Wacha majungu wewe, mbona JPM ni chichiemu na hatetei tumbo lake tu? Huku mlikokaririshwa kwamba CCM ndio adui yenu kutawatokea puani.
Lemutuz mnafki kuwadi na anaishi kwa kuwashobokea watuNi kweli sio wana-CCM wote Wacha1
Uwezo wa kufikiri wa Le Mutuz unatia shaka.
Na hapo anafurahi kusikia/kuona anajadiliwa jf.
Unadhani mfumuliwa malinda ajausoma ukweli huo? Cha msingi sio kujibu...cha msingi the truth must be told...kutaja taja majina ya wanaume wenzako ni tabia za ushoga. Nimetimiza wajibu wangu kuusema ukweli huu.
Wewe nae fanya yako bana. Kutwa kutaja taja majina ya wanaume wenzako. Sasa unataka mabinti wafanye nini? Unataka jamii ikueleweje wewe!? Au mwenzetu sio riziki nini?
Hizi siasa za matukio bado hamjaacha tu jaribuni kufikiria nje ya box. Inaonekana uzi wote huu umekereketwa na kitendo cha le mutuz kuwekwa katika kundi la mastaa , naona kabisa nawe unatamani kuwekwa kundi hilo