Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Again Vijana wana Choice kusuka au kunyoa!
Vijana wa Bongo wengi wao wana-spew hatred because they are in "captivity of negativity". Wakati wao wanakupinga na kukuchukia wewe una-make dough!

Nimeipenda sana "story" yako ya maisha na hakika nimejifunza kitu hapo. Hao wanaokuchukia waache wachukie, na hiyo ni sehemu ya maisha pia. Huwezi ukapendwa na kila mtu. Live your life bro.

Pamoja sana W. J. Malecela (Le Mutuz!)
 
Hatimae le kibamiaz amekuja kujibu za wana jf
Ni ujinga wa kiwango cha lami kum-attack mtu kwa sababu ya maumbile yake. Hizo ni akili za kitoto kabisa. Mtu yeyote yule mwenye akili zilizokomaa vizuri hawezi kumsema mwenzake kwa sababu ya maumbile ya viungo vya mwili.

Hakuna binadamu anayechagua kiuongo chochote cha mwili wake. Acha "ulimbukeni" wewe atlas copco .
 
Sasa watu wanatoka mapovu ninaporekebisha baadhi ya SCENE KWENYE hyo story kwamba ni porojo
Mkuu mwandende wewe ulikuwa unasema eti Le Mutuz hajawahi kuwa ''baharia", sasa ameweka ushahidi wa makaratasi yake, naona umepiga kimya.

Ingependeza sana kama na wewe ungetuwekea ushahidi wa kuonyesha ni meli gani unafanyia ubaharia wako.
 
Thanks
 

- Well, hili suala zima la Kibamia ni yale yale tu, my ex wife ameanza siku nyingi sana kunishambulia humu Jamiiforums kwa jina la "Case Mtanga" now nenda yapitie matusi yake yote toka alipoanza mpaka alipoachia kama kuna hata point moja alipogusia maneno ya Kibamia, infact alipoona singishiki ma mashambulizi yake hapa alimtafuta Mange akaanza kushurikiana naye mpaka akampa copy ya my Passport lakini hata ukisoma mashambulizi yake na Mange hutalikuta hilo neno,

- Again toka Mange ameanza kunishambulia ametumia maneno mengi sana ya matusi, akafika mahali akaanza kutumia ID zake Instagram kunitengenezea story akidai ametumiwa na watu kumbe ni yeye mwenyewe, kwa msiojua this game la Social MEdia ni kwamba Mange anazo ID kama 100 ambazo anaweza kuzitumia kukushambulia in one topic wewe ukadhani unasambuliwa na watu wengi tofauti ukitaka kujua kua ni ID zake utakuta followers 0. However hakuwahi hata siku moja kusema maneno ya Kibamia ni kwa sababu kwa kuongea sana na my ex wife anajua sio ukweli.

- However, huwa sina haraka na anything in my life hili suala la Kibamia nitakuja kulijibu kwenye kitabu changu cha "MY INSTAGRAM DATING LIFE" kwa sababu mle Instagram I have dated so many women Maarufu na wasiokua ambao ndio mashahidi wangu on that ingawa sio muhimu sana lakini for the sake of setting the record straight will do that. Otherwise, ningekua na Kibamia kweli my ex Wife angekua mtu wa kwanza kukomalia hiyo ishu kwa sababu kwa kuishi na mimi Miaka 15 kuacha Miaka kama 10 ya ku date tukiwa watoto sidhani kama baada ya kudate KIBAMIA kwa miaka 10 ya utoto wake angekubali kuja kuolewa na tena na KIBAMIA na kuishi nacho miaka 15 sio kweli, na besides Umaarufu wa Instagram umenifanya nitembee na wanawake wengi sana ambao kama ingekua kweli wangeshajitokeza siku nyingi sana kutoa ushahidi.

- One thing I must admit ni kwamba pamoja na matatizo yote niliyoyapitia bado siamini kwamba Matatizo yangu ni ya wengine hapana I am responsible na matatizo yangu ambayo mengi pia nimejitakia mwenyewe kwa kujua au kutokujua, kwa mfano Msichana aliyenirekodi nimekua naye close range dating for last two years infact nilikua ninaelekea kumuoa, akafanya kosa ambalo huwa sina msamaha nalo la kuchangia msichana wangu, Sheria ya Maisha yangu ni nikijua hapo hapoa namuacha. Niligundua Jumamosi nikamuacha Jumapili rasmi, Jumatatu akajifanya yeye alikua na Bwana siku zote na Jumanne kale kavideo kakatokea, Polisi wakaniomba niwape ruhusa wamkamate nikakataa nikawaambia muacheni ni Msalaba wake na Mungu wake.

- Ishu ya Kibamia haijaniumiza sana kwa sababu tu sina kibamia ila ningekua nacho kweli ninaamini by now ningekua nimeshajitoa Social Media kwa ujumla, again ninasema kwamba ishu ya Video makosa yangu yalikua ku date msichana mwenye uwezo mdogo wa kufikiri, ingawa pia imenihakikishia of how Good of a Man I am kwa sababu sijawahi kuachana na Msichana yoyote kwa amani ni kwa sababu wanakua wanajua watakachokikosa baada ya kuchana na mimi, so wanapigana na ile spirit ya "TUKOSE WOTE" but its ok yote ni maisha, na maisha lazima yasonge mbele.

Again I hope nimemsaidia mtu hapa.

Le Mutuz
 
Ila kwa watu wanene huwa cyo issue, kibamia ni kawaida wala siyo ugonjwa. Nye nye nye!![emoji91][emoji91][emoji91]
 
1.Naomba kujua umri wako tafadhali?
2.huwezi kushare msichana, na ukigundua unamuacha..... Wewe ni halali kuwa na wasichana wengi? Husisha na dini yako pia na maandiko yanasemaje.

Ushauri wangu kwako.

Umri wako sio wa kupiga kelele mitandaoni na watoto, unajidhalilisha bure, kwani ukiwa kimya ni dhambi?.siku zote mtu anaheshimika kutokana na jinsi anavyojiweka.
 
Hahahaha umelichanachana
 
Hahahaha umelichanachana
Muwe mnasoma bandiko kuanzia mwanzo mpaka lilipo Kabla hujakoment ......wakati wewe unaona kalichanachana .Let mutuz kashaweka na ushahid wa meli aliyopanda na ukionyesha na cheo alichokuwa nacho.Sasa kazi imebaki kwa huyo mtu wako kwani ametakiwa na yy aonyeshe ushahid wake.Na kashapiga kimyaaa baada ya le kokobanga citwa yeen kuweka ushahid
Mkajipange
 
Hakika umewajibu wote hao wanaokushambulia. By the way, you are one of those courageous people who ever lived. Keep up the spirit bro!

Tuko pamoja sana mkuu. I am looking forward to reading your book.
 
Mkuu William, katika hii post umegusia juu watu uliokuwa nao ktk uhisiano kuwa watakuwa mashahidi wako ktk suala la ufhalilishaji w maumbili yako ya siri.
Sasa huoni kuwa ukiwataja ktk hiyo story to come ya maisha yako ya Instagram inaweza kuharibu either uhusiano wao wa sasa au image yao ktk jamii. Au utaomba ridhaa yao?
Wasiwasi wangu usije ukaingia ktk hayahaya ambayo unayapinga.
 
mnamwendekeza tu huyu pimbi matonya hana lolote ataje umri anaficha nini

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Yaan nitatulia nitakuwa mkimya nitatoa like tu wanaona basi tu
Aisee jinsi unavyombembeleza Le Mutuz! Yaani nafikiri hata aki............. anyway acha nisiendeleee.
By the way, ndugu yangu W. J. Malecela hebu msikilize huyu mdada anakubembeleza sana um-unblock Instagram, anaitwa Shunie , nenda kwenye Pm yake muwasiliane bhana. Le Mutuz Mobimba. Nye, nye, nye.
 
Usijali mkuu,, ipo siku nitafunguwa Uzi humu,, ambao hauna hata chembe ya chumvi... Na utakuwa ni zaidi ya kusisimua.... Huo Uzi utahusu Tangia nasoma hadi nafanya kazi kwa WADOSI Posta,,, niliposafiri kwa mara ya kwnz..then Kwenda INDIA KUTAFUTA,,, MAISHA.. Then MAISHA ya SEAFERAR... hadi sasa...
 
Acha porojo bwana mdogo mwandende wewe ulisema Le Mutuz hajawahi kuwa baharia, sasa yeye ameshaweka ushahidi humu wa barua inayothibitisha meli aliyokuwa anafanyia kazi.

Na wewe hebu weka ushahidi wako tuone kama kweli wewe ni SEAFARER kama unavyojinasibu.
 
Mkuu mwandende wewe ulikuwa unasema eti Le Mutuz hajawahi kuwa ''baharia", sasa ameweka ushahidi wa makaratasi yake, naona umepiga kimya.

Ingependeza sana kama na wewe ungetuwekea ushahidi wa kuonyesha ni meli gani unafanyia ubaharia wako.
Nimepiga kimya sababu nimeona ni UPUUZI kufuatilia story yake,, nikajiweka pembeni muendelee kudanganywa,,, USHAHIDI ninaoutaka mm sio USHAHIDI wa makaratasi,, aweke USHAHIDI wa picha,, yupo mwenye meli hyo,,, nimeshajiridhisha kuwa hakuwa SEAFERAR,,, labda wa inchi KAVU,, labda nikukumbushe mkuu,, hyo miaka anayosema amesafiri Ilikuwa ni miaka ya UONGO MWINGI,, nakumbuka watu WENGI kipindi HICHO Ilikuwa wananunuwa DOMUMENTS FAKE za meli,, NINA MAANA discharge book.. pomoja na documents zingine,,, zikiwa zimegongwa mihuri yote,, ili tu akifika mbele aonekane ni SEAFERAR,, Na kwanini watu wanasoma SEAFERAR... wanasoma ili kujuwa sheria na kuijuwa meli hata kabla hujaipanda,,,, hata kama mtu atakuwa na mavyeti,,, lakini hakusoma,,vyeti vina maana gani! yeye hajuwi vyeo vya MELI,,, atajuwaje SEAFERAR? Na Bado nalifanyia kazi suala LA kuingia BELGIUM kwa viza,,, maana miaka hyo TANZANIAN Passport holder Ilikuwa inchi nyingi za ulaya na UK unaingia BILA VISA,,, bado nachimba chimba gougle.... nione uongo wake... Mimi ni SEAFERAR,, na siwezi kuweka nipo meli GANI,, kila mtu anajuwa humu yupo UNKNOWN.. ILA maelezo yangu yanajitosheleza,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…