Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Story inajichanganya hii, but Kwa huyu mpenda sifa na muongo huwa simwamini 100% maana maneno 10 ya Le Mutuz matatu ndiyo ya ukweli mengine yote pumba
Kimsingi ametowa ufafanuzi wa mgogoro wake wa kifamilia kwa ufupi na kuuweka ukweli hadharani.

Hizo porojo nyingine achana nazo ni sawa na za Magufuli tu, usisahau huyo ni kada hawa huwa uongo ni sehemu muhimu ya maisha yao, ila kwenye simulizi vionjo lazima viwepo ili kukoleza utamu.

Hii inaitwa in good faith.
 
Story inajichanganya hii, but Kwa huyu mpenda sifa na muongo huwa simwamini 100% maana maneno 10 ya Le Mutuz matatu ndiyo ya ukweli mengine yote pumba

- Nilidhani Great Thinkers huwa wanarekebisha uongo kwa kutumia FACTS, au? hahahahaha kwenye hii my American Story kwanza kuna mengi sana sijayaweka ila yatakuwepo kwenye kitabu so tulia usubiri kitabu NITAWEKA YOTE WAZI!

le Mutuz
 
Kwel maana naisi hata makomandoo hawajafkia hyo style yake ya ulalaji

- Ok nilikua natoka Shuleni Saa Nne za usiiku, ninaenda kazi yangu ya USiku kwenye Jumba la Cinema la Co-op City/Bronx ninaingia kazini Saa Tano usiku, nikifika ninalala mpaka Movie ziishe katika ya Saa Saba, ninasafisha Ukumbi kwa lisaa Limoja au Mawili depending na uzuri wa Movie cause kuna siku ukumbi unakua msafi kwa kukosa waangaliaji wengi, Ninalala Kuanzia Saa Tisa naamka Saa Kumi na Moja na Nusu naingia kazini kuendesha Malori,

- Ninatoka kazini Saa Tisa mchana ninarudi nyumbani kulalaa, Saa Kumi na Mbili Jioni naingia Shuleni mpaka Saa Nne, hiyo ndio iliyokua routine ya maisha yangu kwa Miaka karibu 8, ndio maana mpaka leo siwezi kulala zaidi ya masaa 4 na ninaweza kulala mahali popote pale bila tatizo na saa yoyote ile, kwenye my story nimeandika niliyoyapitia tu so ni vigumu sana kwako kutafuta makosa cause hayapo ni maisha niliyoyaishi.

- Ningekua nimeandika uongo popote pale ungewaona Diaspora nilioishi nao USA wangeshajitokeza hapa au my ex, umeona kajaribu jaribu kakimbia!

Thanks.

le Mutuz
 
- Nilidhani Great Thinkers huwa wanarekebisha uongo kwa kutumia FACTS, au? hahahahaha kwenye hii my American Story kwanza kuna mengi sana sijayaweka ila yatakuwepo kwenye kitabu so tulia usubiri kitabu NITAWEKA YOTE WAZI!

le Mutuz
Safi sana mkuu ukiona Mtu hakubaliani na historia yako mwambie aelezee yeye sasa...
 
View attachment 704149
PART 70:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Baada ya kuondoka kwake tu my ex siku moja ofisini kwangu akaja mtu aliyejitambulisha kua ni Mwanasheria wake, akasema kamtuma tupange namna ya kugawana Mali zangu hasa Shamba na Nyumba yangu kule Kinyerezi. I almost fainted WHAAAT? nikamuambia yule Mwanasheria arudi kesho yake tuongee alipokuja nikamuwekea Makaratasi ya Mali zangu zote mezani na kumuomba anionyeshe ipi inayo onyesha mimi na yeye tunamiliki Mali zangu pamoja? nikamuonyesha Mlango alioingilia kua siku akirudi tena ofisini kwangu nitampa kipigo cha mbwa mwizi jinsi nilivyokua nimemchenjia ujumbe ulifika hakuwahi kurudi tena ...

Nilijua hasira ya my ex kushindwa kunipata kwa kuwatumia watoto kitawaka moto kweli alipofika tu USA akaanza matusi mapya ya kutisha hasa kwa Marehemu Mama yangu alitukana hasa sikua na wasi wasi cause asingefanya hivyo nisingejua kua nimempata at her games ..kinachomuumiza sana ni pesa anapenda pesa na pesa anazotumia sana ni za biashara ambazo yeye alikua amepanga kuzitumia kujifanyia mambo yake binafsi kashindwa cause nilimuwahi nikakimbia ...hahahaha...

Guys amkeni usingizini, ninayoyasema hapa huenda yanakukuta now au yatakukuta mbele ya safari. Usikubali kuangamizwa na Mwanamke mjinga kwa kisingizio cha maadili au Uanamme. Huwezi kua Mwanaume Mungu anayetaka uwe kama hauna Amani kwa sababu ya mke wako au mpenzi wako ...NA KUMBUKA SIKU ZOTE UKIONA MPENZI WAKO KICHWA KINAMUOTA MAPEMBE UJUE ANA SPARE TAYARI ....dawa ya Mwanamke mjinga ni kumuwacha hapo hapo au utaumia na ukimuwacha usiangalie nyuma tena utaumia na hasa OGOPA MWANAMKE MWENYE TAMAA YA MALI na OVER AMBITIONS, huwa hawajui wanalolifanya ingawa wao hujifanya wanajua sana utawasikia "I WANT TO BE FINANCIALLY SECURED", ukisikia Mwanamke anaimba hizi nyimbo kimbia utaumia ...

Imenichukua Miaka 4 ku overcome Completely yote niliyopitia kwenye ndoa ...yakikukuta tafuta ushauri usijifanye Mwanaume sana utakufa sio wanaume wote wapo kama mimi ambaye ninaweza kubeba maumivu bila kulia lia nikijua kua nitayavuka na ni muhimu kuyapitia for my own good....leo nipo tayari kuoa tena siogopi cause Mwanamke mmoja tu hawezi kunifanya kuacha kupenda wapo wanawake wazuri wa roho na tabia!

* * * * * * * * MWISHO! * * * * * * * * *


- Le
Nice story God bless you Imma waiting for your book
 
Story inajichanganya hii, but Kwa huyu mpenda sifa na muongo huwa simwamini 100% maana maneno 10 ya Le Mutuz matatu ndiyo ya ukweli mengine yote pumba
Matatu mengi. Maneno yake kumi moja ndio la ukweli
 
- Nilidhani Great Thinkers huwa wanarekebisha uongo kwa kutumia FACTS, au? hahahahaha kwenye hii my American Story kwanza kuna mengi sana sijayaweka ila yatakuwepo kwenye kitabu so tulia usubiri kitabu NITAWEKA YOTE WAZI!

le Mutuz
Kitabu au kijarida
 
- Ok nilikua natoka Shuleni Saa Nne za usiiku, ninaenda kazi yangu ya USiku kwenye Jumba la Cinema la Co-op City/Bronx ninaingia kazini Saa Tano usiku, nikifika ninalala mpaka Movie ziishe katika ya Saa Saba, ninasafisha Ukumbi kwa lisaa Limoja au Mawili depending na uzuri wa Movie cause kuna siku ukumbi unakua msafi kwa kukosa waangaliaji wengi, Ninalala Kuanzia Saa Tisa naamka Saa Kumi na Moja na Nusu naingia kazini kuendesha Malori,

- Ninatoka kazini Saa Tisa mchana ninarudi nyumbani kulalaa, Saa Kumi na Mbili Jioni naingia Shuleni mpaka Saa Nne, hiyo ndio iliyokua routine ya maisha yangu kwa Miaka karibu 8, ndio maana mpaka leo siwezi kulala zaidi ya masaa 4 na ninaweza kulala mahali popote pale bila tatizo na saa yoyote ile, kwenye my story nimeandika niliyoyapitia tu so ni vigumu sana kwako kutafuta makosa cause hayapo ni maisha niliyoyaishi.

- Ningekua nimeandika uongo popote pale ungewaona Diaspora nilioishi nao USA wangeshajitokeza hapa au my ex, umeona kajaribu jaribu kakimbia!

Thanks.

le Mutuz
Wanakujua ni one stupid big liar with a pinky finger sized dic.k so no muda wa kupoteza kwako
 
- hahahahaha bonge la jibu hahahahaha!

le Mutuz
Hahhaha yani unashindwa hata kufatilia posts zangu kuona kama zinaendana na uyo yur ex or not hahaha na bado unajiita akili kubwa.... nahisi akili zako ni ndogo kuliko ako kakibamia chako
 
Hahhaha yani unashindwa hata kufatilia posts zangu kuona kama zinaendana na uyo yur ex or not hahaha na bado unajiita akili kubwa.... nahisi akili zako ni ndogo kuliko ako kakibamia chako
We kyuma mnuko siufanye yako maalaya wakimboka ww,sasa kama humjui kwan umfuatilie wakat hakupendi?Kama hupendwi tafuta wakukupenda kiss me kirefu ww.
 
We kyuma mnuko siufanye yako maalaya wakimboka ww,sasa kama humjui kwan umfuatilie wakat hakupendi?Kama hupendwi tafuta wakukupenda kiss me kirefu ww.
Wewe choko mbona hujaquotiwa wewe unawashwa kujibu. Au we ndio kibamia mwenzake daudi bashite? Pumbavvvv
 
Nonsense, kawashauri kwanza maparoko wako waache kuvilawiti vivulana na kuwatafuna masister.

Kabinti ka Le Mutuz nina uhakika kwa maisha ya marekani hadi kulamba koni tayari kinajuwa na kuna wanaopiga mzigo.

Huu utakatifu wako peleka kwa nabii na mchungaji wako na usisahau kumpelekea na fungu lake la 10.
Mkuu Matola , Mapadre na Masister wapo Kanisa Katoliki na wao ndiyo wanaolawiti vitoto vidogo. Mimi binafsi siyo "Mkatoliki". Lakini nafikiri hao wakatoliki wameupata ujumbe wako.

By the way, ushauri wangu ulikuwa ni kwa ajili ya Le Mutuz na siyo wewe. Kama binti yake anafanya hayo uliyoandika wewe, hii ni juu yake mwenyewe. Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe!
 
Huyu mbaba yeye mwenyewe is not taking himself serious, mikaputula, unene uliokithiri, mdomo Mchafu etc, sasa hata mtoto wake anamtukana, ni aibu sana kwa mzee malecela, kuwa na humpty dumpty kama huyu
 
Huyu mbaba yeye mwenyewe is not taking himself serious, mikaputula, unene uliokithiri, mdomo Mchafu etc, sasa hata mtoto wake anamtukana, ni aibu sana kwa mzee malecela, kuwa na humpty dumpty kama huyu
I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
 
Back
Top Bottom