Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Yani kaishi majuu hata nyumba Hana kazi kusubiri urithi
 
We kinachokuuma ni nini?maelezo yote marefu ya nini? Sis tunasoma story iwe ni kweli au uongo sisi kwetu ni interesting story acha mboyoyo zako...watu tunasoma story za kna shigongo ya kutungwa sembuse hii..
 
Ukiwaona Wabongo wanaojitambua, mpaka leo hivi, huwa wanafanya kazi tatu tatu. Nguo na viatu, au fanicha wananunulia kwenye mitumba (Goodwill, au Salvation Army). Yaani vitu kuu kuu, vilivyotolewa bure na wasiovitaka tena.

Mara nyingi unakuta watu wanaokota makochi mazuri tu yaliyowekwa nje ya nyumba na tangazo kuwa ni FREE.

Kwa hiyo mtu anaejielewa na kama anataka kujiendeleza bongo, anaweza asinunue vitu kwenye maduka ya vitu vipya, labda kutembea tu. Anasevu hela zake kwa kununua vitu kuu kuu wakati anajijenga Bongo.
 
Hata USA pia ni hivyo hivyo.

Mtu kufanya kazi double shifts (16 hrs) kwenye nursing homes ni kitu cha kawaida sana.

Unaweza usimuone mtu miezi 3 ukadhani amesafiri kumbe anafanya kazi kuanzia saa 9 mchana mpaka saa 2 asubuhi halafu siku nzima analala na kuendelea hivyo hivyo siku inayofuatia.

Sasa mtu kama huyu atakwenda kwenye duka la Adidas saa ngapi?
 
Hivi Mange si muislamu yule? Inakuwaje kuwa na God-mother kama aliebatizwa kikristu?
 
ni hivi hakuna sehemu baharini meli inayozunguushwa km kipara vumbi inaweza kuzuiwa kwenda mbele na mawimbi hasa yaliyo katika mkondo mkajikuta mnatembea slow slow
 
We kweli mburula unasema mtu kama pdidy hana kitu.
We mburula we unafikiri wazungu wanawaza ublazamen km ngoz nyeusi. Wanaishia basketball na kuimba imba, wazungu wa marekani wanarusha wanaenda mwezi, sayarini, wanafanya mambo ya maana. Huwez kuta mabright huko wanavaa kiajabu ajabu km akina p.didy
 
sasa miezi 9 unaiona michache?...........yaani umuache mke wako kwa miezi 9 yote?
Achana nao hao c hawasimamishi, waache watu waendelee kuwagongea wake zao. Wao wanaiabudu pesa, yaan ukikulia familia masikini ni shida. Ndo maana wanalipwa pesa nyingi ili kuwafariji tu. Ukifanya kaz miaka 30 ya ubaharia inamaana umefanya kaz duniani miaka 15 au 10 tu, nani anataka huo ujunga, maisha yenyewe mafupi af yakaishie baharini! Huko ni sehemu ya kuishi samaki co watu. Mwacheni lemutuz ajivinjari na watoto wazuri ili afidie lile gap la miez 9 kwenye maji, hahahahaha
 
Bro,ukiona mtu anakubishia inawezekana kipindi hicho alikiwepo lakini alikuwa dogo tuu,au hakuwepo mjini,inawezekana hawajui TRA before ilikuwa inaitwa custom,ukweli miaka hiyo hapo long room it was peponi,sio siku hizi njaa imejaa,kwa hiyo ukiona mtu anakubishia kwa kuamini unadanganya!!!ilikuwaga ni kawaida mtu kuacha mchongo(kazi)wa pesa nyingi hata kwenda nje ya nchi kusoma miaka hiyo nazungumzia,late 80's na early 90's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…