William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Inabidi sasa nikae pembeni mwenyewe maana watu washatoka katika point na nahisi kaka le mutuz hakunielewa maana sikumsema kwa ubaya na nilimshauri tu
Le Mutuuuuuuuz una majibu ya ajabu yani nakupa ushauri mzuri ila majibu unayonipa yananifanya nicheke sana.mimi sio nakuponda ila nakushauri jambo zuri la mwisho sio kila mafanikio yako lazima uyatangaze juzi ulitoka kwa Mama Kilango kwenda kupanga vyumba 3 Dunia nzima ilijua.na kuhusu life style hiyo sio mbaya maana inakuingizia pesa na matamasha nakukubari sana kuweza kufanya tamasha ukaingiza watu 5500 sio mchezo hongera
Le Mutuuuuuuuz una majibu ya ajabu yani nakupa ushauri mzuri ila majibu unayonipa yananifanya nicheke sana.mimi sio nakuponda ila nakushauri jambo zuri la mwisho sio kila mafanikio yako lazima uyatangaze juzi ulitoka kwa Mama Kilango kwenda kupanga vyumba 3 Dunia nzima ilijua.na kuhusu life style hiyo sio mbaya maana inakuingizia pesa na matamasha nakukubari sana kuweza kufanya tamasha ukaingiza watu 5500 sio mchezo hongera
- Well, uniponde usiniponde unaweza kubadili nini in my life mkuu? Mimi ndio The King of All Bongo Social MEdia ninafanya mambo yangu kwa strategies unachoona ni ujinga ndio what I use to make money pole sana ila tupo Dunia ya Capitalism kinachouza ni individualism sio collectivism so badilika na uanze kuwa individualistic zaidi na wewe uweze kupata pesa kwenye this Capitalism World!!
Le Mutuz
Asante kaka umenifanya niungane na wanaokuponda maana kawaida ya mtu mwenye akili timamu akishauriwa anasikiliza ule ushauri na kama asipoupenda basi anamawambia aliyemshauri nimekusikia ahsante kwa ushauri wako ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi.
Ila kwa majibu yako ya kukera na wasiwasi na elimu yako pamoja maana unaweza kuwa na elimu na usielimike.
- Ninamiliki kampuni ya Blogu ya Wananchi Media Company, in the process ninatoa ajira kwa vijana, nina kazi ya Transportation Manager Kampuni ya ICD Chikasa na sasa ninafungua Radio na TV kwa kushirikiana na Kampuni ya Delina, ninaishi nyumbani kwangu, ninalipa mwenyewe kodi ya nyumba yangu, ninawasaidia vijana kibao hapa mjini wasio na mueleko, unasema ni kukosa muelekeo wa maisha kwa mtu kama mimi mwenye Degreee 3?
- Ok niambie wewe kimaisha unanizidi kaka au unaimba tu wimbo bila kujua unamuimba nani? Wewe unanijua mimi au unanisikia? Hebu jipime na mambo yangu na maisha yangu halafu niambie kwamba wabongo wote wenye Degree 3 wamefikia nilipofikia tena in 4 years tu nilizorudi bongo? hahahahahaha
- WEWE HUNIJUI MNAIBIMBISHWA NYIMBO BILA KUJUA UNAMUIMBA NANI LE MBURULAZZZZ
Le Mutuz
- Genius! hahahahahaha U know
Le Mutuz
umeona ndugu nahisi anajua akishauriwa vizuri basi anaona anaonewa donge hata mi nimemshauri vizuri tu maana hata sisi tungefanya kama yeye ingekuwaje pasingetosha,
Kila siku tunakusikia una degree tatu lakini hutuambii GPA.maana naamini una pass tu.haiwezekani usome kila siku unarudia communication skills,devp studies, three times.na jinsi unavyopenda sifa ungekuwa una first class au upper 2nd pasingetosha.
Asante kaka umenifanya niungane na wanaokuponda maana kawaida ya mtu mwenye akili timamu akishauriwa anasikiliza ule ushauri na kama asipoupenda basi anamawambia aliyemshauri nimekusikia ahsante kwa ushauri wako ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi.
Ila kwa majibu yako ya kukera na wasiwasi na elimu yako pamoja maana unaweza kuwa na elimu na usielimike.
Ana Degree 3 za USA, ila usisahau Thermometor ina Degree 100 ila kazi yake inaisha kwapani.
Le Mutuz hana jema,anapenda kusifiwa tu,hapendi kukosolewa hata kidogo!!
- Wewe unatumia jina la bandia mimi natumia my real ID nani anatakiwa kumkosoa mwenziwe? hahahahahaha
Le Mutuz
Unamjuwa Field marshal Es?
Kila siku tunakusikia una degree tatu lakini hutuambii GPA.maana naamini una pass tu.haiwezekani usome kila siku unarudia communication skills,devp studies, three times.na jinsi unavyopenda sifa ungekuwa una first class au upper 2nd pasingetosha.
Sipati picha kama angekuwa na Honorable Degree.
Le Mutuz hana jema,anapenda kusifiwa tu,hapendi kukosolewa hata kidogo!!