tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
- hahaha ngoja niwaombe na wewe wakupe Interview mkuu naona umelia sana, hahahahahaha
Le Mutuz
Hizo interview za wauza maandazi na chai kma wewe wa2 wenye akili utawaona kwenye kipindi cha dk 45 itv au disweek prospective channel ten,baba mzima unahorojoka ovyo kua unajina mjini,jina ki2 gani wakti watoto wadogo wanahela na kelele hawapigi
- Maumivu ya kuwachwa mama yangu is just fine unahagaika bure, msalimie yule rafiki yako aliyezuia watoto wasije kumzika baba yao lakini mpaka leo anadai cheti cha kifo cha baba yule yule kusudi apate hela zake, haya hayawezi kukusaidia mimi kurudi, pole sana ila next time usitingishe kibiriti tena!!
- I mean sasa picha ya mama yako mbona hujaleta ya sasa hivi unataka niilete? hahahaha kweli unanihakikishia kwamba I was right kukuwacha namuonea huruma tu huyo mume wa mtu uliye naye sasa maana wewe kama kawaida yako ni time bom waiting to blow up!! Ninamshukuru Mungu wangu kwa kuniepusha na kikombe hiki!! pole sana!!
Le Mutuz
- Well, maumivu ya kuachwa haya unahangaika bure kama kweli una mwanaume na uko happy utapata wapi huu uzushi hivi hujaona kwamba hata hapa JF wamekudharau maana wangeona unafanya kitu cha maana wangeshakushangilia lakini wamenyamaza kwa sababu wamekuona mjinga, hahahahahaha pole sana ila mimi hutaniona tena kwenye maisha yako ilitoka, ninamuonea huruma sana huyu mwanaume uliye naye sasa maana na yeye akikuacha baada ya mke wake kurudi kutoka kusoma London na yeye utamfanyia hivi hivi,
- As a Man hunishangazi maana nimeshakutana na wanawake wengi ambao ukiachana nao lazima waje na maneno ya uzushi kama yako, tulia na huyo mume wa Mariam wachana na mimi shilingi ulichezea mwenyewe sasa imeanguka usinilaumu, ulitingisha kiberiti ukakuta kimejaa hahaha pole sana kama ulifikiri nitatishika na huu upuuzi nenda jipange tena unajichora tu kwa wasiokujua kwamba I was right kukuacha, kuna wakati baba yangu alikuwa ananilaumu kukuacha nimemprintia maneno yako hapa kwa mara ya kwanza amecheka sana kwamba kumbe nilikwua sawa kukuwacha, pole sana siku mimi niki panic wewe utakuwa kaburini,
- Ushauri wa bure achana na huyo mume wa mtu tafuta wako halafu utulie usitingishe kibiriti tena, hahahaha
Le Mutuz
Haha babu lemutuz leo nimekupata yani ungejua huyu anaye kukuboil ni nani wala usingeweza kuamini, wala sio neema na umezidi kujishusha na kuonesha kwamba neema yuko juu zaidi yako, tumekuchimba hadi umetoa mambo yako yote ya moyoni sababu huamini kwamba watu wanajua issue zako za ndani zaidi ya familia yako, dha kweli mwanaume aliyekamilika ataongea utumbo wite huo juu ya mama wa watoto wake kweli wewe umekuwa omar kopa hahaha ,u r realu a looser babu na kina agapeo hawakutaki wewe wala noah yako na hata babu yao mzee malecela wamemkaushia walivyokuja bongo haha kweli wale watoto makauzu, we endelea tu na mamno yako ya instagram sijui im humbled u know, le gadem suoer mtindizi mara degree tatu halafu unaendesha gari la daladala na kuombaomba kwa kina chicago na kujipendeza kwa vionhozi na hata ukuu wa wilaya wamekunyima wanakutumia kama big g, unakuwadia na kuwasifia halafu hawana time na wwe mvuja jasho nguruwe mwenye mimba haha
Jamaa hakubali kushindwa...
kumshauri kula kulala ni kupoteza muda wako tu
Huyu akili yake haiko sawa ni Kama mwehu hivi maana kwa MTU mwenye akili zake na kwa umri huo kujitapa hadharani au kuona Sifa eti kuwa rafiki Wa lulu ni ukuda Sana...
Halafu watoto wanamchezea mno mpaka kawa kimtambo Mtambo hivi....