Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mkuu Kuna kila dalili kuwa mzee ni mzembe kwny kusimamia familia, inaonesha familia iligawanyika siku nyingi huku baba akiangaliq tu nilale Kuchukua hatua stahiki.

All in all kilichomponza ni kuzaa na rafiki kipenzi wa mke wake, juu ulikuwa ni usaliti mbaya kabisa!

Lakini pia Sasa pale Kuna mama wa kipare (Anne Kilango-Malecela), mama huenda ameshikilia nalo zote Hakuna kugawa kwa mtu yyt, kwa wanaowajua wanawake wa kipare watakuwa wananielewa hapa!

Ila pia Kuna mzima tena mwanaume rijali mwenye miaka zaidi ya 50 kukaa na kusubiri kurithi Mali za mzazi ni aibu kubwa sana, .....kurithi???

Tafuta chako, kitu pekee mzazi anakupa kurithi ni elimu tu na sio Mali nyingine
Yani kaishi majuu hata nyumba Hana kazi kusubiri urithi
 
02d831005cca3993da295d91994176ce.jpg

Huyu dogo ndo Le Mutuz mnayemsema au nimekosea ?

Hapa akiwa kwenye tamasha na wanafunzi wenzie
Citoyen mobimba nyenyenye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi rank ya 2rd engineer ni ya kifala? unajuwa kama ni mtu mkubwa sn melini? Tena ni incharg.. Iweje awe KIBARUA? na huwezi UKAWA ENGINEER field.. ukiwa melini sea time unafanya ukiwa OS.... endeleeni kudanganywa.... Siku ZOTE ukitaka kujifunza jambo liwe really,, likiwa na uongo uta fail.... Hivi unadhani meli unapanda tu kama unavyopanda BAISKELI?
We kinachokuuma ni nini?maelezo yote marefu ya nini? Sis tunasoma story iwe ni kweli au uongo sisi kwetu ni interesting story acha mboyoyo zako...watu tunasoma story za kna shigongo ya kutungwa sembuse hii..
 
nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz hana mbele wala nyuma.
Ukiwaona Wabongo wanaojitambua, mpaka leo hivi, huwa wanafanya kazi tatu tatu. Nguo na viatu, au fanicha wananunulia kwenye mitumba (Goodwill, au Salvation Army). Yaani vitu kuu kuu, vilivyotolewa bure na wasiovitaka tena.

Mara nyingi unakuta watu wanaokota makochi mazuri tu yaliyowekwa nje ya nyumba na tangazo kuwa ni FREE.

Kwa hiyo mtu anaejielewa na kama anataka kujiendeleza bongo, anaweza asinunue vitu kwenye maduka ya vitu vipya, labda kutembea tu. Anasevu hela zake kwa kununua vitu kuu kuu wakati anajijenga Bongo.
 
Maisha ya ulaya hiyo ni kawaida. Mimi mwenyewe zamani wakati nilijiwekea malengo yangu na mgeni katika nchi ya watu. Nilikuwa nafanya kazi mno.nalala 6 na nusu naamka 11.naanza kazi na break yangu ilikuwa ndogo mno.nilipiga moyo nikajituma.nilivyoridhika nikaacha kufanya hivyo. Na kuna wahindi walikuwa wanafanya kazi mtu anaingia kazini saa 8 mchana mpaka siku ya 2 asubuhi( ni illegal) kufanya hivyo kila siku ila bosi wao alikuwa muhindi .ila mapumziko yake ya one hour sijui.siongelei USA naongelea nchi nyengine
Hata USA pia ni hivyo hivyo.

Mtu kufanya kazi double shifts (16 hrs) kwenye nursing homes ni kitu cha kawaida sana.

Unaweza usimuone mtu miezi 3 ukadhani amesafiri kumbe anafanya kazi kuanzia saa 9 mchana mpaka saa 2 asubuhi halafu siku nzima analala na kuendelea hivyo hivyo siku inayofuatia.

Sasa mtu kama huyu atakwenda kwenye duka la Adidas saa ngapi?
 
Mkuu humu kwenye story zake ndo nimemuelewa jamaa anapigana vita isiyokwisha ndio kuna pahali kasema vita ya mauti.
Hajamtaja mtu ila ukiconect dots unajua kitendo cha yeye kurudisha majeshi bongo hakikufurahiwa ndo pale alimention imekua threat kwamba ataclaim Mali za baba akifa .
Simple mathe .
Dr Mwelee Malecela daughter. (Goodmother to Mange).
Le Mutuz Malecela son (shame to a family )
Ipyana(rip)and others dnt know nothing .
The battle is big , mi nimepitia haya mambo so i know,i give respect to blaza le mbamia himself.
Hivi Mange si muislamu yule? Inakuwaje kuwa na God-mother kama aliebatizwa kikristu?
 
ni hivi hakuna sehemu baharini meli inayozunguushwa km kipara vumbi inaweza kuzuiwa kwenda mbele na mawimbi hasa yaliyo katika mkondo mkajikuta mnatembea slow slow
 
We kweli mburula unasema mtu kama pdidy hana kitu.
We mburula we unafikiri wazungu wanawaza ublazamen km ngoz nyeusi. Wanaishia basketball na kuimba imba, wazungu wa marekani wanarusha wanaenda mwezi, sayarini, wanafanya mambo ya maana. Huwez kuta mabright huko wanavaa kiajabu ajabu km akina p.didy
 
sasa miezi 9 unaiona michache?...........yaani umuache mke wako kwa miezi 9 yote?
Achana nao hao c hawasimamishi, waache watu waendelee kuwagongea wake zao. Wao wanaiabudu pesa, yaan ukikulia familia masikini ni shida. Ndo maana wanalipwa pesa nyingi ili kuwafariji tu. Ukifanya kaz miaka 30 ya ubaharia inamaana umefanya kaz duniani miaka 15 au 10 tu, nani anataka huo ujunga, maisha yenyewe mafupi af yakaishie baharini! Huko ni sehemu ya kuishi samaki co watu. Mwacheni lemutuz ajivinjari na watoto wazuri ili afidie lile gap la miez 9 kwenye maji, hahahahaha
 
Siwezi kudanganya watu ; ulizia tu watu enzi za mzee rukhsa hapo long room ilikuaje?? Sema hivho kizazi wengi waliobaki bongo wametangulia mbele za haki; tulikua tunaondoka na mifuko ya rambo imejaa pesa sndugu yangu.. ni uamuzi tu mtu kuacha maisha fulani kuifuata your dream life sawa na le mutuz alivotaka kua niggaz.
Bro,ukiona mtu anakubishia inawezekana kipindi hicho alikiwepo lakini alikuwa dogo tuu,au hakuwepo mjini,inawezekana hawajui TRA before ilikuwa inaitwa custom,ukweli miaka hiyo hapo long room it was peponi,sio siku hizi njaa imejaa,kwa hiyo ukiona mtu anakubishia kwa kuamini unadanganya!!!ilikuwaga ni kawaida mtu kuacha mchongo(kazi)wa pesa nyingi hata kwenda nje ya nchi kusoma miaka hiyo nazungumzia,late 80's na early 90's
 
Back
Top Bottom