Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Haya maisha acheni tu jamani. Huyu ndugu alikuwa na mategemeo ya maisha mazuri sana toka udoggoni, baba yake walivyomchinjia kwenye maji ndoto zote zikageuka za alinacha. Frustration zimemfanya awe mtu wa kujishtukia, maisha anayotaka ajioneshe nayo mbele za jamii siyo size yake, mwisho wa siku anabaki kupiga picha na watu maarufu, kupiga picha na vitu vya watu, kuvaa vichenicheni na mambo kama hayo ili aonekane yuko daraja fulani kumbe hakuna lolote! Sasa mwanaume unakimbilia kwenye sitini upoupo tu kama kijana wa miaka 20, kuoa siyo lazima lakini wanawake wanapokukimbia wakati vikao vya harusi vimeshaanza ujue kuna jambo!
[video]https://youtu.be/zaELvv7-T3Q?list=PL57836A96FB08674A[/video]
[video]<iframe width="640" height="390" src="https://www.youtube.com/embed/zaELvv7-T3Q?list=PL57836A96FB08674A" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>[/video]
Hapo kwenye red inabidi rafik zangu <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=141128" target="_blank">warumi</a></b> na <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=193860" target="_blank">Dinazarde</a></b> waje kutoa ushauri maana si jambo la kawaida