Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi

Hivi hili neno mbululaz lina mana gani mana linanivuruga kila ninapolisoma kwenye post za huyu mtuz
 
Mimi ni shabiki wako mkubwa sana na pia ni role model wangu ktk maisha ya kujitegemea japo wewe mwenzangu una msaada wa wazazitofauti na mimi sina wazazi
Ila kuna kitu sikipendi japo si kibaya ila ni hatari kwako ni tabia yako ya kupost kila kitu ktk maisha yako ya kila siku instagram na pia kupost maisha yako binafsi ktk blog yako wakati unaiita ni blog ya wananchi.

kwa amani tu badilika kaka mkubwa hiyo tabia ni chance katika kwa maadui wako kukushambulia maana kila kitu chako wanakijua

Namalizia kwa kukwambia siyo wote tusiosoma hatuna akili ila matatizo ya dunia kwa kukosa ada kwa hiyo kuwa na lugha nzuri si kwa kutukatisha tamaa pia unaweza kuwa msomi halafu ukaenda kununua magazeti ya kiswahili tupu na elimu yake ikawa bora vilele

kuna mwanalfasa mmoja alisema "lugha unayotumia kuwaza ndiyo itakayokuletea mafanikio"

Happy new year




- Happy New Year, hapa nilikuwa nasherehekea New Year na le mbebezz Super mutindizi Le Jenny at Arusha, Nduruma live from "Camp Davis", U know it was like a baang with the New Year U know we were just having fun and things just enjoying U know, and now I am back at bongo, ok do you have a problem with that? hahahahahah KUFWA for me!!

Le Mutuz
 
attachment.php
 
Hahaha...

Yaani umepoteza kweli mkuu, Le Baharia ndio role model wako????

:becky::becky:

Dah sijui bora hata huyu!!!!
Kuna mtu alinishangaza kule Ig, eti anamsifia yule shoga mtotowamama, "you are my role model wakuache miaka miaaa"!

Nikajiuliza hivi yawezekana hilo neno role model hatulielewi vizuri na tunalimissuse au? Lol
 
Dah sijui bora hata huyu!!!!
Kuna mtu alinishangaza kule Ig, eti anamsifia yule shoga mtotowamama, "you are my role model wakuache miaka miaaa"!

Nikajiuliza hivi yawezekana hilo neno role model hatulielewi vizuri na tunalimissuse au? Lol

- Shoga ni lazima ajiseme mwenyewe hasa sehemu kama JF, ukiona mnajadili something else halafu mtu from nowhere anaingiza ushoga ujue ni shoga sasa anatafuta attention hahahahaha, ila unahitaji kumsoma sana between the lines utamjua tu kuwa ni shoga!!

Le Mutuz
 





- Sasa hivi live at Bilicanas having fun U know, role model my left foot just KUFWA for me!!

Le Mutuz





- Happy New Year, hapa nilikuwa nasherehekea New Year na le mbebezz Super mutindizi Le Jenny at Arusha, Nduruma live from "Camp Davis", U know it was like a baang with the New Year U know we were just having fun and things just enjoying U know, and now I am back at bongo, ok do you have a problem with that? hahahahahah KUFWA for me!!

Le Mutuz

Lol. Kazi ipo
 
Lol. Kazi ipo

- hahahahahaha sawa sawa my life will never stop kwa sababu kuna wanaume wasiojielewa na kufuatilia maisha ya wanaume wengine na kuja kuyalilia na majina fake huku JF, eti ninatakiwa kubadilisha maisha yangu for this lunatics? Are U serious man?

Le Mutuz
 
Hahaha...

Yaani umepoteza kweli mkuu, Le Baharia ndio role model wako????

:becky::becky:

Yaan nimecheke sana dah jamaaa kaongea kama mbunge Wa ccm aiseee anachukia tabia za role model wake duuu
 
- Shoga ni lazima ajiseme mwenyewe hasa sehemu kama JF, ukiona mnajadili something else halafu mtu from nowhere anaingiza ushoga ujue ni shoga sasa anatafuta attention hahahahaha, ila unahitaji kumsoma sana between the lines utamjua tu kuwa ni shoga!!

Le Mutuz

Shoga lemutuz au?
 
labda kwenye kupiga picha na madem Wa watu

2015

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show with American Raper Star TI[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show with Nigerian Singer Star Davido[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show with Bongo Biggest Star Singer Diamond Platznumz[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show with Super Star Raper Ney wa Mitego[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Le Big Show with Super Star Wema Sepetu and Kajala!![/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom