Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
Mwacheni le mutuz ale ujana
Hahahahahaaaaa Kufwaaaaa for mee... Le gadem mburulaz in le mutuz mutuz_nation voice
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwacheni le mutuz ale ujana
Lemutuz, hawezi kujilinganisha na msando, lemutuz 56yrs ulipashwa kuwa mbali sana, 56 yrs ndio unalingishia umepata ofisi posta? grow up! Lemutuz anamzidi baba yangu miaka minne. Mi nimekuwa na ofisi na kampuni nikiwa na 26yrs. we ndo unakuja kutupigia kelele now? AIBU.
Kwa hiyo hapo ndo ulikuwa u naangalia usalama wa huyo msanii au?
kwani wewe ni baunsa mzee acha uongo sema ulikwenda kula bata kama waliokuzunguka..hii ni nchi huru mzee kwanini udanganye kwa starehe yako mwenyewe
Ha ha ha jamani 56 hajafika
- Alikuwa ana perfom nikamsubiri alipomaliza nikamsaidia kuondoka, lakini siamini kwamba ni tatizo ina maana hii show imetayarishwa na mtoto wa shule, mwenye Club ni mtoto wa shule, na Wasanii ni watoto wa Shule, si huyu jamaa yako ndiye Mwanasheria wa hawa wasanii wa hii show au nimekosea kama mimi kwenda pale ni tatizo yeye kuwasimamia kisheria ni sawa? Sijaelewa hahahahahaha
Le Mutuz
Ni kweli 56 hajafika ni 54 na kitu. Ha ha ha ha
Licha ya mimi kukupinga ukija na hoja zisizo na msingi lakini kwa hili Msando bush lawyer anabugi na anauvamia mji kwa pupa sana na hata kimaadili ukimfikisha kwenye chama chao cha Tanganyika Law society sidhani kama Learned brothers watafurahishwa na kitendo cha huyu wakil wa Insta.
Cc: EMT
- hahahahaha miaka 56 sijafika ila kwa mtu mwenye miaka 26 kushindana na mimi kwenye Social Media inanipa faraja sana kwamba ninazo akili sana maana hakuna MWanasheria kama unayemsema anayeweza kupoteza muda na mjinga mzee na asiye na akili hahahahahaha I am humbled!1
Le Mutuz
- HAHAHAHAHAH mpaka sasa siamini kwamba mimi Le Mutuz Nation Big Show ninaweza kumkosesha usingizi Mwanasheria kama huyu mtu yaani ninazidi kumshukuru kwa kunipa promo kwamba mimi na yeye hatuko mbali sana kwa akili hahahaha mimi nilidhani yeye yupo mbele yangu kiakili maana nawajua Wanasheria wengi hapa mjini kwamba wana akili sana sasa huyu ni binadam wa kwanza Mwanasheria kunihakikishia kwamba nina akili kama level yake, sina zaidi ila kumchukuru sana ingawa siku hiyo nilikwenda just because nilikuwa Escape One, Msanii mmoja akanipigia kwamba anahitaji nije hapo Mbalamwezi nimsaidie maana alikuwa na wasi wasi na usalama wake that is all lakini kama ninamkosesha usingizi MWanasheria wa Dunia kama yeye basi I am humbled sana!!
Le Mutuz
Hahahahahaaaaa Kufwaaaaa for mee... Le gadem mburulaz in le mutuz mutuz_nation voice
Kwa hiyo hapo ndo ulikuwa u naangalia usalama wa huyo msanii au?
Hawahawa ukiwakuta kwenye thread za Diamond kwa nini anadate na Zari mwanamke ambaye ni sawa na mama yake watakujibu age just a number ila akija Le baharia age ndio inamata? Ade gamisu.
- HAHAHAHAHAH mpaka sasa siamini kwamba mimi Le Mutuz Nation Big Show ninaweza kumkosesha usingizi Mwanasheria kama huyu mtu yaani ninazidi kumshukuru kwa kunipa promo kwamba mimi na yeye hatuko mbali sana kwa akili hahahaha mimi nilidhani yeye yupo mbele yangu kiakili maana nawajua Wanasheria wengi hapa mjini kwamba wana akili sana sasa huyu ni binadam wa kwanza Mwanasheria kunihakikishia kwamba nina akili kama level yake, sina zaidi ila kumchukuru sana ingawa siku hiyo nilikwenda just because nilikuwa Escape One, Msanii mmoja akanipigia kwamba anahitaji nije hapo Mbalamwezi nimsaidie maana alikuwa na wasi wasi na usalama wake that is all lakini kama ninamkosesha usingizi MWanasheria wa Dunia kama yeye basi I am humbled sana!!
Le Mutuz
Hawahawa ukiwakuta kwenye thread za Diamond kwa nini anadate na Zari mwanamke ambaye ni sawa na mama yake watakujibu age just a number ila akija Le baharia age ndio inamata? Ade gamisu.
acah uongo ulijibu kwamba una hang out na hao teenagers wenzako sababu wanatengeneza asilimia kubwa ya wapiga kura, hiloooooo
Aisee we Mutuz ebu niambie upo kitengo gani cha polisi au kampuni gani ya ulinzi?
Maana naona umejinadi ulienda kumpa eskoti msanii  aisee we ni ----- kweli
Maana naona kila ukijitetea ubwege wako unazidi kula chat acha hizo we mzee
Huu ni muda wako wa kukomaa na hako kaofisi kako la sivyo katayumba then utajikuta unachumbiwa umri wako wenyewe ushaenda kiswele acha utoto we kikongwe sasa
Na uongo wako ndio unakuponza na ujuwaji wa kishwaiin wakati hujuwi kaaaa kimya babuuuu vitukuu wanakutegemea oooh!
Usiponisikia utazidi kupote!
Wewe kwa uwezo wako wa kufikiri hata ukidoubt uanasheria wa Masando siwezi kushangaa!- It is part of it ila nilidhani kwa Mwanasheria kama yeye angekuja na big point kuliko party ya Wasanii anaowasimamia yeye mwenyewe kisheria hapo ndipo sipati picha ha Uanasheria wake kama ni wa kweli au ni wale wale Wanasheria wetu uchwara!1
Le Mutuz