Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

πŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏnoma
 
Kuna mengi ya kukifunza kupitia maisha ya Le Mutuz
 
Respect brother
 
Duh, tulioishi ughaibuni, tunajua mengi, sintasoma comment za watu (Kwa sabb zangu binafsi) naendelea kusoma episode zako Lemutu.....niliishi miaka hiyooo umezidi miaka kadhaa.
 
- Tunduma nilimuambia ni mbali sana na alinielewa kwenye hilo, again nilikua majuu ninapigania maisha yangu kwanza.

le Mutu

Labda mida hii ila 3 hours ago nilim DM .kamkosea sana le baharia, ila nadhani mama yake naye ka play role ya kuweka chuki kwa watoto
Baharia anahitaji matibabu tu
By the way hata mwanae anapenda wabebezView attachment 871631
kavaa mkaputula au kanga,sasa akimuita babaake kiba100 si nayeye karithishwa kipilipili kichaa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…