Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
K
kwa hili nadhani limekaa kiwivu zaidi, chuki zako naona umeamua kuzipitishia kwa Le Mutuz kisa huwa anaenda kudowe vicent kwa Davis hii si stye nzuri ya kupakazia watu na hutapaswi kuishi hivi.
 
le mutuz nae billionare
Hilo kubwa jinga Le Mutuz ni bora watu wenye biashara zao walikwepe maana linapenda kutupia picha kwenye Mitandao hata Kama mtu anafanya biashara zake kwa mujibu wa taratibu si vizuri kumchafua kupitia Le Mutuz.
 
M
Mkuu kwa hili hata mie nimeona hizo ni chuki kubwa kwa Devis hatupaswi kuishi ktk uongo huu Watanzania tubadilike haraka
 
Siti zote mbili kaenea mwenyewe... itakuwa kakatia siti zote...
 
Achen majungu na wivu Watoto wa kiume
Tafuta na we status yako au hela, Acha ku deal na vitu vya kijinga
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…