Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Nitausoma huu uzi mpaka mwisho, there's a unique character and strength in you I'm learning. In fact, for a very long time I've been wrongly perceiving you kwa sababu you never came out to dispute all the allegations levelled against your character, I now know why you had always been quite. There's a lesson in this. I'm still waiting for more to be revealed
 
Le mutuz Umeandika mpaka machozi yamenilenga! wewe ni Jasiri kweli wewe ni komandoo vita haujaiaza Leo Since kipindi hiko mpaka Leo upo steel... Hakika ni kama walitangaza kifo chako! lakini naamini Mungu hujawahi muacha mwenye haki
wala watoto wake kuomba omba mtaani! yeye ni mwaminifu na bahati nzuri unammjua!

Pia nitumie Fursa hii kukuomba uni unblock uliniblok 2015 wakati wa campaign kosa lilopelekea kuni block ni baada ya kuhoji mbona matusi mengi , comment nyingi zilikuwa na matusi
please unblock @bosman_makoi najua ni bahati mbaya
 
Le mutuz Le Mobimba!
 
I salute this man, I'm just speechless aisee
 
Mkubwa unachokisema ni Sawa ila bongo ni kugumu sana kwa sisi beginners, tunatamani tufike where you are but capital ni shida. Acha na sisi tuanzie na Huo ubaharia then baadae tukiwa melini tutatafuta kiwanja cha kuanzia maisha kama ww ulivyofanya.
My details: Age 27, I am a student I pursue Bachelor of Engineering in Electrical and Electronic Engineering nipo mwaka wa mwisho so mungu akinijalia nikigemua mwaka huu mwezi wa nane nitajiunga pale Dar es salaam Maritime Institute (DMI) nisome Mandatory Course ninaimani ramani zitaanza kusomeka taratibu.
 
Daah
Maneno mazito sana umeongea kwa hisia sana yaan
 
Akikuunblock niombee na mm eenh
 
Dah, kweli shunie wakiku unblock utatulia tuliii, hata comments utakuwa hucomment, maana umewasisitiza sana, na wao wanazingua ina maana hawaoni maombi yako haya!
Yaan nitatulia nitakuwa mkimya nitatoa like tu wanaona basi tu
 
Sema umri na wewe una miaka mingapi kwahiyo?
 
Kwa kweli lemutuz ameleta mageuzi makubwa sana tena ametibu mioyo ya watu wengi ambao walikua wamepoteza comfdence baada ya kujikuta wameumbwa kiumbo kidogo

Nowday watu hawana hofu tena full kujiachia huko swimming

Am sure laiti kama lekokobangaz angeufyata baada ya video kuleak angekua amewazidishia uoga mkubwa wale wenye maumbo madogo

Kwakweli saiv tunatembea vifua mbele bila lekokobanga madem wangeendelea kutusumbua saiv hata ukitangazwa unacho unaweza ukajitetea tu kwa kumuonesha ile video na how u look after video kuleak

A so proud of you lekokobangaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…