha eti hotel ya 5star GR... Hili sio jukwaa la picha punga kweli peleka mashavu yako huko tatizo umekaa kupenda sifa za kijinga tu.
Mpuuzi ni kumuacha na upuuzi wake tatizo lako unataka usifiwe na vitu vya ajabu ajabu
ili jamaa halijiongezi tu sijui litakua lini
\Sio kila ki2 utasifiwa na ukiwa mpenda sifa mwisho wke mbaya,hivi kuweka dirisha l nyumba then unasema nyumba y mama yko ina sound kua hakuna nyumba ni banda 2 kma la marehemu bi kidude.nyumba huwa inapigwa picha frontview sio dirisha l kichochoroni
ili jamaa halijiongezi tu sijui litakua lini
- hahahaha kumbe unazim,ia na Davis Mosha ndio maana kila post lazima umtaje vipi unataka awe rafiki yako nini I mean wewe umeshawahi kuona watu kama Davis wanakuja kuandika kama wewe kuhusu nyumba ya mama yako bila picha? hahahahaha eti mama yako ana nyumba kama MAsaki weka hapa tuone si unajua wapo watu wanakukuja hapa itakuwa aibu hahahahahahaha eti Davis Mosha anakujua wewe? hahahahahahahah
- Tunapokuja Kiboloni huwa tunaenda kwa Macha tu sio wewe wacha kujikweza na kujipa kiki kaka hahahaha you are no body!!
Le Mutuz
Akili imedumaa huyu haikui tena
Davis Mosha ni Mungu?? We mpumbavu Davis nimeanza kumjua tangia akiwa na hustles zake pale Moshi gorofani.. Na ndio maana kila December akirudi nyumbani lazima apite pale stand kuwaona makachaa wake aliowaowaacha.. Nenda kamuulize anaijua sana hii surname. Na Moshi Sikai kibololoni, kwetu Machame paka wewe. Kujuana na Davis unaona ni bonge la bahati kukutokea maishani mwako eeh..
- Ilikuwa ni safari yangu ya kwanza toka nirudi Majuu, nikaitengeza na kuwa ilivyo sasa tofauti na hiyo na sasa naitengeneza tena hiyo picha ilikuwa zamani mara yangu ya kwanza kurudi bongo Miaka 4 iliyopita sasa hivi ipo hivi:-
- Hii ni baada ya kuijenga upya niliporudi na sasa naifumua tena, pole sana hope netx time utaweka nyumba ya mama yako tuone ukweli ulipo hahahahaha
Le Mutuz
- Davis Mosha humjui please weka nyumba ya mama yako kwanza Davis humjui na hakujui kaka wacha sifa za kitoto weka nyumba ya mama yako hapa tuone ukweli hahahahaha kama haikuwa aibu!!
Le Mutuz
Kwa maelezo yako haya nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yako babu yangu le mutuz!
Kimsini naweza kuwa mjukuu wako, ila nadhani mpaka sasa kwa kibarua changu cha kuganga njaa hiki nilichopata mwaka 2010 nimemfanyia mengi makubwa mama yangu ambayo hata yeye hakuwahi kuimagine hapo awali.
Nimeanza kumjengea mama nyumba bora na ya kisasa mwaka huu. Tizama picha hapa.
Trust me babu angu, I got genuine and unconditionaly love na mama yangu at my late 20 age naanza kumfanyia haya mama yangu...it definetely give me a great joy to such sweet togetherness na mama yangu....na ndio sikumaliza chuo, wala kwenda marekani wala kuingia kwenye CCM.
C'moon le mutuz u can do this sir!
Akili imedumaa huyu haikui tena
kavurugwa huyo le tumboz eti tundumanzima iyo ndio nyumba nzuri huoni aibu kusema uongo kweli huyu UVCCM kadumaa
Le mutuz amesema nyumba ya mama yake haina hadhi ya kuishi yeye hivyo amefikia hotel ya five star
- HAHAHAHAHAHAHAHA unasema hii ndio nyumba ya mama yako wapi hiyo hahahahahahahahah jamani unaona wapiga kelele hahahahahaa umenivunja mbavu yaani msingi wa Shule ya Msingi ndio unasema nyumba ya mama yako sasa hapo anaishi wapi kaka? hahahahahahahahahahah
Le Mutuz
- HAHAHAHAHAHAHAHA unasema hii ndio nyumba ya mama yako wapi hiyo hahahahahahahahah jamani unaona wapiga kelele hahahahahaa umenivunja mbavu yaani msingi wa Shule ya Msingi ndio unasema nyumba ya mama yako sasa hapo anaishi wapi kaka? hahahahahahahahahahah
Le Mutuz
Shule ya msingi iko wapi hapo sasa.. Kaanza kujenga mwaka huu which means tangia ameianza hazijapita hata siku 10. He is still on 20's.. Wewe unakaribia umri wa kustaafu ndio leo baada ya kupigwa maneno anadanganya una renovate nyumba.. Mpumbavu ww.. Kwahiyo umekuja kukumbuka mama anakaa bandani baada ya mama kuumwa
Naona unajifariji kwa kicheko cha nyuma ya keyboard! Ila najua unaumia ndani kama una busara!
Nakuhaidi nitamjengea mama yangu nyumba murua saana maana nimeanza sasa.
Mama yangu ndio sababu hata natafuta hela..kuna watu lukuki hawana mama na wangetaka kuwa na mama zao ili atleast walipe fadhila.
Please!!! Promise kama kweliutamjengea mama nyumba na kuleta mrejesho hapa. Please!!