Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi

- hahaha ngoja niwaombe na wewe wakupe Interview mkuu naona umelia sana, hahahahahaha

Le Mutuz

Hizo interview za wauza maandazi na chai kma wewe wa2 wenye akili utawaona kwenye kipindi cha dk 45 itv au disweek prospective channel ten,baba mzima unahorojoka ovyo kua unajina mjini,jina ki2 gani wakti watoto wadogo wanahela na kelele hawapigi
 
Le mutuz please naomba yaishie hapa now, yamekua too personal kuanza ku attack personality za mama zetu ni ulimbukeni uliopitiliza.. Nakuomba sana le mutuz ishia hapa.. Why mnawaingiza na mama zetu waliotuzaa.. They have got nothing to do na huu upuuzi wa mitandaoni and afterall hawakuwepo huko new york kwenye mapenzi na ndoa yenu.. This is too much please adm futa huu uzi kwa hishma za mama zetu hawa maana mama wa le mutuz ni mama yangu pia so kumuweka humu si kumtendea haki .... Kwani hamna email mkatukanana huko nyie ma ex mpaka kuja huku kutukana mama yetu? Nawakilisha wakuu!
 
mi naona huyo anayetupia picha za mama zao kuringishiana anajichoresha tu
 
Hizo interview za wauza maandazi na chai kma wewe wa2 wenye akili utawaona kwenye kipindi cha dk 45 itv au disweek prospective channel ten,baba mzima unahorojoka ovyo kua unajina mjini,jina ki2 gani wakti watoto wadogo wanahela na kelele hawapigi

- hahahahahaahahahahha unanivunja sana mbavu mkuu hahhahaha

Le Mutuz
 
- Maumivu ya kuwachwa mama yangu is just fine unahagaika bure, msalimie yule rafiki yako aliyezuia watoto wasije kumzika baba yao lakini mpaka leo anadai cheti cha kifo cha baba yule yule kusudi apate hela zake, haya hayawezi kukusaidia mimi kurudi, pole sana ila next time usitingishe kibiriti tena!!

- I mean sasa picha ya mama yako mbona hujaleta ya sasa hivi unataka niilete? hahahaha kweli unanihakikishia kwamba I was right kukuwacha namuonea huruma tu huyo mume wa mtu uliye naye sasa maana wewe kama kawaida yako ni time bom waiting to blow up!! Ninamshukuru Mungu wangu kwa kuniepusha na kikombe hiki!! pole sana!!

Le Mutuz


Kubwa jinga mwili Nyumba akili kisoda...

Hivi hutamani kuishi Kama wazee wenzio akina Membe?
 
Mimi kila siku huwa niko negative na la mutuz kama yeye, lakini hili la kumtukania mama yake na kumuweka humu naaaaah, its not fair..tuwe na mipaka wajameni mama zetu tuwaheshimu tusiwaingize kwenye mambo haipendezi to be honest.. Mkuu le mutuz punguza munkari usijibizane na watu..mimi ni mpinzani wako mkubwa humu jf but sipendi mama zetu waingizwe kwenye mambo ya huku mtandaoni its shame really!!
 
Kuna mbebez super mtindiZzz hapa wanasema they love u so much mpaka wanaumwa wanaomba cku moja waje ofisi yako downtown wapige picha na ww,they really love every gadem thing u do,wakasema u are very humble u knw
 
- Well, maumivu ya kuachwa haya unahangaika bure kama kweli una mwanaume na uko happy utapata wapi huu uzushi hivi hujaona kwamba hata hapa JF wamekudharau maana wangeona unafanya kitu cha maana wangeshakushangilia lakini wamenyamaza kwa sababu wamekuona mjinga, hahahahahaha pole sana ila mimi hutaniona tena kwenye maisha yako ilitoka, ninamuonea huruma sana huyu mwanaume uliye naye sasa maana na yeye akikuacha baada ya mke wake kurudi kutoka kusoma London na yeye utamfanyia hivi hivi,

- As a Man hunishangazi maana nimeshakutana na wanawake wengi ambao ukiachana nao lazima waje na maneno ya uzushi kama yako, tulia na huyo mume wa Mariam wachana na mimi shilingi ulichezea mwenyewe sasa imeanguka usinilaumu, ulitingisha kiberiti ukakuta kimejaa hahaha pole sana kama ulifikiri nitatishika na huu upuuzi nenda jipange tena unajichora tu kwa wasiokujua kwamba I was right kukuacha, kuna wakati baba yangu alikuwa ananilaumu kukuacha nimemprintia maneno yako hapa kwa mara ya kwanza amecheka sana kwamba kumbe nilikwua sawa kukuwacha, pole sana siku mimi niki panic wewe utakuwa kaburini,

- Ushauri wa bure achana na huyo mume wa mtu tafuta wako halafu utulie usitingishe kibiriti tena, hahahaha

Le Mutuz

Aisee!! Huyo ni × !
 
Haha babu lemutuz leo nimekupata yani ungejua huyu anaye kukuboil ni nani wala usingeweza kuamini, wala sio neema na umezidi kujishusha na kuonesha kwamba neema yuko juu zaidi yako, tumekuchimba hadi umetoa mambo yako yote ya moyoni sababu huamini kwamba watu wanajua issue zako za ndani zaidi ya familia yako, dha kweli mwanaume aliyekamilika ataongea utumbo wite huo juu ya mama wa watoto wake kweli wewe umekuwa omar kopa hahaha ,u r realu a looser babu na kina agapeo hawakutaki wewe wala noah yako na hata babu yao mzee malecela wamemkaushia walivyokuja bongo haha kweli wale watoto makauzu, we endelea tu na mamno yako ya instagram sijui im humbled u know, le gadem suoer mtindizi mara degree tatu halafu unaendesha gari la daladala na kuombaomba kwa kina chicago na kujipendeza kwa vionhozi na hata ukuu wa wilaya wamekunyima wanakutumia kama big g, unakuwadia na kuwasifia halafu hawana time na wwe mvuja jasho nguruwe mwenye mimba haha
 
Haha babu lemutuz leo nimekupata yani ungejua huyu anaye kukuboil ni nani wala usingeweza kuamini, wala sio neema na umezidi kujishusha na kuonesha kwamba neema yuko juu zaidi yako, tumekuchimba hadi umetoa mambo yako yote ya moyoni sababu huamini kwamba watu wanajua issue zako za ndani zaidi ya familia yako, dha kweli mwanaume aliyekamilika ataongea utumbo wite huo juu ya mama wa watoto wake kweli wewe umekuwa omar kopa hahaha ,u r realu a looser babu na kina agapeo hawakutaki wewe wala noah yako na hata babu yao mzee malecela wamemkaushia walivyokuja bongo haha kweli wale watoto makauzu, we endelea tu na mamno yako ya instagram sijui im humbled u know, le gadem suoer mtindizi mara degree tatu halafu unaendesha gari la daladala na kuombaomba kwa kina chicago na kujipendeza kwa vionhozi na hata ukuu wa wilaya wamekunyima wanakutumia kama big g, unakuwadia na kuwasifia halafu hawana time na wwe mvuja jasho nguruwe mwenye mimba haha


Huyu akili yake haiko sawa ni Kama mwehu hivi maana kwa MTU mwenye akili zake na kwa umri huo kujitapa hadharani au kuona Sifa eti kuwa rafiki Wa lulu ni ukuda Sana...

Halafu watoto wanamchezea mno mpaka kawa kimtambo Mtambo hivi....
 
kwa mara ya kwanza naona le mutuz kapanic yaani full kujichora yeye na family yake mode muokoe le mutuz kwa kuufunga huu uzi. huyu mtu ni muheshimiwa sana katika jamii maana ni mjumbe wa jumuiya ya wazazi wa chama
 
kumshauri kula kulala ni kupoteza muda wako tu

Kweli huyu jamaa mbululaz mwili mkubwa akili kisoda cjui anafikiria kwa kutumia masaburi yke,amesema atamwonyesha baba yake hizo ms sasa baba zima umri wa pinda anashindwa kusolve maisha yke mpka amhusishe dad wke,kweli hili jamaa ni super bogas
 
Huyu akili yake haiko sawa ni Kama mwehu hivi maana kwa MTU mwenye akili zake na kwa umri huo kujitapa hadharani au kuona Sifa eti kuwa rafiki Wa lulu ni ukuda Sana...

Halafu watoto wanamchezea mno mpaka kawa kimtambo Mtambo hivi....

Le mbululaz kichwa chake kimejaa matope m2 mzima unashindwa solve mambo yko unadai utaenda kumwonyesha dad wko ms za mkeo kweli kwa umri wke ni aibu tena aibu kubwa,kuna cku nlimwambia kazi yke ni ukuwadi na leo kaambiwa tena kua ni kuwadi,halafu anakuja kujitapa hapa ana degree 3 wakti hata kusolve mambo yke anamhusisha mpka baba yke kweli huyu jamaa kichwani kwake kuna usaa
 
Back
Top Bottom