Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Among other things, new Lessons learnt to me:
*USIKAE SEHEMU USIYOTAKIWA. Kubali ukweli and move on.
*Under any circumstances, fight for your PEACE OF MIND. Bora ugali kwa chumvi kwenye amani, kuliko nyama choma vitani.
*VAA IMAGE YA MJINGA UKIWA UGENINI.
*WIFE CAN TURN BEING A KNIFE TO CUT YOUR LIFE! Vijana tuwe extremely careful kwenye kuchagua mke. Pia tuwe mostly conscious kwenye kuishi na mwanamke/mke.
*WHEN YOU LOOSE THE WAY, GO BACK TO THE BEGINNING and start afresh. You can rise again.
Much respect & Salute to you Sir W. J. Malecela for being a soldier of struggles at local & international levels. I can sense an ironic strength in you. Kesho na keshokutwa waweza kuja kuwa miongoni mwa more powerful people in Tz. Who knows!
Long live The King of social media, Le Mutuz Mobimba. Nye Nye Nye!!
God Bless 'Le Mutuz Nation'.
-Kaveli-

- Salute Boss, guys ukiona sijakujibu ujue ni below my level, thanks!

le Mutuz
 
- Agreed isipokua pia I am an imperfect creature of God!

le Mutuz


That's correct. IMPERFECTION was inherited... As long as we are humans, we all do wrongs at sometime in life.

Whatever the imperfections might be entailed in Le Mutuz, still your life story imetufunza mengi sana ya msingi hasa sie vijana who are at zero ground hustling from the scratch to chase for our dreams. Binafsi nimefuatilia this life story from top to bottom, na nimechukuamo mengi ya kuzingatia.

Frankly, we live in a dangerous world and we have few good options. But the worst option is to do nothing!
Mkuu, kurudi bongo homeland was the best option to go for. You pulled the trigger with a big shot!
Keep the fire burning in your struggle. Endeleza harakati.

-Kaveli-
 
Ila all in all baada ya kusoma masimulizi yote ya Le Mutuz Mobimba Nye nye nye ukiacha mapungufu machache nimegunduwa kwamba Mzee Malecela is very weak Man na ni mtu ambaye hakupaswa kuaminiwa hata kupewa ubunge achilia mbali uwaziri mkuu.

Mateso yote ya kifamilia aliyopitia Willy mchawi ni baba yake mzazi mzee Malecela.

Angalieni mfano hai kwa Jakaya Kikwete jinsi alivyoweza kumpa back up kubwa Ridhiwani na siyo mtoto wa Salma Kikwete.

Kitu kikubwa ambacho kimaadili Le Mutuz hawezi kukisema ni kwamba baba yake ni mtu wa kutawaliwa na wanawake.

Kama huyo mzee Malecela angetoka kwenye kabila langu hao kina Dr Mwele watake wasitake wangempa heshima yake Le Mutuz kama kaka mkubwa.

Nahitimisha kwa kusema wanaume msiwape sana vipaumbele wanawake wanaweza hata kukutenga na wazazi wako wakishakushika, na kwa story hii mzee Malecela ni mtu wa hovyo kabisa hapa duniani.

Wazee wasiopenda longolongo haya mambo ya urithi huwa wanagawa hata kabla hawajafa kila mtu anadhibiti chake.

Ujinga huu wa Mzee Malecela pia ameufanya marehemu Samuel Sitta, ana mtoto mkubwa wa kiume siyo wa Magreth Sitta, kosa la mzee hakugawa mali akiwa hai sasa hivi kafa kawaacha wanarogana tu shubamiti.

Hii mizee mingine ni ya hovyo sana.
Sasa tuwafanyeje madingi wa chapa za kina Malecela na Sitta?

Maana wanatuchanganya kwa kupenda papuchi hovyo [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
That's correct. IMPERFECTION was inherited... As long as we are humans, we all do wrongs at sometime in life.

Whatever the imperfections might be entailed in Le Mutuz, still your life story imetufunza mengi sana ya msingi hasa sie vijana who are at zero ground hustling from the scratch to chase for our dreams. Binafsi nimefuatilia this life story from top to bottom, na nimechukuamo mengi ya kuzingatia.

Frankly, we live in a dangerous world and we have few good options. But the worst option is to do nothing!
Mkuu, kurudi bongo homeland was the best option to go for. You pulled the trigger with a big shot!
Keep the fire burning in your struggle. Endeleza harakati.

-Kaveli-

Well, thanks ila from mimi mwenyewe ni kwamba:-

1. Binadam pigana sana kulinda akili yako isiingiliwe na binadam wengine ndiyo silaha iliyonifikisha hapa sikuwahi kukubali kumsikiliza anyone na hasa negative people nilikua nawakalia mbali sana. Halafu siku zote nilikua naogopa sana kuwa karibu na wajinga wasiokua na lolote jipya au positive kuhusu maisha, hili somo nilijifunza Primary School nilipoanza kujishirikisha na waliokua na akili ya ubaharia tu!

2. Kwenda Majuu is a good thing lakini swali ni unaenda kufanya nini lazima uwe na mission au goals, now ukishafika Majuu ni muhimu ukachukua muda kujifunza nini unaweza kukipata na nini huwezi, ingawa siku zote kuna ishu ya kabla hujaenda majuu ulikua unafanya nini Bongo? In my case on a serious note nilirudi na kurudia njia zangu zile zile nilizokua nazifanya kabla sijaenda majuu, isipokua nilibadilisha tu mbinu na kuanza kutumia mbinu za akili sana katika kupiga mishe mishe za mjini maana zamani nilipokua nauza siagi nilikua situmii akili nyingi sana.

3. Nilipofika majuu niligundua kua uwezekano wa kurudi na utajiri ni almost zero Wazungu wameijenga system yao ya maisha kuwa so ngumu kwa mgeni kurudi na utajiri, yaani kati ya 100 labda mmoja anaweza kufanikiwa ila kwa matatizo na gharama kubwa sana, otherwise uwezekano wa kurudi na utajiri ni zero, ndipo nikaamua kupigania Elimu ingawa niwe mkweli sikujua itanisaidiaje lakini I just believed in education. So far ni moja ya ngao kubwa sana iliyonisaidia baada ya kurudi cause imenipa nafasi ya kuingia popote hapa bongo bila ya tatizo.

4. Kuwa kool all the times bila kumuonyesha yoyote kua una matatizo, sijawahi kumlilia mtu matatizo au anything au kumpa nafasi mtu ya kuamini maisha yangu yanamtegemea yeye HAPANA! Na sijawahi kumpa nafasi adui ya kumfanya aamini ameniumiza au amenibana in anything siku zote hua hata kama ninaumia siwezi kumuonyesha mtu, hakuna kitu kinamtesa adui kama hicho, sababu ni kwamba nilijifunza siku nyingi kua binadam anapokufanyia ubaya anakua anaongozwa na Shetani ambaye kimsingi Mungu alimyima uwezo wa kujua udhaifu wa binadam ulipo kwa hiyo ukilia lia unampa mwenyewe Shetani nafasi ya kujua udhaifu wako ulipo ndipo huanza kuwekeza mashambulizi yake yote hapo hapo ulipomuonyesha mpaka atakumaliza.

5. Matatizo yako kwenye maisha ni yako pigana nayo mwenyewe usimlilie mtu.

le Mutuz
 
- Mkuu Peter hana hizo tabia he is a koolest guy you have ever met before, ni mstaarabu sana na hana kabisa hizo tabia halafu kama tatizo ni mimi sio yeye, so please topic inanihusu mimi sio Peter

le Mutuz
Sawa mzee. You mentioned Peter, I happen to be a former schoolmate of his, and it brought up bad memories of the dude, which I felt had to be let known. Case closed. Got probs with that nigga?
 
hongera story yako ni nzuri, ila mwanamke wako aisee ni kichwa maji sana. hata hivyo, tumesikia upande wa kwanza, kwetu sisi wanasheria umetuaminisha kuwa mwanamke ni wa aina hiyo, tukisikia upande wa pili nao ulete story yake hapa, usijeshangaa mambo yanabadilika ghafla. kwetu sisi wanasheria, huwezi kuamua kesi kwa kusikiliza upande mmoja, kila mtu ana story yake, lakini kwa harakaharaka, kwa kadiri nilivyoanza kukufuatilia nimeamini wewe huwa unaongea kilichopo moyoni na kuna uwezekano mkubwa ukawa mkweli.....umeshaestablish primafacie case inayohitaji x wako au watu wengine wanaokujua upande mwingine wajitetee ili jamii itoe hukumu kwa either kujifunza au kuwakosoa. but generally, kuna jambo kubwa sala la kujifunza kwenye maisha yako, na kwa mwili wako huo angekuwa mtu mwingine angeshakufa kwa pressure zamani sana, au angeshapata stroke...utakuwa uliumia moyo sana.
sikuwa na haja ya kujibu but I think you're abusing the legal profession. Lawyers hawana thought za namna hii. you're neither consulted nor hired to act on whom ever behalf...so what's your role?
 
Back
Top Bottom