Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi

- Maumivu ya kuachwa unanipa moyo tu kwamba I was right, ndio maana nipo very careful kwenye kuoa tena maana nisije nikaishia kuoa mke mwingine kama wewe, na I thank my God kwamba nilikuacha Imagine kuishi nyumba moja na mke kama wewe hahahahaha pole sana ila mimi hutakuja kuniona tena kwenye your life, it was a mistake nimejifunza ndio maana I am taking my time na the next one wewe endelea na huyo Mume wa mtu, pole sana ila uliyataka mwenyewe!! hahahahaha, I mean mama wa watoto wangu wawili pole sana nawaonea huruma sana hao watoto na ninawaombea kwa Mungu kila siku maana najua dhambi ya mama yao kuwa hawara wa mume wa mtu tena wa dini tofauti ya yako hicho kichumba unachoishi kimejaa dhambi tupu kamuombe Mungu wako akusamehe, ungekwua Mwanamke kweli ungetuafuta bwana siye mume wa mtu, mimi siajwahi ku date mke wa mtu wala mtumzima kama wewe mwenye miaka 50 no way, so pole sana ila it is over!!

- Halafu hayo maneno ya REd yamenichekesha sana hahahahahahahahaha hahahahahah!!, mtoto anayewaka hawezi kuhangaika na waume za watu anakuwa na bwana wake mwenyewe sio Mwanaume apitie London kwanza kwa mkewe ndio akuletee makombo, haha no way mimi sina mke wa mtu NEVER!! na wala sijawahi, pole sana!! ila uliyataka mwenyewe!!

Le Mutuz

Ina maana le mutuz ugomvi wake na mke wake amehuamishia huku jf???
 
Ina maana le mutuz ugomvi wake na mke wake amehuamishia huku jf???

- Hapana siwezi kuwa na ugomvi na mke niliyeachana naye Kisheria Miaka 4 iliyopita infact nilishamsahau kama yupo, lakini I am me I am always open sina anything to hide nilikuwa na mke nikazaa naye watoto 2 nimemuoa nikiwa New York, tume divorce miaka 4 iliyopita nikasikia alishapata bwana mwingine nikashukuru sana kwamba atakuwa stable na ataweza kuwatunza watoto vizuri, now here comes this after 4 years ina maana mpaka leo haja recover now niambie what do I do?

- Kumrudia siwezi na it will never happen, I mean mimi nilisha recover loong time ago I moved on with my life U know, mitandao itamsaidia nini? sad mabebz mnatakiwa kujifunza na watu kama huyu kwamba usimchezee MWanaume ni ngumu sana kushindana na Mwanaume mwenye akili sawa sawa kama mimi sure unaweza kuwachezea wanaume wajinga ila mimi ulikuwa unajichezea mwenyewe, ulitingisha kiberiti umekuta kimejaaa sasa unalia lia kwenye mitandao, ndio itakusaidia pole sana!!

Le Mutuz
 
hivi babu Le mutuz wale madem unaopiga nao picha huwa ni picha tu au huwa unapiga pia??
 
- Ok niambie nipo office hapa downtown, namsubiri my baby leo nimealikwa masehemu like Serena na Hilton kwenye masherehe wewe vipi upo wapi?

Le Mutuz
nami nipo kwa mhindi wangu, nashona viatu tu...na mshahara hadi tarehe 30+....
 
- Maumivu ya kuachwa unanipa moyo tu kwamba I was right, ndio maana nipo very careful kwenye kuoa tena maana nisije nikaishia kuoa mke mwingine kama wewe, na I thank my God kwamba nilikuacha Imagine kuishi nyumba moja na mke kama wewe hahahahaha pole sana ila mimi hutakuja kuniona tena kwenye your life, it was a mistake nimejifunza ndio maana I am taking my time na the next one wewe endelea na huyo Mume wa mtu, pole sana ila uliyataka mwenyewe!! hahahahaha, I mean mama wa watoto wangu wawili pole sana nawaonea huruma sana hao watoto na ninawaombea kwa Mungu kila siku maana najua dhambi ya mama yao kuwa hawara wa mume wa mtu tena wa dini tofauti ya yako hicho kichumba unachoishi kimejaa dhambi tupu kamuombe Mungu wako akusamehe, ungekwua Mwanamke kweli ungetuafuta bwana siye mume wa mtu, mimi siajwahi ku date mke wa mtu wala mtumzima kama wewe mwenye miaka 50 no way, so pole sana ila it is over!!

- Halafu hayo maneno ya REd yamenichekesha sana hahahahahahahahaha hahahahahah!!, mtoto anayewaka hawezi kuhangaika na waume za watu anakuwa na bwana wake mwenyewe sio Mwanaume apitie London kwanza kwa mkewe ndio akuletee makombo, haha no way mimi sina mke wa mtu NEVER!! na wala sijawahi, pole sana!! ila uliyataka mwenyewe!!, hii mitandao haitakusaidia kitu unajichorehsa tu kunichafua mimi huwezi maana watu wananijua vizuri sana, mama yangu is fine ndio maana uliweza kwenda likizo na watoto mkalala wiki nzima unasema mlilala kwenye kibanda cha mbwa na watoto wawili kwa wiki nzima tena watoto waliotoka Marekani? I guess huyo Mume wa mtu unayeruka naye sasa anakusoma hapa kwamba siku akikuacha haya ndio yatamkuta matudi kwenye mitandao, pole sana!!

- Ulitingisha kiberiti now umeona kimejaa ukadhani ninaogopa kurudi bongo nimerudi na ninaishi, Miaka 4 bado una maumivu uta recover lini? Yaani pamoja na kuwa na Bwana bado unanifuatilia maisha yangu vipi badala ya kumjali Mume wa mtu unayemuibia Mariam, mimi sirudi tena huko!!

Le Mutuz

Le mutuz,watoto wanaona unacho andika sidhani ni sahihi na pia ukizingatia una nafasi ya uongozi kwenye jumuiya ya wazazi ccm
 
Le mutuz,watoto wanaona unacho andika sidhani ni sahihi na pia ukizingatia una nafasi ya uongozi kwenye jumuiya ya wazazi ccm

- Watoto hawana muda wa kuja humu na besides Demokrasia huwa inataka maswali na majibu, nimerushiwa maswali ninatoa majibu samahani sana kama huyapendi ila ungechukia maswali niliyorushiwa badala kulalamikia majibu, ok!! hahahaha

Le Big Show
 
- Kama kawaida si ndio sababu wananialika mkuu kusudi niwape Coverage kwenye my media outlets!!, si mjini hapa!! hahahahaha

Le Mutuz

safi kabisa, kumbe uwepo wako kwao nimatangazo, lakini kila shighuli unaalikwa au unaenda tu mwenyewe kula ujana....?
 
safi kabisa, kumbe uwepo wako kwao nimatangazo, lakini kila shighuli unaalikwa au unaenda tu mwenyewe kula ujana....?

- Hapana ni mara chache sana huwa ninaenda mwenyewe na hata nikienda mwenyewe huwa silipi kwa sababu ya my Status, huwa ninaalikwa na ninalipwa for my appearance so understand that huwa siendi hivi hivi tu hasa siku kama ya leo, hapana!!

Le Mutuz
 
- Hapana ni mara chache sana huwa ninaenda mwenyewe na hata nikienda mwenyewe huwa silipi kwa sababu ya my Status, huwa ninaalikwa na ninalipwa for my appearance so understand that huwa siendi hivi hivi tu hasa siku kama ya leo, hapana!!

Le Mutuz

blaza kwa status yako ikiwa hivyo ulipaswa ungekuwa mkuu wa mkoa au wilaya uwasaidie watu huko....ingekuwa poa sana, sijui kwanini jamaa wamekupotezea...
 
- Maumivu ya kuachwa unanipa moyo tu kwamba I was right, ndio maana nipo very careful kwenye kuoa tena maana nisije nikaishia kuoa mke mwingine kama wewe, na I thank my God kwamba nilikuacha Imagine kuishi nyumba moja na mke kama wewe hahahahaha pole sana ila mimi hutakuja kuniona tena kwenye your life, it was a mistake nimejifunza ndio maana I am taking my time na the next one wewe endelea na huyo Mume wa mtu, pole sana ila uliyataka mwenyewe!! hahahahaha, I mean mama wa watoto wangu wawili pole sana nawaonea huruma sana hao watoto na ninawaombea kwa Mungu kila siku maana najua dhambi ya mama yao kuwa hawara wa mume wa mtu tena wa dini tofauti ya yako hicho kichumba unachoishi kimejaa dhambi tupu kamuombe Mungu wako akusamehe, ungekwua Mwanamke kweli ungetuafuta bwana siye mume wa mtu, mimi siajwahi ku date mke wa mtu wala mtumzima kama wewe mwenye miaka 50 no way, so pole sana ila it is over!!

- Halafu hayo maneno ya REd yamenichekesha sana hahahahahahahahaha hahahahahah!!, mtoto anayewaka hawezi kuhangaika na waume za watu anakuwa na bwana wake mwenyewe sio Mwanaume apitie London kwanza kwa mkewe ndio akuletee makombo, haha no way mimi sina mke wa mtu NEVER!! na wala sijawahi, pole sana!! ila uliyataka mwenyewe!!, hii mitandao haitakusaidia kitu unajichorehsa tu kunichafua mimi huwezi maana watu wananijua vizuri sana, mama yangu is fine ndio maana uliweza kwenda likizo na watoto mkalala wiki nzima unasema mlilala kwenye kibanda cha mbwa na watoto wawili kwa wiki nzima tena watoto waliotoka Marekani? I guess huyo Mume wa mtu unayeruka naye sasa anakusoma hapa kwamba siku akikuacha haya ndio yatamkuta matudi kwenye mitandao, pole sana!!

- Ulitingisha kiberiti now umeona kimejaa ukadhani ninaogopa kurudi bongo nimerudi na ninaishi, Miaka 4 bado una maumivu uta recover lini? Yaani pamoja na kuwa na Bwana bado unanifuatilia maisha yangu vipi badala ya kumjali Mume wa mtu unayemuibia Mariam, mimi sirudi tena huko!!

Le Mutuz

Naona leo umeamuwa kugawa dozi nzito nzito.

Ila kufa kiume kwa heshima ya watoto huna ushahidi kama ni Neeme ndio anakuchafuwa mitandaoni.

Upende usipende tayari wewe na Neema mna bond ambayo ni unavoidable mmeshashare damu. Please think like a Man.
 
Le Mutuz na Mimi nataka hapa mjini niwe Kama we we,nikae downtown ,magezeti ya kesho niwe nasoma leo,mbembezi super mtindiz wawe wanakuja kwa of is I Yangu downtown
 
- Watoto hawana muda wa kuja humu na besides Demokrasia huwa inataka maswali na majibu, nimerushiwa maswali ninatoa majibu samahani sana kama huyapendi ila ungechukia maswali niliyorushiwa badala kulalamikia majibu, ok!! hahahaha

Le Big Show

Majibu muruwa kabisa. akuanzae mmalize. Bongo usipokanusha uvumi kina pangu pakavu uchukulia ndio ukweli.
 
blaza kwa status yako ikiwa hivyo ulipaswa ungekuwa mkuu wa mkoa au wilaya uwasaidie watu huko....ingekuwa poa sana, sijui kwanini jamaa wamekupotezea...

- Nahisi kama hata status yako ulitakiwa kuwa na hivyo vyeo au mimi nimeandikwa mgongoni kuwa ni lazima niwe na hivyo vyeo? au labda sijakuelewa!!

Le Mutuz
 
Le Mutuz na Mimi nataka hapa mjini niwe Kama we we,nikae downtown ,magezeti ya kesho niwe nasoma leo,mbembezi super mtindiz wawe wanakuja kwa of is I Yangu downtown

- hahahahahaha wewe unanivunja mbavu U know hahahaha downtown le mabebezzzz le super Mutindizzz me I love it!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom