Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Akili timamua zilianza kunijia nikiwa Jandoni Porini Dodoma, since then nilishaamua kua maisha yangu ni yangu na matatizo yangu ni yangu hayamuhusu mtu mwingine, mpaka leo ninaishi hivyo!

le Mutuz
Hahahahahaa Le Mutuz bangi haijaisha kchwani
 
- Ninazo akili nyingi sana za kunitosha kujua kwamba Shetani hatakubali na akijaribu ndio sasa nimeapa kumuweka wazi niliyoyaandika hapo hayafikii hata robo ya ukweli wote, hahahahahaha mwambie enough kama haamini ajaribu tu hahahaha

le Mutuz
Ubongo, upeo na fikra zako zimechola.
Ulishindwa ujanani unamalizika Sasa

Ujio wa Umri William.

Pole Mzee mwenzangu
 
You have a strong character ingekuwa sisi wengine tungebaki tunalialia tu.Congrats
 
Naww hata uje na Id's nyingi kiasi gan tambua tumeshakuelewa kuwa ni mwanamke shetani na utakufa domo wazi na kabla ya hapo utajuta.
Mwanamke shetani ni m.a.m.a yako aliekuzaa ndio atakufa domo wazi. Njoo na uthibitisho wa id zangu nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…