- Well, maumivu ya kuachwa haya unahangaika bure kama kweli una mwanaume na uko happy utapata wapi huu uzushi hivi hujaona kwamba hata hapa JF wamekudharau maana wangeona unafanya kitu cha maana wangeshakushangilia lakini wamenyamaza kwa sababu wamekuona mjinga, hahahahahaha pole sana ila mimi hutaniona tena kwenye maisha yako ilitoka, ninamuonea huruma sana huyu mwanaume uliye naye sasa maana na yeye akikuacha baada ya mke wake kurudi kutoka kusoma London na yeye utamfanyia hivi hivi,
- As a Man hunishangazi maana nimeshakutana na wanawake wengi ambao ukiachana nao lazima waje na maneno ya uzushi kama yako, tulia na huyo mume wa Mariam wachana na mimi shilingi ulichezea mwenyewe sasa imeanguka usinilaumu, ulitingisha kiberiti ukakuta kimejaa hahaha pole sana kama ulifikiri nitatishika na huu upuuzi nenda jipange tena unajichora tu kwa wasiokujua kwamba I was right kukuacha, kuna wakati baba yangu alikuwa ananilaumu kukuacha nimemprintia maneno yako hapa kwa mara ya kwanza amecheka sana kwamba kumbe nilikwua sawa kukuwacha, pole sana siku mimi niki panic wewe utakuwa kaburini,
- Ushauri wa bure achana na huyo mume wa mtu tafuta wako halafu utulie usitingishe kibiriti tena, hahahaha
Le Mutuz