Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Umenena vema mkuu achana na watu wasiokuwa na exposure hao, wamekariri maisha. Mtu anashindwa kujiuliza baba yake alikuwa mtu kubwa TZ lkn anabeba box ulaya, Lzm kunachangamoto alikuwa anakutana nazo. Wataalamu wa saikolojia wangeweza iweka sawa hii
Ni kweli kabisa mkuu. Wabinafsi ni rahisi sana kuhukumu wengine bila sababu za msingi.
 
PART 15.- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

was a Nigga trying to be someone l was not Wabongo tumezoea kuwaona Niggaz kwenye Cinema na Video za Music wakiwa potrayed as kool kumbe ni Uongo wa ajabu sana pole pole nikaanza kugundua ukweli kuhusu Niggazz kumbe ndio maana Bezo alinipenda sana alikua anajua siri ya Niggaz so alijua mimi kua Muafrika nina tabia tofauti na Niggaz guys ukweli ni kwamba Niggaz asili yao ni Utumwa sisi wabongo hatujawahi kuchukuliwa utumwa.

to their level so hatujui madhara yake kumbe Niggaz mpaka leo bado hawaja recover from kupelekwa utumwani kwa Babu zao mpaka leo bado wanacho kivuli kinawasumbuan bila ya kujijua.


nikagundua Wazungu wamewavuruga sana ndugu zetu Black Americans HAWAJITAMBUI kabisa waliwapa uhuru wa uongo ila kisaikolojia jamaa ni Watumwa mpaka leo on a serious note Nigga is a Nigga good for nothing hawafanyi kazi kabisa cause Wazungu wanawapa Social Checks kila ljumaa malipo ya kuishi bure wana nyumba maalum wamewajengea so wapo wapo tu nimasikini sana wa Mali na Akili


wana roho mbaya sana na wivu na nikagundua kwamba hata pale Maskani majority ni Jamaicanl Americans na ndio waliokua wananipenda sana knowing that mimi sio Full Nigga ambao kazi yao ni matatizo na Polisi kila siku na kulala Rumande ikafikia mahali mimi peke yangu ndio nilikua sijakamatwa hata siku moja wengine wote walishakamatwa kila siku in and out nilipigwa na mshangao wa why Wazungu wanatuletea hizi American Culture Africa.

ambayo wao wenyewe waZungu they dont even touch it cause unakuta Video na Cinema nyingi zina tukuza kuwepo Jela kama vile ni fun wakati it is not na misuruali kiunoni lakini hukuti mzungu anafanya huo upuuzi never i mean unakuta watoto Weusi wanacheza basketball mchana mzima mtaani watoto wa wazungu wapo Shule.


now niggazz wakaanza kunionyesha their otherside of character wakawa wanapigana ili na mimi nikamatwe nilale umande kama wao lakini I was too smart for them na Bezo alishaniambia mapema now kwa sababu yan tabia yangu nzuri ya kibongo Mabebezz wao wakaanza kumiminika wenyewe infact kuna time wale Vijana walikua wananibembeleza ni date dada zao ..hahahaha... I mean exciting nikaanza kumpenda mbebz Janicee! ...ITAENDELEA!
 
Safiiiiiiiiiiiii sana. Unaendelea kutoka pale alikokuficha.
 
Safi sana,nimeanzaakuonauona tatizo familiailia Hasa baba kuto fanya followup kwa mtoto kujua Anaendeleaje. Wanao mshambulie wanaupeo mdogo Wakuchambua Mabo ya kijamii
 
Kusoma Wanajua? Na angeiandika kwa lugha ya malkia cdhan km angeshambuliwa hvyo
 
Umemuumbua.. njia ya muongo kweli ni fupi
 
Vinavyo kushangaza ni vya kipumbavu, unataka akusimulie mahusiano, simulia wewe yakwako kwanza. Mwanaume af unapenda udaku. Huyu ana watoto, so usimuone hana akiri km wewe
 
Kweli kabisa, wanaponda kuhusu maisha Yake ya ndoa Wkt za kwao ni za kusukuma siku walee watoto. Waafrika aliye turoga Mungu atamfanya kitu kibaya.
 
Huyu huyu jamaa kitambo nilikua simuelewi kabisa na kumuona limbukeni fulani; ila baadae nilianza kumuelewa sana; huyu jamaa ni fighter, halafu ni mtu wa watu. Watu wengi anaogombana nao ni wivu wa kike na ugomvi wa kumchokoza. Sie tulioko huku mambelez hii story inajitosheleza tunamuelewa sana. Big up Le mutuz.
 
Kwa hiyo mange na le mutuz ni ndugu? Ugomvi wao ni mali za urithi...sa hapo mzee ni mzima siku akifariki itakuwaje? Mange ni upande wa mama wa kambo wa lemutuz... lu mutuz na mwale ni mama mmoja au kila mtu na mama yake? Ila wazazi tujifunze jinsi ya kulea familia..wake wengi nao ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…