Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Thibitisha mkuu otherwise chuki zako za kike peleka kwa mashilawadu wenzio ambao wengi ni washinda kijiweni kulaumu maisha tu
Bila shaka wewe ni KITAFUNWA,,, wapi nimeonyesha chuki..
 
Tatizo watu wengi wamekaa kuzodoa hata kama hawajui ukweli.

Let him live his life, na kama una swali no Bora kuuliza kuliko kuzodoa
Jamani ulikuwa wapi we mtu nimekumiss sana aisee in short naungana na wewe haya ma fake ID yanawafanya watu wajione kuwa kila kitu ni cha kuponda tu yaani.
 
Ukimaliza kumsoma Le Mutuz ingia kwenye Insta ya Tundu Lisu ndio mtajuwa huyu Le Mutuz ana degree ya 4 ya uwongo na uzushi.

Unapomsoma Le Mutuz uwe na uwezo wa kufilter maelezo yake maana hapa kuna watu keshawateka akili kwa hadithi zilizojaa kamba na fix kibao.

Kama swala chuki tungewachukia kina Bakhresa na Mengi na siyo Lofa mwenzetu kama Le Mutuz, wengine tunapinga uwongo wa huyu jamaa.
We una chuki zako za kifala tu kwa hiyo unamwamini Lissu tu si kingine.
Ulikua smart sana ila umeingia kwenye siasa umekua bwege
 
Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.
Mbona unamshambulia sana hivyo binadamu mwenzio? Kupitia maneno binadamu unaweza kujua ni wa aina gani.
 
kwa wafugaji wa kuku hawatapata shida kukuelewa maana ubongo wa boiler ni half dead ...jamaa anasema ni story ya maisha yake marekani...amesimulia a lot bt hajagusia mahusiano its normal thing kwenye story kama zake kuwa na para ya relationship...alafu uache kukurupuka nimesema hyo story yake labda kama ana kitu anataka kukiwasilisha lakini ina vitu vingi vya maisha ya kawaida kavifunika.....kwenda karudie fasihi simulizi shule ya msingi ku?@$%#fu miaka 5 mbele...
We kweli ni mkorosho, so unafikiri kipndi chote cha ubaharia alikua hagongi? Au km alichukua malaya nchi flani pia akwambie! Hivi unawajua mabaharia wewe? Ndo watu wanaoongoza kutembea na race tofauti tofauti, ss mambo mengine ni kujiongeza tu mzee baba uclete utoto watu wazma ukatucomfuse.
 
Nimepitia hyo HISTORY YAKO ya UBAHARIA,,, nimegunduwa ni UONGO MTUPU,, wewe mzee hukuwahi kuwa Baharia,, pengine ni STORY TU za VIJIWENI Umeamua kutuletea humu,,,, labda niwaeleze wakuu kwa faida ya wote... Ktk story yako umesema ulikuwa assistant engineer... Elewa kuwa ktk meli hakuna cheo HICHO.. Pili umesema umeshuka melini ukaenda marekani UKAWA unalala nje,,, means hukuwa na PESA,,, wakati BAHARIA YEYOTE pesa zake zinatiwa KWENYE account,,, ukishuka unazikuta zimejaa kwahyo km ulikuwa unafanya kazi melini kwa cheo HICHO ni lazima ungeshuka na pesa nyingi mno,, sasa why ulale nje? Ukose hata pesa za hotel? Wewe unataka kuhalalisha mambo yako ya hovyo unayofanya UTUDHALILISHE SEAFARERS... kumbe SEAFARERS ni watu wanaojielewa..... KWENYE meli Kuna MASTER,, CHIEF OFFICE ,,, OFFICES.,, BOSSEN,,,AB wa deck. .. na OS... hawa ni watu wa DECK.. Nina maana wanaofanya kazi juu ya meli..... Kuanzia MASTER ambaye Ndy CAPTAIN,, yeye ni mkuu wa meli,,, anafata chief officer ambaye yeye ni mkuu baada ya CAPTAIN,, kwa watu wa deck... Halafu Kuna 2nd officer,, 3rd OFFICE.. halafu Ndy officers wa kawaida.. Na hao AB wa deck na OS Ndy BAHARIA wa MWISHO... huko KWENYE injini ROOM Kuna CHIEF ENGINEER,, ndy mkuu wa mambo ya ufundi,,, 2nd engineer,, 3 rd engineer,, OFFICERS wa kawaida,, AB wa engineer.. Na OS,, sasa atwambiye huyo assistant engineer ni cheo gn? Msipigwe porojo za VIJIWENI,,, humu Kuna SEAFARERS kibao,,, asitudhalilishe na MAKAPTULA YAKE,,, anapaswa AOE,, na aache kuvaa MABUKTA kwa kisingizio cha UBAHARIA,, hiyo level yake ya mambo ya meli aliyokuwa nayo sio ya kwenda kubeba box marekani,,,, hata leo angekuwa na cheo HICHO cha mambo ya meli asingekuwa mpambe wa BASHITE,, hebu gougle Mshahara wa chief engineer,, au 2nd engineer,, kama hujaambiwa dola 8000 kwa mwezi... ubaharia hauna limit ya umri... Huyo mwongo kweupe,,,, mwambiye atuwekee pch YUPO on duty melini..... Wee mzee wacha fix... Nyie Ndy mabaharia wa kujichora NANGA MIKONONI,, hata meli hamuijuwi.. Mshahara wa ORDINARY SEAMAN(OS) ni dola 1000 hadi 1500 kwa mwezi.... Huyo ni mtu wa chini melini,,, OFICCERS wa kawaida wanakula DOLA 3500 hadi 4000 kwa mwezi,,, huyo 2nd. A 3rd engineer wanakula zaidi ya dola 6000 kwa mwezi.. Na kazi ni za mikataba miezi sita au tisa,,, unashuka likizo,, mwezi mmoja inchi KAVU.. Ni DOLA ngp angekuwa nazo? Aje awe mpambe wa BASHITE? atawadanganya wengine but sio SEAFERARS.. Awache meli akaendeshe malori,, ni UONGO
 
We kweli ni mkorosho, so unafikiri kipndi chote cha ubaharia alikua hagongi? Au km alichukua malaya nchi flani pia akwambie! Hivi unawajua mabaharia wewe? Ndo watu wanaoongoza kutembea na race tofauti tofauti, ss mambo mengine ni kujiongeza tu mzee baba uclete utoto watu wazma ukatucomfuse.
cheua mbele mkuu...[emoji57] [emoji57]
 
Story ya le mutuz inavutia na ni ukweli mtupu , kwa tunaojua tunampongeza kwa kuweka ukweli hadharani

Ila wenye roho mbaya ,chuki na husda , waana mhukumu kwa wasilolijua na kujifanya wanajua

Ipo siku Mungu atafungua Nyongo zenu na kumuomba msamaha William Malecela
 
Thibitisha mkuu otherwise chuki zako za kike peleka kwa mashilawadu wenzio ambao wengi ni washinda kijiweni kulaumu maisha tu
Melini hakuna cheo cha assistant engineer,, Kuna chief engineer,, 2nd engineer na 3rd engineer... Pia Mshahara wa 3rd. Au 2nd engineer ni zaidi ya dola 6000 kwa mwezi... Km angekuwa na level hyo leo asingekuwa mpambe wa BASHITE... Angekuwa kazini,,, asitumie tabia yake ya kuvaa MAKAPTULA na kuhangaika na teenage girls akasingizia UBAHARIA,,, ni vitu viwili tofauti... Pia asingekuwa hana pesa za kulala hata hotel baada ya kuacha KAZI,, ukiwa mwongo Uwe na KUMBUKUMBU
 
We una chuki zako za kifala tu kwa hiyo unamwamini Lissu tu si kingine.
Ulikua smart sana ila umeingia kwenye siasa umekua bwege
Ingia Google uangalie salary ya 2rd engineer kwa mwezi.... Ndy utaona uongo wake LEMUTUZ
 
Back
Top Bottom