William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Inabidi sasa nikae pembeni mwenyewe maana watu washatoka katika point na nahisi kaka le mutuz hakunielewa maana sikumsema kwa ubaya na nilimshauri tu
- Ungeanza kujishauri mwenyewe namna ya kuandika kwa kutumia jina lako kamili sio kurukia Social Media na kushauri watu kwa kutumia majina ya bandia kama ni ushauri unauhitaji wewe kwanza U know sio mimi, eti nibadili my lifestyle kisa mtu kama wewe Mwanaume unayefuatilia maisha ya wanaume wengine na kuanza kuwashauri kwa kutumia majina ya bandia? please hahahahahahaha jishauri mwenyewe kwanza ok!!
Le Mutuz