Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Habari wadau nimekuwa,nikifwalitia mijadala mingi inayohusu maisha ya huyu babu .Nimegundua hata wale haters wake hujikuta wakitumia swaga za huyu babu.mfano maneno yanayotumika sana IG na hapa JF kama lekopozz,letamkozz ,u know ,le mburulazzz. Namegine hata wale wanao machukia huanza kuyatumia maneno hayo ya wanaye mwita mjinga sasa hiyo ni ishara ya kumkubali huyu jamaa. Nawasilisha

- The King Of All Bongo Social Media Network, U know hahahahahaha

Le Mutuz
 
Sasa mkalale.... Grand Pa is down.....
 
Heti downtowns I thought masaki unakaaa wewe bab bomba
 
- The King Of All Bongo Social Media Network, U know hahahahahaha

Le Mutuz

Thread ya kusifiwa na kutukuzwa unakuja kwenye page ya kwanza lakini ukikosolewa na kupewa makavu yako unataka mpaka page ya 10
 
Hakyamungu namwomba Mungu nisije fikisha umri wa huyu mzee nikiwa kituko kama yeye
 
Thread ya kusifiwa na kutukuzwa unakuja kwenye page ya kwanza lakini ukikosolewa na kupewa makavu yako unataka mpaka page ya 10

Inawezekana hii ikawa ni Project
 
Habari wadau nimekuwa,nikifwalitia mijadala mingi inayohusu maisha ya huyu babu .Nimegundua hata wale haters wake hujikuta wakitumia swaga za huyu babu.mfano maneno yanayotumika sana IG na hapa JF kama lekopozz,letamkozz ,u know ,le mburulazzz. Namegine hata wale wanao machukia huanza kuyatumia maneno hayo ya wanaye mwita mjinga sasa hiyo ni ishara ya kumkubali huyu jamaa. Nawasilisha

Kwaiyo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom