Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Why compare his hustles with others? Uliposema tuu "Lemutuz cha mtoto" tayari hayo ni mashindano


Lakini kuna watu wamehustle kivyao mpaka wameitoa na wanapiga kimya tu. Kama hayo unaita ni mashindano ya shida, then okay.
 
Hili jamaa ni liongo kwelikweli, kuna matutusa yake humu hayajawahi hata kufika Nairobi ndio wanavutiwa na porojo zake.
 
Kwahiyo kwa wiki ulikuwa unatengeneza Tsh Millioni 10 na ukaacha kazi!![emoji3] [emoji3]

Anyway wapo mazezeta wenzako humu watakaokuamini kwa hizi porojo zako.
 
Kuna wazee wanazeeka vibaya nisaidie mungu nije kuwa mzee mwenye busara
 
We kweli mburula unasema mtu kama pdidy hana kitu.
 
Huo ni uongo halfcast ni nigga tu hakuna et higher class
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…