Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.





- Guys mimi ndiye THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK, kwa sasa nipo Lagos/Nigeria baada ya kuchaguliwa na DSTV kuja kuiwakilisha kwenye "2016 AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARDS" infact nipo na Lulu huku na hizi picha ni leo baada ya kushinda hapa kwenye hotel ya Eko Hotel downtown Lagos.

- Mimi ni the Kingkwa sababu ni mimi peke yangu as a blogger ninayefanya Social Media bila kufungamana na kazi nyingine kama Radio au TV, wengine wote wanafungamana na hivyo vyombo mimi peke yangu ndiye sina Radio wala TV lakini ngoma nzito sana ndio maana nimeletwa na DSTV Lagos na nikitoka hapa Jumatatu naruka tena Dubai on Emirates Airlines, i hope nimekusaidia!!

- Halafu tizama sichezi sinema wala sipigi muziki, lakini likitajwa jina langu tu page 10 mpaka 20 viewers 40,000 comments 3000 sasa kama sio King wa Social Media ni nini jamani? hahahahahahah

le Mutuz @Lagos
acha mbwembwe wewe mzeyaziii.. mbona michuzi hafungamani na media....
 





- Guys mimi ndiye THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK, kwa sasa nipo Lagos/Nigeria baada ya kuchaguliwa na DSTV kuja kuiwakilisha kwenye "2016 AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARDS" infact nipo na Lulu huku na hizi picha ni leo baada ya kushinda hapa kwenye hotel ya Eko Hotel downtown Lagos.

- Mimi ni the Kingkwa sababu ni mimi peke yangu as a blogger ninayefanya Social Media bila kufungamana na kazi nyingine kama Radio au TV, wengine wote wanafungamana na hivyo vyombo mimi peke yangu ndiye sina Radio wala TV lakini ngoma nzito sana ndio maana nimeletwa na DSTV Lagos na nikitoka hapa Jumatatu naruka tena Dubai on Emirates Airlines, i hope nimekusaidia!!

- Halafu tizama sichezi sinema wala sipigi muziki, lakini likitajwa jina langu tu page 10 mpaka 20 viewers 40,000 comments 3000 sasa kama sio King wa Social Media ni nini jamani? hahahahahahah

le Mutuz @Lagos
Kaka umetisha wanakusengenya huku na umewaibukia sasa waongee kingine le akili kubwazzz
 





- Guys mimi ndiye THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK, kwa sasa nipo Lagos/Nigeria baada ya kuchaguliwa na DSTV kuja kuiwakilisha kwenye "2016 AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARDS" infact nipo na Lulu huku na hizi picha ni leo baada ya kushinda hapa kwenye hotel ya Eko Hotel downtown Lagos.

- Mimi ni the Kingkwa sababu ni mimi peke yangu as a blogger ninayefanya Social Media bila kufungamana na kazi nyingine kama Radio au TV, wengine wote wanafungamana na hivyo vyombo mimi peke yangu ndiye sina Radio wala TV lakini ngoma nzito sana ndio maana nimeletwa na DSTV Lagos na nikitoka hapa Jumatatu naruka tena Dubai on Emirates Airlines, i hope nimekusaidia!!

- Halafu tizama sichezi sinema wala sipigi muziki, lakini likitajwa jina langu tu page 10 mpaka 20 viewers 40,000 comments 3000 sasa kama sio King wa Social Media ni nini jamani? hahahahahahah

le Mutuz @Lagos
Haaaaaahaaaaaaaa jamaaa nakukubali umegeuza haters kuwa fans wako u know!!!
 
H





- Guys mimi ndiye THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK, kwa sasa nipo Lagos/Nigeria baada ya kuchaguliwa na DSTV kuja kuiwakilisha kwenye "2016 AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARDS" infact nipo na Lulu huku na hizi picha ni leo baada ya kushinda hapa kwenye hotel ya Eko Hotel downtown Lagos.

- Mimi ni the Kingkwa sababu ni mimi peke yangu as a blogger ninayefanya Social Media bila kufungamana na kazi nyingine kama Radio au TV, wengine wote wanafungamana na hivyo vyombo mimi peke yangu ndiye sina Radio wala TV lakini ngoma nzito sana ndio maana nimeletwa na DSTV Lagos na nikitoka hapa Jumatatu naruka tena Dubai on Emirates Airlines, i hope nimekusaidia!!

- Halafu tizama sichezi sinema wala sipigi muziki, lakini likitajwa jina langu tu page 10 mpaka 20 viewers 40,000 comments 3000 sasa kama sio King wa Social Media ni nini jamani? hahahahahahah

le Mutuz @Lagos
HaHahahah.....le mbebez bhana
 
Nani kampa Le Mutuz status ya u-king wa all social media? King gani blog yake imejaa picha za wanawake tu.

Mbona anapenda kujikweza kabla hajakwezwa?
Kujulikana raha sana unapiga hela kilaiini
 
Nani kampa Le Mutuz status ya u-king wa all social media? King gani blog yake imejaa picha za wanawake tu.

Mbona anapenda kujikweza kabla hajakwezwa?
Kwa kuwa yeye ndio mzee pekee ambaye anahangaika na social network mpaka sasa ukilinganisha na wazee wa umri wake
 
HAHAHA WABONGO BHANA.... ALIJIPA ILI NINI SASA??? KWA HIYO NDO AMEDHANI TUTAMSUJUDIA KAMA MFALMEEE??? KWANZA CHOKO TUUUU YULE..... MBONA BLOGGERS WENGINE WASTAARABU NA WANAJIELEWAAA??

- Choko huwa wepesi sana kujisema wenyewe bila kuulizwa hahahahaha kumbe ndio mambo yako hayo? Sasa hapa nani kakuuliza? hahahahahahah

le Mutuz
 
Kwa kuwa yeye ndio mzee pekee ambaye anahangaika na social network mpaka sasa ukilinganisha na wazee wa umri wake

- Kumbe hela zina umri ukifikia umri fulani hutakiwi kutafuta pesa? hahahahahahahah




- Hii ni jana at Batazzzz batannn na le mbebez wewe piga kelele sisi tunakula batazzz

le Mutuz
 
- Kumbe hela zina umri ukifikia umri fulani hutakiwi kutafuta pesa? hahahahahahahah




- Hii ni jana at Batazzzz batannn na le mbebez wewe piga kelele sisi tunakula batazzz

le Mutuz
hivi unaoa lini lemutuz?? umri unaenda ujue, utapiga picha na mademu za watu mpaka lini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom