hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
haya bhanaa umeshindahata avatar yako inabainisha ulicho andika[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya bhanaa umeshindahata avatar yako inabainisha ulicho andika[emoji23][emoji23]
Huko U.S.A kwani alienda na baba na je baba yake alikuwa anamuamsha asubihi kwenda kutafuta hela? Kuna watoto wangapi wa wa wakubwa yapo kama misukule yameshindwa kuwatumia wazazi wao walioshika hatamu hapa nchini.yote hayo aliyafanya kwa msaada wa influence ya baba..aache kujifanya hustler
Unaweza kututhibitishiaVery True..
Na kwa tabia yake, mambo mengine anayoyaweka hapo kwenye hii story ni UONGO.
Thibitisha mkuu otherwise chuki zako za kike peleka kwa mashilawadu wenzio ambao wengi ni washinda kijiweni kulaumu maisha tuHuyu jamaa KAMBA SN,, ameleta story za VIJIWENI,, ANA ACT ni yeye.,, USITUDHALILISHE SEAFARERS,,, hukuwahi kupanda meli,,, wala kufanya kazi melini, wacha FIX
Bila shaka wewe ni KITAFUNWA,,, wapi nimeonyesha chuki..Thibitisha mkuu otherwise chuki zako za kike peleka kwa mashilawadu wenzio ambao wengi ni washinda kijiweni kulaumu maisha tu
Jamani ulikuwa wapi we mtu nimekumiss sana aisee in short naungana na wewe haya ma fake ID yanawafanya watu wajione kuwa kila kitu ni cha kuponda tu yaani.Tatizo watu wengi wamekaa kuzodoa hata kama hawajui ukweli.
Let him live his life, na kama una swali no Bora kuuliza kuliko kuzodoa
We una chuki zako za kifala tu kwa hiyo unamwamini Lissu tu si kingine.Ukimaliza kumsoma Le Mutuz ingia kwenye Insta ya Tundu Lisu ndio mtajuwa huyu Le Mutuz ana degree ya 4 ya uwongo na uzushi.
Unapomsoma Le Mutuz uwe na uwezo wa kufilter maelezo yake maana hapa kuna watu keshawateka akili kwa hadithi zilizojaa kamba na fix kibao.
Kama swala chuki tungewachukia kina Bakhresa na Mengi na siyo Lofa mwenzetu kama Le Mutuz, wengine tunapinga uwongo wa huyu jamaa.
Mbona unamshambulia sana hivyo binadamu mwenzio? Kupitia maneno binadamu unaweza kujua ni wa aina gani.Kapambana vipi hakuna lolote unapambana halafu hakuna mafanikio sisi tunasema ulifeli maisha wakat wa ujana wako ndio huyu sasa kafeli maisha kabakia na historia tu na mabaharia wengi hata mtaani wamebaki na tattoo na Stori tu na kuomba omba na kujipendekeza kwa matajiri ili wapate chochote.hapo alipo hana mbele wala nyuma kutwa kujipendekeza kwa akina bashite,Asas group of companies na GSM.afadhali na uzee alionao angekua na chochote tungesema ni mpiganaji.fighter ukipigwa na maisha tayari umefeli hatukwiti fighter ni zero brain.
We kweli ni mkorosho, so unafikiri kipndi chote cha ubaharia alikua hagongi? Au km alichukua malaya nchi flani pia akwambie! Hivi unawajua mabaharia wewe? Ndo watu wanaoongoza kutembea na race tofauti tofauti, ss mambo mengine ni kujiongeza tu mzee baba uclete utoto watu wazma ukatucomfuse.kwa wafugaji wa kuku hawatapata shida kukuelewa maana ubongo wa boiler ni half dead ...jamaa anasema ni story ya maisha yake marekani...amesimulia a lot bt hajagusia mahusiano its normal thing kwenye story kama zake kuwa na para ya relationship...alafu uache kukurupuka nimesema hyo story yake labda kama ana kitu anataka kukiwasilisha lakini ina vitu vingi vya maisha ya kawaida kavifunika.....kwenda karudie fasihi simulizi shule ya msingi ku?@$%#fu miaka 5 mbele...
Young bucks, you can learn a few or two from this story. Pay attention and stay put...Shaka Zulu is on deck.
Mkuu hi ni lugha ganiNgh-ani zinji sitile nhumbulla..! Chevu nacho...,! Cjabarikiwa khs masuala binafsi ya familia..!
Hahaha....kwa nini mkuu?Ume blast mbavu zangu Chief!
cheua mbele mkuu...[emoji57] [emoji57]We kweli ni mkorosho, so unafikiri kipndi chote cha ubaharia alikua hagongi? Au km alichukua malaya nchi flani pia akwambie! Hivi unawajua mabaharia wewe? Ndo watu wanaoongoza kutembea na race tofauti tofauti, ss mambo mengine ni kujiongeza tu mzee baba uclete utoto watu wazma ukatucomfuse.
Melini hakuna cheo cha assistant engineer,, Kuna chief engineer,, 2nd engineer na 3rd engineer... Pia Mshahara wa 3rd. Au 2nd engineer ni zaidi ya dola 6000 kwa mwezi... Km angekuwa na level hyo leo asingekuwa mpambe wa BASHITE... Angekuwa kazini,,, asitumie tabia yake ya kuvaa MAKAPTULA na kuhangaika na teenage girls akasingizia UBAHARIA,,, ni vitu viwili tofauti... Pia asingekuwa hana pesa za kulala hata hotel baada ya kuacha KAZI,, ukiwa mwongo Uwe na KUMBUKUMBUThibitisha mkuu otherwise chuki zako za kike peleka kwa mashilawadu wenzio ambao wengi ni washinda kijiweni kulaumu maisha tu
Ingia Google uangalie salary ya 2rd engineer kwa mwezi.... Ndy utaona uongo wake LEMUTUZWe una chuki zako za kifala tu kwa hiyo unamwamini Lissu tu si kingine.
Ulikua smart sana ila umeingia kwenye siasa umekua bwege