BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Teh Teh uknw boss utafungwaaa..
Hahhaha you know loya syiba kraimu inasema "intentionally intended" sasa mpaka babu approve sio kazi ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh Teh uknw boss utafungwaaa..
Hahhaha you know loya syiba kraimu inasema "intentionally intended" sasa mpaka babu approve sio kazi ndogo
hahahahaWatu wengine bwana? Sasa Le Mutuz kama hajaoa mpaka leo wewe inakupunguzia nini? Hata akioa wewe itakusaidia nini?
Mwenyewe ameshatoa tamko kwanini hajaoa mpaka leo na kwangu mimi naheshimu uamuzi wake.Anajua anachokifanya,hawezi kuoa kuufurahisha umma huku ndani kwake hakukaliki.
shati lake tu...mi hoi
Mbona hunitakii mema.....
Nitaanzishiwaje le tamko sasa
hahahaha
Uknw leumemez
Teh Teh uknw shati linafuni scania now...
Mwalimu utafungwa........
ha ha ha sio vits tena
Hivi ni vifaa gani vilivyoletwa vya kufanya kuwakamata watu watakaovunja sheria
hahahahaShati lake le umemezz linatosha kushona suti n suruali yke😃😃
hahahaha
Uknw nimekwenda kukufungulia mashitaka....
Ni ngumu kwa Insta,fb na twitter lakini kwa blog za kibongo na Jf wataweza kucontrol au kuzifunga zikienda kinyume na sheria..wamiliki wa insta,fb na twitter hawawezi kutoa data za wateja wao na ni ngumu kuwabana hata wakiingilia mawasiliano ya wateja wao hiyo itakuwa ni case kubwa sana na ni mgogoro...
page ya sita bado?mbona sijamuona kubwa jinga le mburulaz akipangua hoja?!!
I actually adimire him. Amepata namna ya kuishi kirahisi sana. He is fooling around kusurvive. Bila hiyo akili yake mbovu asingesurvive aisee.
Ulishaona wapi mtu kapanga nyumba, halafu anakaribisha watu house warming party na kiingilio cha sh laki 5?