Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
We kenge sana umeathirika na siasa mpaka akili yako imejaa matope ya siasa.Mavi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi kwenye kile kiblog chake ukiwa kinyume naye tu anakublock, fala sana huyu.Le mubebez inspirational & destruction story. still the best personal life story at JF [emoji2398]2021
Sent using Jamii Forums mobile app
Le super mmbebez- Hata publisher anasema haamini maana hajawahi kuona kila siku ninamuomba aongeze vingine, I am super humbled U know!
le Mutuz Superbrand
Ww una nn mkuu..Le mutuz ana stress nyingi za maisha...uzee umempiga na anaishi maisha ya kupiga mizinga bado, utakuta yupo anajisifia kuwa na youtube channel 😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi kwenye kile kiblog chake ukiwa kinyume naye tu anakublock, fala sana huyu.
Kuna mengi ya kukifunza kupitia maisha ya Le MutuzView attachment 704149
PART 70:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Baada ya kuondoka kwake tu my ex siku moja ofisini kwangu akaja mtu aliyejitambulisha kua ni Mwanasheria wake, akasema kamtuma tupange namna ya kugawana Mali zangu hasa Shamba na Nyumba yangu kule Kinyerezi. I almost fainted WHAAAT? nikamuambia yule Mwanasheria arudi kesho yake tuongee alipokuja nikamuwekea Makaratasi ya Mali zangu zote mezani na kumuomba anionyeshe ipi inayo onyesha mimi na yeye tunamiliki Mali zangu pamoja? nikamuonyesha Mlango alioingilia kua siku akirudi tena ofisini kwangu nitampa kipigo cha mbwa mwizi jinsi nilivyokua nimemchenjia ujumbe ulifika hakuwahi kurudi tena ...
Nilijua hasira ya my ex kushindwa kunipata kwa kuwatumia watoto kitawaka moto kweli alipofika tu USA akaanza matusi mapya ya kutisha hasa kwa Marehemu Mama yangu alitukana hasa sikua na wasi wasi cause asingefanya hivyo nisingejua kua nimempata at her games ..kinachomuumiza sana ni pesa anapenda pesa na pesa anazotumia sana ni za biashara ambazo yeye alikua amepanga kuzitumia kujifanyia mambo yake binafsi kashindwa cause nilimuwahi nikakimbia ...hahahaha...
Guys amkeni usingizini, ninayoyasema hapa huenda yanakukuta now au yatakukuta mbele ya safari. Usikubali kuangamizwa na Mwanamke mjinga kwa kisingizio cha maadili au Uanamme. Huwezi kua Mwanaume Mungu anayetaka uwe kama hauna Amani kwa sababu ya mke wako au mpenzi wako ...NA KUMBUKA SIKU ZOTE UKIONA MPENZI WAKO KICHWA KINAMUOTA MAPEMBE UJUE ANA SPARE TAYARI ....dawa ya Mwanamke mjinga ni kumuwacha hapo hapo au utaumia na ukimuwacha usiangalie nyuma tena utaumia na hasa OGOPA MWANAMKE MWENYE TAMAA YA MALI na OVER AMBITIONS, huwa hawajui wanalolifanya ingawa wao hujifanya wanajua sana utawasikia "I WANT TO BE FINANCIALLY SECURED", ukisikia Mwanamke anaimba hizi nyimbo kimbia utaumia ...
Imenichukua Miaka 4 ku overcome Completely yote niliyopitia kwenye ndoa ...yakikukuta tafuta ushauri usijifanye Mwanaume sana utakufa sio wanaume wote wapo kama mimi ambaye ninaweza kubeba maumivu bila kulia lia nikijua kua nitayavuka na ni muhimu kuyapitia for my own good....leo nipo tayari kuoa tena siogopi cause Mwanamke mmoja tu hawezi kunifanya kuacha kupenda wapo wanawake wazuri wa roho na tabia!
* * * * * * * * MWISHO! * * * * * * * * *
- Le
Respect brother- Unajua thanks a lot ingawa the fact that wananishambulia kuhusu Marehemu Mama yangu ni kwa sababu wamenishindwa mimi mwenyewe sasa wanatufuta soft touch ili wapige home run wamekwama, na again nisingefanya yote haya kama sio kuchafuliwa sana na my ex, ndio maana nikaamua kuweka record staright.
le Mutuz
Mnao mdisi hamna kibanda town Kazi kudis wenzenu tu nyie vp kenge nyieUmenena vyema mkuu
Teh teh teh 😂😂😂- Hata publisher anasema haamini maana hajawahi kuona kila siku ninamuomba aongeze vingine, I am super humbled U know!
le Mutuz Superbrand
...?Mange hapa duniani hakuna binadamu anayemsikiliza zaidi ya Dr Mwele Malecela.
Bado upo gizani. Pole.
Sa itakuwaje?Mange hapa duniani hakuna binadamu anayemsikiliza zaidi ya Dr Mwele Malecela.
Bado upo gizani. Pole.
- Tunduma nilimuambia ni mbali sana na alinielewa kwenye hilo, again nilikua majuu ninapigania maisha yangu kwanza.
le Mutu
kavaa mkaputula au kanga,sasa akimuita babaake kiba100 si nayeye karithishwa kipilipili kichaa kabisaLabda mida hii ila 3 hours ago nilim DM .kamkosea sana le baharia, ila nadhani mama yake naye ka play role ya kuweka chuki kwa watoto
Baharia anahitaji matibabu tu
By the way hata mwanae anapenda wabebezView attachment 871631