Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi

Inabidi sasa nikae pembeni mwenyewe maana watu washatoka katika point na nahisi kaka le mutuz hakunielewa maana sikumsema kwa ubaya na nilimshauri tu

- Ungeanza kujishauri mwenyewe namna ya kuandika kwa kutumia jina lako kamili sio kurukia Social Media na kushauri watu kwa kutumia majina ya bandia kama ni ushauri unauhitaji wewe kwanza U know sio mimi, eti nibadili my lifestyle kisa mtu kama wewe Mwanaume unayefuatilia maisha ya wanaume wengine na kuanza kuwashauri kwa kutumia majina ya bandia? please hahahahahahaha jishauri mwenyewe kwanza ok!!

Le Mutuz
 
Le Mutuuuuuuuz una majibu ya ajabu yani nakupa ushauri mzuri ila majibu unayonipa yananifanya nicheke sana.mimi sio nakuponda ila nakushauri jambo zuri la mwisho sio kila mafanikio yako lazima uyatangaze juzi ulitoka kwa Mama Kilango kwenda kupanga vyumba 3 Dunia nzima ilijua.na kuhusu life style hiyo sio mbaya maana inakuingizia pesa na matamasha nakukubari sana kuweza kufanya tamasha ukaingiza watu 5500 sio mchezo hongera

- Well, uniponde usiniponde unaweza kubadili nini in my life mkuu? Mimi ndio The King of All Bongo Social MEdia ninafanya mambo yangu kwa strategies unachoona ni ujinga ndio what I use to make money pole sana ila tupo Dunia ya Capitalism kinachouza ni individualism sio collectivism so badilika na uanze kuwa individualistic zaidi na wewe uweze kupata pesa kwenye this Capitalism World!!

Le Mutuz
 
Le Mutuuuuuuuz una majibu ya ajabu yani nakupa ushauri mzuri ila majibu unayonipa yananifanya nicheke sana.mimi sio nakuponda ila nakushauri jambo zuri la mwisho sio kila mafanikio yako lazima uyatangaze juzi ulitoka kwa Mama Kilango kwenda kupanga vyumba 3 Dunia nzima ilijua.na kuhusu life style hiyo sio mbaya maana inakuingizia pesa na matamasha nakukubari sana kuweza kufanya tamasha ukaingiza watu 5500 sio mchezo hongera

umeona ndugu nahisi anajua akishauriwa vizuri basi anaona anaonewa donge hata mi nimemshauri vizuri tu maana hata sisi tungefanya kama yeye ingekuwaje pasingetosha,
 
Le Mutuz hana jema,anapenda kusifiwa tu,hapendi kukosolewa hata kidogo!!
 
- Well, uniponde usiniponde unaweza kubadili nini in my life mkuu? Mimi ndio The King of All Bongo Social MEdia ninafanya mambo yangu kwa strategies unachoona ni ujinga ndio what I use to make money pole sana ila tupo Dunia ya Capitalism kinachouza ni individualism sio collectivism so badilika na uanze kuwa individualistic zaidi na wewe uweze kupata pesa kwenye this Capitalism World!!

Le Mutuz

Asante kaka umenifanya niungane na wanaokuponda maana kawaida ya mtu mwenye akili timamu akishauriwa anasikiliza ule ushauri na kama asipoupenda basi anamawambia aliyemshauri nimekusikia ahsante kwa ushauri wako ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi.
Ila kwa majibu yako ya kukera na wasiwasi na elimu yako pamoja maana unaweza kuwa na elimu na usielimike.
 
Asante kaka umenifanya niungane na wanaokuponda maana kawaida ya mtu mwenye akili timamu akishauriwa anasikiliza ule ushauri na kama asipoupenda basi anamawambia aliyemshauri nimekusikia ahsante kwa ushauri wako ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi.
Ila kwa majibu yako ya kukera na wasiwasi na elimu yako pamoja maana unaweza kuwa na elimu na usielimike.

Ana Degree 3 za USA, ila usisahau Thermometor ina Degree 100 ila kazi yake inaisha kwapani.
 
- Ninamiliki kampuni ya Blogu ya Wananchi Media Company, in the process ninatoa ajira kwa vijana, nina kazi ya Transportation Manager Kampuni ya ICD Chikasa na sasa ninafungua Radio na TV kwa kushirikiana na Kampuni ya Delina, ninaishi nyumbani kwangu, ninalipa mwenyewe kodi ya nyumba yangu, ninawasaidia vijana kibao hapa mjini wasio na mueleko, unasema ni kukosa muelekeo wa maisha kwa mtu kama mimi mwenye Degreee 3?

- Ok niambie wewe kimaisha unanizidi kaka au unaimba tu wimbo bila kujua unamuimba nani? Wewe unanijua mimi au unanisikia? Hebu jipime na mambo yangu na maisha yangu halafu niambie kwamba wabongo wote wenye Degree 3 wamefikia nilipofikia tena in 4 years tu nilizorudi bongo? hahahahahaha

- WEWE HUNIJUI MNAIBIMBISHWA NYIMBO BILA KUJUA UNAMUIMBA NANI LE MBURULAZZZZ

Le Mutuz

Kila siku tunakusikia una degree tatu lakini hutuambii GPA.maana naamini una pass tu.haiwezekani usome kila siku unarudia communication skills,devp studies, three times.na jinsi unavyopenda sifa ungekuwa una first class au upper 2nd pasingetosha.
 
umeona ndugu nahisi anajua akishauriwa vizuri basi anaona anaonewa donge hata mi nimemshauri vizuri tu maana hata sisi tungefanya kama yeye ingekuwaje pasingetosha,

- Ushauri wako baki nao ni pure foolisness kwangu hahahahahahah U know!!

Le Mutuz
 
Kila siku tunakusikia una degree tatu lakini hutuambii GPA.maana naamini una pass tu.haiwezekani usome kila siku unarudia communication skills,devp studies, three times.na jinsi unavyopenda sifa ungekuwa una first class au upper 2nd pasingetosha.

- hahahahahaha yaani sasa nianze tena kuingia kwenye GPA? Ok fungua thread yake hii sio U know hahahahahah

Le Mutuz
 
Asante kaka umenifanya niungane na wanaokuponda maana kawaida ya mtu mwenye akili timamu akishauriwa anasikiliza ule ushauri na kama asipoupenda basi anamawambia aliyemshauri nimekusikia ahsante kwa ushauri wako ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi ila nafanya hivi kwa ajili ya hivi.
Ila kwa majibu yako ya kukera na wasiwasi na elimu yako pamoja maana unaweza kuwa na elimu na usielimike.

- Sasa unampondaje mtu ana Degree 3 wewe huna hata moja, hahahahahahahah U know foolish baki na ujinga wako!!

Le Mutuz
 
Ana Degree 3 za USA, ila usisahau Thermometor ina Degree 100 ila kazi yake inaisha kwapani.

- Matola hivi wewe Mwanaume au maana kuandika majungu na umbeya kama unavyofanya ni kazi sana kwa Mwanaume eti ni Mamen kweli? hahahahahaha

Le Mutuz
 
Kila siku tunakusikia una degree tatu lakini hutuambii GPA.maana naamini una pass tu.haiwezekani usome kila siku unarudia communication skills,devp studies, three times.na jinsi unavyopenda sifa ungekuwa una first class au upper 2nd pasingetosha.

Sipati picha kama angekuwa na Honorable Degree.
 
Back
Top Bottom