Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Sasa kama unakubali kuwa ana-hussle na maisha muache ale bata kivyake.
Comments nyingi ni Sour grapes if you ask me!
 
Wakuu huyu jamaa vitu anavofanya havifanani kabisa na umri wake..hustling zake sawa na appreciate lakini kwenye picha kama hizi noo

Aliyekuambia Ukubwa Wa Matako Ndiyo Wingi Wa Nnya Ni Nani?
 
Dada zetu ndo wawe makini huu udhalilishaji hawo anawapost na hizo caption sjui wanachukuliaje kama wanapenda wenyewe SIO Poa wanadhalilisha mama zetu 😠😠😠 life is the cycle watoto wake wakifanyiwa huu udhalili atafurahi??? Hatuzuii ku post pic ila HAYO maneno anayoandika ndo sio mpango!
 
God Made Man, Man Made Monaey and Money Made Man Mad
 
Huyo mtu ndio kachagua maisha ya hivyo...

Kumuandika humu sidhani hata kama mshipa wake wa aibu unashtuka hata kidogo...
 
Ni kweli mkuu Watu8, kwake yeye hapo malengo yametimia. Maana kama anaandikwa ina maana wameona, na ndio lengo lake.
Nakubali, watu tunatofautiana 'ghorofani'.
 
Last edited by a moderator:
Muacheni ndio life alilochagua na linamuingizia pesa na yupo happy kama alivyooandika kwenye picha....
Hongera sana le mutuz
Kila mtu na starehe yake...

Msilete uzamani eti baba mwalimu na watoto wawe walimu hapana kila mtu ana njia yake ya kutokea.
 
Jamaa anajua kujitangaza na kujibrand kwa specific business anayofanya.

Nilikuwa simuelewi sana mwanzoni,but nimekuja kuanza kumwelewa. its all abt marketing and publicity .

Na kwa revenue stream yake ya sijui bloging na matangazo nadhan yupo sahihi. Huwezi kutangaza Club kwa mbinu zile zile utakazo tumia kutangaza Church,utapotea, so nadhan jamaa kafanya segment ya kile anachotaka na watu anaowataka na kawapata na ndo maana kuna alot of threads humu ndan abt him na siyo mtu mwingine au mzee mwingine japo kuna wazee wengi sana wanaofanya zaid yake tofaut ni kwamba yeye anafanya in the name of publicity which is then converted into money.

Ni vile tu my current clients na potentials clients wengi ni wa mrengo tofaut bt amin amin nakwambia kuna baadhi ya biashara hapa bongo ambazo ili ufanikiwe na uwafikie wateja wengi zaid lazima uconsider kuwatumia watu kama akina Le- Mutuz.

Hayo yote yapo ktk jina la Capitalism.
 
Anachosha, lakini ukihangaika sana kuangalia wenzako wanavyoishi utasahau maisha yako... Maisha si mpira kwamba kuna wachezaji na na wengine ni watazamaji tu.
 
Wambie mkuu jinsi ya kujitanua

swissme
 
Ha ha ha alichelewa kuzijua mbunye,amezijulia ukubwani sasa zinamchanganya...
Huyu dada sijui kwa nini anamuonea wivu the big show.hawezi lingana nae kuanzia Elimu pesa matumizi na kila kitu.wewe nenda katembeze (nyembu) bar


swissmw
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…