James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Naona umeanza kukumkubali....however jamaa yupo true ktk maelezo yake you must agreeKwahili tuko pamoja and i strong support you.
Hizi ni kauli za kiume no matter what.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeanza kukumkubali....however jamaa yupo true ktk maelezo yake you must agreeKwahili tuko pamoja and i strong support you.
Hizi ni kauli za kiume no matter what.
Mkuu uko vizuri ktk hiyo lugha sawa lakini haivalidate the story and the msgSasa hakuna kilingala kinaitwa citwayen citoyen ni kifaransa maana yake citizen labda ulishindwa elewa jinsi ya kuandika kifaransa oi,oy=wa kwa kifaransa wewe ndo unapiga kelele nakurekebisha Anza kutumia citoyen sio citwayen
Tehe tehe. Mura anatumwa kuuza/kutembeza sabuni...hahaha!- hahahaha wangekuwa wanajua mengi wangeshasema, MWanamke alikataa ndoa nikamkubalia sasa kaishia mke wa pili na kubadili dini na kunitukana kwenye mitandao ya kijamii nini tatizo lake? hahahahaah sasa Mkurya kamuoa au kaolewa maana Mwanaume kutumwa kuleta sabuni za kuuza bongo kila wakati na mwanamke huoni ni huzuni sana? hahahahahaha mimi situmwi na Mwanamke yoyote in my life then and now!
le Mutuz
Mi nilikua nasema citoyen tu other stories I can't accept or doubt them I have never been there au kumjua tu huyo jamaa so siwezi kuponda. Though kuita waafrika wenzako nigga tena in a negative way ni ubaguzi mkubwa si useme black or African AmericanMkuu uko vizuri ktk hiyo lugha sawa lakini haivalidate the story and the msg
Yes kama ni baharia ni kazi inayolipa kuliko hyo social media bness anayofanya angerudi bongo na kupanda meli nyingineDah stori tamu sana japo watu wanamdisi kuwa jamaa nimuongo
Sasa hakuna kilingala kinaitwa citwayen citoyen ni kifaransa maana yake citizen labda ulishindwa elewa jinsi ya kuandika kifaransa oi,oy=wa kwa kifaransa wewe ndo unapiga kelele nakurekebisha Anza kutumia citoyen sio citwayen
Yes kama ni baharia ni kazi inayolipa kuliko hyo social media bness anayofanya angerudi bongo na kupanda meli nyingine
Sasa watu wanatoka mapovu ninaporekebisha baadhi ya SCENE KWENYE hyo story kwamba ni porojo
Hivi wewe una akili timamu kweli? Unaelewa nimemuunga mkono katika lipi?Naona umeanza kukumkubali....however jamaa yupo true ktk maelezo yake you must agree
Kaka asante kwa stori nzuri wenye kujifunza yumejifunza kupitia uliyopitia.- Ubaharia ni kazi ya hovyo sana ndio maana hapa mjini hakuna Baharia aliyefanikiwa kimaisha kama Baharia, labda Marehemu Machen peke yake na yeye haikuwa Ubaharia peke yake ilikua na zaidi. Mimi nilikua Baharia na nawajua almost wote, hapa mjini sijawahi kukutana na mtu mwenye mafanikio kimaisha akaniambia aliwahi kuwa Baharia.
- Kuishi Majuu ni ujanja ila kwa muda fulani sio kwa maisha yote, waliobaki Diaspora wajua rumba la ajabu la kurudi Bongo hakuna kitu wanaogopa kama hicho cha kuambiwa kurudi Bongo,
- Siku niliposhuka Melini niliapa sitarudia tena na kweli mpaka leo sijarudia kwa sababu sio kazi ya maana ni kazi ya Wazungu wasiokua na mbele wala nyuma.
le Mutuz
Acha ujuha inahusiana vp na madaNapekua humu siooni kale ka clip ka kutoka bafuni
Kaka asante kwa stori nzuri wenye kujifunza yumejifunza kupitia uliyopitia.
Naomba ufafanuzi ulichomaanisha hapo nilipobold mkuu. Kwanini wanaogopa kurudi, ni kwamba maisha hayapo vizuri kuwafanya waje wasalimie au inakuwaje. Umeniacha kidogo.
Trump anantukana mimi au wewe unaelazimisha Le Mutuz aishi unavyotaka wewe! Let him live his life, hata huyo Trump hafatilii maisha ya mtu ndo maana kuna Mashoga na Mahakahaba na serikali haiwabughudhi ilimradi hawavunji sheria na wanalipa kodi. Ishi maisha yako, hata ukitaka kuwa shoga its up to u, ukipata mshahara nenda kale bata Dubai nawewe usilazmishe aishi kimasikini km wewe.exposure gani kijinga wewe ni ulimbukeni tu.ndio maana TRUMP awatukana
Mcheki p.m uwenda atakuelewaUsicheke jaman utaharibu hapa naomba anunblock insta hata dalili siioni sijui ndio nazidi kuharibu
Bado hujafunguliwa tu jamani!! Au tuandamane nini? Binafsi nammiss sana ndio maana niko fulu kny huu uzi.Usicheke jaman utaharibu hapa naomba anunblock insta hata dalili siioni sijui ndio nazidi kuharibu
Na kumqote nilimqote mama naona ameamua kuuchunaBado hujafunguliwa tu jamani!! Au tuandamane nini? Binafsi nammiss sana ndio maana niko fulu kny huu uzi.
Quote hajibu itakuwa pmMcheki p.m uwenda atakuelewa