Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Nimejifunza kitu kuna jmaa yangu alikaa huko kwa trump yapata 10 yrs alikua anabukua!! sasa akawa ananipa story kuhusu blacks na tabia zao!! japo alikua anapata mazali ya bebez za kizungu kumpenda na nini!! nikamwambia jilipue kwa totoz moja ya kizungu..Lakini mwisho wa siku akaja kuoa zake tanzania!! na yupo zake huku.
Anasema Marekani atakua anaenda kutembea na sio kupiga job anasema na kodi ipo juu sana na pia alikua anamis sana vyakula vya asili huku, mbuzi choma, e.t.c !! anasema kama atafanya kazi ataenda nchi zingine.
Kumbe states Noma!! brazaa lemutuz hongera sana Umepigana sana na life ya kule!!
 
Hii issue ya AGAPEO mbona naona imezimwa kila sehemu kuanzia JF hadi kwa Mange post zimefutwa kama ZOTE.
Aisee walisema kuishi kwingi ni kuona kwingi. Yale matusi kumtukana baba mzazi ni kikomo cha uvumilivu. Lakini bado huwa nasisitiza. Internet ni sehemu inayoweza kumharibu mtu akabakia kama jivu isipotumiwa kwa uangalifu. Dogo anaonekana amekulia yale mazingira ya ki-black american 100%.
 
Nimejifunza kitu kuna jmaa yangu alikaa huko kwa trump yapata 10 yrs alikua anabukua!! sasa akawa ananipa story kuhusu blacks na tabia zao!! japo alikua anapata mazali ya bebez za kizungu kumpenda na nini!! nikamwambia jilipue kwa totoz moja ya kizungu..Lakini mwisho wa siku akaja kuoa zake tanzania!! na yupo zake huku.
Anasema Marekani atakua anaenda kutembea na sio kupiga job anasema na kodi ipo juu sana na pia alikua anamis sana vyakula vya asili huku, mbuzi choma, e.t.c !! anasema kama atafanya kazi ataenda nchi zingine.
Kumbe states Noma!! brazaa lemutuz hongera sana Umepigana sana na life ya kule!!

- Sasa tumeuza vitabu 900 wanasema ni record, na tunaendelea soon nategemea kwenda nje kuviuza zaidi.

le Mutuz Superbrand
 
I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
Mkuu siku ukikutana na hawa mablack hutawaelewa hata kidogo
 
Mkuu siku ukikutana na hawa mablack hutawaelewa hata kidogo

- Ok kama ni mtu uayefuatilia JF tthen unajua matusi yale ni ya Mama ambaye amekuwa akitukana hapa kwa muda mrefu sana, on a serious note yule mama ni wa kumuombea kwa Mungu kwa sababu niambie ni nani atamuajiri yule mtoto wakati matusi yapo kwa jina lake? huzuni sana

le Mutuz Superbrand
 
- Ok kama ni mtu uayefuatilia JF tthen unajua matusi yale ni ya Mama ambaye amekuwa akitukana hapa kwa muda mrefu sana, on a serious note yule mama ni wa kumuombea kwa Mungu kwa sababu niambie ni nani atamuajiri yule mtoto wakati matusi yapo kwa jina lake? huzuni sana

le Mutuz Superbrand
Yani inasikitisha sana,mtoto anaonekana amepandikizwa chuki sana na mama,haya ndo madhara ya utengani mkuu,songa mbele.
 
- Ok kama ni mtu uayefuatilia JF tthen unajua matusi yale ni ya Mama ambaye amekuwa akitukana hapa kwa muda mrefu sana, on a serious note yule mama ni wa kumuombea kwa Mungu kwa sababu niambie ni nani atamuajiri yule mtoto wakati matusi yapo kwa jina lake? huzuni sana

le Mutuz Superbrand

Una mawasiliano na wanao? Yaani yale ya baba na watoto?
 
Yani inasikitisha sana,mtoto anaonekana amepandikizwa chuki sana na mama,haya ndo madhara ya utengani mkuu,songa mbele.

- Mtoto hakupandikizwa Chuki hapana ni ujinga tu wa my ex, unajua ukiwa na chuki sana unakua huwezi kufikiri tena sawa sawa kwenye kulilia Divorce alidanganywa na wenzake by the time anakuja kugundua kua amekosea it was too late inahuzunisha sana ila sina la kumsaidia.

- Cha ajabu ni kwamba nilikua ninajaua toka mwanzo kwamba hajui analolifanya na baadaye atakuja kulia, leo miaka 7 baada ya na ameolewa lakini bado anahangaika na mimi, ananifuatilia kila mahali na ID za uongo mpaka inasikitisha sana.

le Mutuz Superbrand
 
- Mtoto hakupandikizwa Chuki hapana ni ujinga tu wa my ex, unajua ukiwa na chuki sana unakua huwezi kufikiri tena sawa sawa kwenye kulilia Divorce alidanganywa na wenzake by the time anakuja kugundua kua amekosea it was too late inahuzunisha sana ila sina la kumsaidia.

- Cha ajabu ni kwamba nilikua ninajaua toka mwanzo kwamba hajui analolifanya na baadaye atakuja kulia, leo miaka 7 baada ya na ameolewa lakini bado anahangaika na mimi, ananifuatilia kila mahali na ID za uongo mpaka inasikitisha sana.

le Mutuz Superbrand
So mchezo,unajua kuna baadhi ya wanawake wanaakili fupi,akili za kushikiwa ..anafanya kitu cha kipuuzi alafu anakuja kujutia baadae.

Fanya mpango mwanao umuweke karibu yako mkuu.
 
So mchezo,unajua kuna baadhi ya wanawake wanaakili fupi,akili za kushikiwa ..anafanya kitu cha kipuuzi alafu anakuja kujutia baadae.

Fanya mpango mwanao umuweke karibu yako mkuu.

- Mwanamke aliambiwa na alishauriwa na kila mtu kwamba anafanya makosa lakini akaamua kuwamaini marafiki zake wanaompoteza, Familia yake mwenyewe ilikaa chini na kumtaka arudi kwenye ndoa akawasikiliza wenzake, ndugu yangu sasa it is too late.

le Mutuz Superbrand
 
- Mwanamke aliambiwa na alishauriwa na kila mtu kwamba anafanya makosa lakini akaamua kuwamaini marafiki zake wanaompoteza, Familia yake mwenyewe ilikaa chini na kumtaka arudi kwenye ndoa akawasikiliza wenzake, ndugu yangu sasa it is too late.

le Mutuz Superbrand
Sasa ujinga ambao alifanya anajutia huko aliko.

Ndo mana unaambiwa always,kosea vyoote,ila sio kuoa
 
Back
Top Bottom