Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Umenena vema mkuu achana na watu wasiokuwa na exposure hao, wamekariri maisha. Mtu anashindwa kujiuliza baba yake alikuwa mtu kubwa TZ lkn anabeba box ulaya, Lzm kunachangamoto alikuwa anakutana nazo. Wataalamu wa saikolojia wangeweza iweka sawa hii
Ni kweli kabisa mkuu. Wabinafsi ni rahisi sana kuhukumu wengine bila sababu za msingi.
 
PART 15.- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

was a Nigga trying to be someone l was not Wabongo tumezoea kuwaona Niggaz kwenye Cinema na Video za Music wakiwa potrayed as kool kumbe ni Uongo wa ajabu sana pole pole nikaanza kugundua ukweli kuhusu Niggazz kumbe ndio maana Bezo alinipenda sana alikua anajua siri ya Niggaz so alijua mimi kua Muafrika nina tabia tofauti na Niggaz guys ukweli ni kwamba Niggaz asili yao ni Utumwa sisi wabongo hatujawahi kuchukuliwa utumwa.

to their level so hatujui madhara yake kumbe Niggaz mpaka leo bado hawaja recover from kupelekwa utumwani kwa Babu zao mpaka leo bado wanacho kivuli kinawasumbuan bila ya kujijua.


nikagundua Wazungu wamewavuruga sana ndugu zetu Black Americans HAWAJITAMBUI kabisa waliwapa uhuru wa uongo ila kisaikolojia jamaa ni Watumwa mpaka leo on a serious note Nigga is a Nigga good for nothing hawafanyi kazi kabisa cause Wazungu wanawapa Social Checks kila ljumaa malipo ya kuishi bure wana nyumba maalum wamewajengea so wapo wapo tu nimasikini sana wa Mali na Akili


wana roho mbaya sana na wivu na nikagundua kwamba hata pale Maskani majority ni Jamaicanl Americans na ndio waliokua wananipenda sana knowing that mimi sio Full Nigga ambao kazi yao ni matatizo na Polisi kila siku na kulala Rumande ikafikia mahali mimi peke yangu ndio nilikua sijakamatwa hata siku moja wengine wote walishakamatwa kila siku in and out nilipigwa na mshangao wa why Wazungu wanatuletea hizi American Culture Africa.

ambayo wao wenyewe waZungu they dont even touch it cause unakuta Video na Cinema nyingi zina tukuza kuwepo Jela kama vile ni fun wakati it is not na misuruali kiunoni lakini hukuti mzungu anafanya huo upuuzi never i mean unakuta watoto Weusi wanacheza basketball mchana mzima mtaani watoto wa wazungu wapo Shule.


now niggazz wakaanza kunionyesha their otherside of character wakawa wanapigana ili na mimi nikamatwe nilale umande kama wao lakini I was too smart for them na Bezo alishaniambia mapema now kwa sababu yan tabia yangu nzuri ya kibongo Mabebezz wao wakaanza kumiminika wenyewe infact kuna time wale Vijana walikua wananibembeleza ni date dada zao ..hahahaha... I mean exciting nikaanza kumpenda mbebz Janicee! ...ITAENDELEA!
 
PART 15.- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

was a Nigga trying to be someone l was not Wabongo tumezoea kuwaona Niggaz kwenye Cinema na Video za Music wakiwa potrayed as kool kumbe ni Uongo wa ajabu sana pole pole nikaanza kugundua ukweli kuhusu Niggazz kumbe ndio maana Bezo alinipenda sana alikua anajua siri ya Niggaz so alijua mimi kua Muafrika nina tabia tofauti na Niggaz guys ukweli ni kwamba Niggaz asili yao ni Utumwa sisi wabongo hatujawahi kuchukuliwa utumwa.

to their level so hatujui madhara yake kumbe Niggaz mpaka leo bado hawaja recover from kupelekwa utumwani kwa Babu zao mpaka leo bado wanacho kivuli kinawasumbuan bila ya kujijua.


nikagundua Wazungu wamewavuruga sana ndugu zetu Black Americans HAWAJITAMBUI kabisa waliwapa uhuru wa uongo ila kisaikolojia jamaa ni Watumwa mpaka leo on a serious note Nigga is a Nigga good for nothing hawafanyi kazi kabisa cause Wazungu wanawapa Social Checks kila ljumaa malipo ya kuishi bure wana nyumba maalum wamewajengea so wapo wapo tu nimasikini sana wa Mali na Akili


wana roho mbaya sana na wivu na nikagundua kwamba hata pale Maskani majority ni Jamaicanl Americans na ndio waliokua wananipenda sana knowing that mimi sio Full Nigga ambao kazi yao ni matatizo na Polisi kila siku na kulala Rumande ikafikia mahali mimi peke yangu ndio nilikua sijakamatwa hata siku moja wengine wote walishakamatwa kila siku in and out nilipigwa na mshangao wa why Wazungu wanatuletea hizi American Culture Africa.

ambayo wao wenyewe waZungu they dont even touch it cause unakuta Video na Cinema nyingi zina tukuza kuwepo Jela kama vile ni fun wakati it is not na misuruali kiunoni lakini hukuti mzungu anafanya huo upuuzi never i mean unakuta watoto Weusi wanacheza basketball mchana mzima mtaani watoto wa wazungu wapo Shule.


now niggazz wakaanza kunionyesha their otherside of character wakawa wanapigana ili na mimi nikamatwe nilale umande kama wao lakini I was too smart for them na Bezo alishaniambia mapema now kwa sababu yan tabia yangu nzuri ya kibongo Mabebezz wao wakaanza kumiminika wenyewe infact kuna time wale Vijana walikua wananibembeleza ni date dada zao ..hahahaha... I mean exciting nikaanza kumpenda mbebz Janicee! ...ITAENDELEA!
Safiiiiiiiiiiiii sana. Unaendelea kutoka pale alikokuficha.
 
Safi sana,nimeanzaakuonauona tatizo familiailia Hasa baba kuto fanya followup kwa mtoto kujua Anaendeleaje. Wanao mshambulie wanaupeo mdogo Wakuchambua Mabo ya kijamii
Niilishahisi Le Mutuz hana uhusiano mzuri na akina Dr. Mwere na kwa simulizi hii, niki-connect na line za mama zao, siwezi kushangaa.

Baadhi ya wamama wa kambo wenye fikra za kimaskini hulea watoto wao kwa namna wawaone watoto wa mama mwingine kama ni threat kwao.

Na kama ni kweli Mama Mwere alimpora mume/bwana mama Le Mutuz wakati walikuwa marafiki, basi ni very possible chuki ya wanawake wawili walionyang'ana bwana kuhamia kwa watoto!!

Na kama baba ukiwa mdwanzi, au kv mshua mwenyewe ndo vile tena huenda alikuwa busy na shughuli za serikali (Le Mutuz been genius enough not to blame his dad) basi possibility ya kukutwa na yaliyomkuta Le Mutuz ni possible kwa sababu huenda mshua alikuwa wala hafahamu nini kilikuwa kinaendelea skani!!

Hayo mengine namwachia mwenyewe lakini kama aliyosema kuhusu family matter ni kweli basi ni possible Le Mutuz ni matokeo ya family bullying!

Hpa akabakiwa na option mbili... ama ageuzwe kuwa like houseboy asiye na mtetezi ndani ya nyumba ya baba yake mwenyewe au asepe!!

Hata hivyo, inawezekana pia Le Mutuz alikuwa Nuda kupita kiasi to the point he's a family shame!! Na kama anamsingizia Mama Mwere, basi Mungu anamuona!
 
Kusoma Wanajua? Na angeiandika kwa lugha ya malkia cdhan km angeshambuliwa hvyo
Hata mimi na-salute hustle zake including hizi za kidijitali!!

Lakini hata hilo la ku-save sana na kurudi Bongo bila kitu, issue muhimu hapo ni ku-save! Unarudi na kiasi gani inategemea ulikuwa unaingiza kiasi gani manake hicho ndicho kita-determine kiasi unacho-save . Unaweza ku-save sana lakini kama kipato chenyewe ni kidogo basi hata kile unacho-save hakiwezi kuonekana sana!!

Lakini kama nimemuelewa... ni kwamba amesema "ali-save sana" ili akapige shule!

Hey, don't forget, jamaa ana madigrii matatu!!!
 
Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok


Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972

Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956

Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia


Swissme
Umemuumbua.. njia ya muongo kweli ni fupi
 
Vinavyo kushangaza ni vya kipumbavu, unataka akusimulie mahusiano, simulia wewe yakwako kwanza. Mwanaume af unapenda udaku. Huyu ana watoto, so usimuone hana akiri km wewe
story haijafika mwisho lakini kuna kitu najifunza kwa huyu mtu
1. alitumia nafasi ya baba yake vizuri kiasi bila kuwa na utegemezi wa 100% tofauti na kama mimi mzee wangu angekua malechela nisingekaa nilale hata guest ya bei chee sembuse warehouse
2. Mpaka sasa hajalaumu sana familia yake amegusia kidogo umama wa kambo lakini hajaonesha athari za waziwazi kwenye maisha yake
3. kwa kiasi ni mfano wa kuigwa kwa watoto wa viongozi wengine kwa namna alivyohastle.
4. Naona hata now anauwezo wa kuwa billionaire kwa namna asivyo na aibu wa kujali he can do anything... ingawa mara nyingi mtu asiyekuwa na aibu busara yake inakua ndogo kiasi.

CHA KUNISHANGAZA...

Inaonekana jamaa jamaa alikua mdogo sana kipindi ambacho kwa Mimi tayari nilikua na mtoto kwa sababu ya hamu za ujana ...so jamaa hajaelezea hata nukta ya maisha yake ya mahusiano ....

Kingine kinachonishangaza kwa maelezo yake ukipiga hesabu alipotoka baharini alikua na pesa ndefu coz alikua havuti wala hanywi na misosi yote ni ya bure kwenye meli...lakini ni kama alianza moja from kwenye treni..sasa najiuliza alikua anasave how...labda sijaelewa..baharia mwaka mzima huna mpango na mwanamke ni hatari kidogo
 
Kweli kabisa, wanaponda kuhusu maisha Yake ya ndoa Wkt za kwao ni za kusukuma siku walee watoto. Waafrika aliye turoga Mungu atamfanya kitu kibaya.
Inasikitisha mno mkuu, waTz wengi huwa wanafurahia matatizo ya wenzao. Binafsi baada ya kusoma comments za wengi naona wengi wanajibu kwa kufuata mkumbo sidhani kama hata wanareason kidogo maana huwezi kosa kitu positive kwenye hii simulizi. Mimi namkubali lemutuz kwa kuwa haishi kinafiki ameamua kuishi anavyopenda yeye.
 
Huyu huyu jamaa kitambo nilikua simuelewi kabisa na kumuona limbukeni fulani; ila baadae nilianza kumuelewa sana; huyu jamaa ni fighter, halafu ni mtu wa watu. Watu wengi anaogombana nao ni wivu wa kike na ugomvi wa kumchokoza. Sie tulioko huku mambelez hii story inajitosheleza tunamuelewa sana. Big up Le mutuz.
 
Kwa hiyo mange na le mutuz ni ndugu? Ugomvi wao ni mali za urithi...sa hapo mzee ni mzima siku akifariki itakuwaje? Mange ni upande wa mama wa kambo wa lemutuz... lu mutuz na mwale ni mama mmoja au kila mtu na mama yake? Ila wazazi tujifunze jinsi ya kulea familia..wake wengi nao ni shida
 
Back
Top Bottom