Le Mutuz azidi kumvaa Juliana Shonza

Team shonza na ndugu yake mwakyembe safari ya nape nnauye inawahusu
 
Em wacha tusubiri mwisho wa hili picha...

Mastaring wanne....
 
HIVI AUDIO YA WIMBO WA BONGO BAHATI MBAYA UNA KOSA GANI MPAKA UFUNGIWE ?
 
cc Wakudadavuwa
 
LEmutuzi anaishi kwa kutaka huruma ya watu..ni mnafiki no.moja nchini

Refer majizo..anaishi kwa huruma ya watu
 
Le babies ni mnafki mzee u know,am so humble u know
 
Hakuna thorough vetting Tz ya leo ni utashi tu wa kiongozi
 
kweli kabisa mkuu
 
Naunga mkono hooks
Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?
P
 

Comrade hivi ulivyounga mkono hii ' Hoja ' yangu ' nzito ' kwa Verified ID yako kabisa haitokuletea ' madhara ' yoyote huko mbele na hasa ikijulikana kuwa Wewe ni Mwanahabari ' Nguli ' na huyo uliyeunga mkono kumsema Kwangu anawajibika moja kwa moja katika hii ' Tasnia ' yetu Mimi na Wewe?

Ushauri tu kama mdogo wako na unajua kuwa nakukubali mno Kaka yangu siku nyingine ikiwezekana uwe unatumia ' Fake ID ' humu ( ambayo hata hivyo najua unayo ) ili uweze kuwa na uhuru mpana wa kutoa mawazo yako lakini kwa kuendelea Kwako ' Kujianika ' hivi moja kwa moja ' naogopa ' sana Mkuu na bado wana ' Tasnia ' tunakupenda na tunakuhitaji sana.

Take this ' seriously ' Brother.
 
Huyu aliteuliwa ili kuikomoa chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…