Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Unasema amekimbia familia kwani ww ndio ulikua unashika miguu wakati wanakwichkwich?? Mambo ya familia yana mambo mengi usikute mwanamke alikua anamfrustrate akae tu kwa vile yeye ana moyo wa chuma?? Wangapi wamekimbia familia na ni hapo hapo dar?? Le mutuz yuko vizuri sasa nimeanza kumuelewa.Wanamlipa sh. Ngapi sisi ndio tunamjua huyu ndio mana tunasema hivi Katelekeza Familia yake New york kwa rafiki yake halafu useme analipwa sijui nin nin upambanaji kukimbia familia
Mkuu humu kwenye story zake ndo nimemuelewa jamaa anapigana vita isiyokwisha ndio kuna pahali kasema vita ya mauti.Niilishahisi Le Mutuz hana uhusiano mzuri na akina Dr. Mwere na kwa simulizi hii, niki-connect na line za mama zao, siwezi kushangaa.
Baadhi ya wamama wa kambo wenye fikra za kimaskini hulea watoto wao kwa namna wawaone watoto wa mama mwingine kama ni threat kwao.
Na kama ni kweli Mama Mwere alimpora mume/bwana mama Le Mutuz wakati walikuwa marafiki, basi ni very possible chuki ya wanawake wawili walionyang'ana bwana kuhamia kwa watoto!!
Na kama baba ukiwa mdwanzi, au kv mshua mwenyewe ndo vile tena huenda alikuwa busy na shughuli za serikali (Le Mutuz been genius enough not to blame his dad) basi possibility ya kukutwa na yaliyomkuta Le Mutuz ni possible kwa sababu huenda mshua alikuwa wala hafahamu nini kilikuwa kinaendelea skani!!
Hayo mengine namwachia mwenyewe lakini kama aliyosema kuhusu family matter ni kweli basi ni possible Le Mutuz ni matokeo ya family bullying!
Hpa akabakiwa na option mbili... ama ageuzwe kuwa like houseboy asiye na mtetezi ndani ya nyumba ya baba yake mwenyewe au asepe!!
Hata hivyo, inawezekana pia Le Mutuz alikuwa Nuda kupita kiasi to the point he's a family shame!! Na kama anamsingizia Mama Mwere, basi Mungu anamuona!
Kwa hilo la uwezekano wa kukimbia child support, ndo maana nikasema sina uhakika walitengana lini lakini kama walitengana wakati wa hustle zake, unachosema ni 90% possible manake ambacho kingebaki hapo ni yeye kugeuka msukule wa mwanamke in the name of child support.Mimi nina kaexposure flani vilevile, Le Mutuz atasema sehemu ya ukweli lakini si ukweli wote, ila kiukweli kabisa child support inaweza kuwa ni moja ya sababu ya yeye kukimbia Marekani.
Kwa sababu kazi aliyokuwa anafanya Le Mutuz kwa level za Watanzania janjajanja alikuwa na kazi nzuri sana yenye mshahara mzuri sana huu ndio ukweli ambao watu wote ambao hawajatembeatembea ningependa waujuwe kama walikuwa hawaujui ukweli huu.
Ila mchizi nadhani mtu ambaye alipaswa kuwa mfariji wake mkuu lakini kamzinguwa ni mke wake Neema Ngwilulupi, ila hapa ni pagumu sana, kwenye ndoa kumjuwa nani tatizo ni lazima ukae na wote wawili uwasikilize ndio unaweza kujuwa nani ni tatizo.
Huyu mimi huwa simzimii namuona mpumbavu kupita maelezo, huwa anadiriki kumtukana Freeman Mbowe kisa siasa uchwara wakati ndio age mate wake na washkaji zake, wakati kwenye siasa za Mbowe sijawahi kumuona akifanya personal attacks hasa kwa washkaji, huyu jamaa ni wa kumsamehe tu sometimes ana tatizo la kisaikolojia.
Hana tofauti na TundaMzee anapenda kula uyuuuuuuu[emoji23]
Ndo mana mnene
Ushasafiri kuishi nje we mpuuzi .Mkuu ukimsoma le mutuz alisema alirudi bongo akiwa na dola 1000 pekee..........kwa maisha anayoishi sasa hivi na kwaa pesa aliyorudi ni sawa kusema katoboa!........hayo maisha ya kushinda kwenye mitandao na kufungua viblogu ndio yamempa umaarufu na kumfanya ajulikane ssana na kupata connection kwa watu wengi waliompa dili za hapa na pale mfan kuwatangazia biashara zao kwenye page yake ya insta n.k......kama sio mitandao ya kijamii ungekuta le mutuz sasa hivi amejikunyata sebuleni kwa mzee malecela anasubiri mzee afe arithi mali..........mi kinachonitatiza jamaa anasema alikuwa anasave sana lakini inakuwaje karudi bongo hana kitu?
We're 99.9% even...Mkuu humu kwenye story zake ndo nimemuelewa jamaa anapigana vita isiyokwisha ndio kuna pahali kasema vita ya mauti.
Hajamtaja mtu ila ukiconect dots unajua kitendo cha yeye kurudisha majeshi bongo hakikufurahiwa ndo pale alimention imekua threat kwamba ataclaim Mali za baba akifa .
Simple mathe .
Dr Mwelee Malecela daughter. (Goodmother to Mange).
Le Mutuz Malecela son (shame to a family )
Ipyana(rip)and others dnt know nothing .
The battle is big , mi nimepitia haya mambo so i know,i give respect to blaza le mbamia himself.
Wakati namaliza elimu yangu ya msingi.hahahaha nataniaMatola yuko toka JF inaanzishwa 2007 huko
Tunda nae anafukia yuuule lakin sijui anafanya mazoez,hakuwi na limwili kama lemutuzHana tofauti na Tunda
Tuwekee hiyo picha mkuuMzee Le Mutuzi tunaomba tuwekee picha zako za enzi hizo mimi nina kumbu kumbu ya picha yako moja ninayo hapa ukiwa umepiga Kalikiti kichwani [emoji41]
Kamenenepa kidogo siku hiziTunda nae anafukia yuuule lakin sijui anafanya mazoez,hakuwi na limwili kama lemutuz
Aliingia na Kutoka before.Unajuwa maana ya entry viza?
Kibamia ni sawa na kilema hakuna mtu anaejitakia hio kitu; comments zako zinaonesha jinsi akili yako ilivyo shithole..Lekibamia hahaa
Au unaongelea multi viza? Entry ni kama unavyokwenda Nairobi au South Africa tu hupaswi kuomba viza ubalozini bali unagongewa entry kwenye boda utakayoingilia.Aliingia na Kutoka before.
Sio mada,we unayejua nielimishe
Tatizo mijitu mingi humu haijatoka nje kwahio haijui maisha ya ma membelez. Ukishadivorce huko utapaona pachungu ni bora ujirudie bongo tu.Hilo la child support nilitaka sana kuliweka kama main cause ya kutoonekana na chochote lakini nikaamua kukausha kwa sababu sikuwa na uhakika sana na aina ya mahusiano yake na ex-wake!!
Sifahamu ni wakati gani alitengana nae! Kama ni wakati wa hustle zake au kipindi alichoamua kurejea Tz.
Child support US na Europe ni nyoko... Mwanaume ukishaingia cha kike tayari hesabu wewe ni Msukule wa mwanamke!
Sana yaani wajuzi ni wengi kila mtu ana mjua Le mutuz kwa utashi wake binafsi, Nyingine ni chuki tuu dhidi yakeWatu mmeshaharibu simulizi
Kokobanga na kukobangaLe Mutuz MOBIMBA ,Le Mutuz BOMAYE ,Le Mutuz CITWAYEEN,NYE NYE NYE.