Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mkuu, niwie radhi, tuendelee na story, nisija kukutibua tukakosa story yetu nzuri. tafadhali, lete story bwana watu wanasubiri. mimi na wewe tunatofautiana vitu vichache tu, umri mkubwa ila una mambo ya kitoto, kwa umri wako you deserve to be my father kabisa, nakuheshimu kwa hilo, kingine kujiona una akili nyingi wakati sisi wenzio tunaokufahamu tunakuona wa kawaida tu, sio mjinga ila ni wa kawaida sana, na hata story yako ukiisoma inaonyesha umefanya mambo ya kawaida mno yasiyotumia akili bali nguvu, isipokuwa ni story itakayowasaidia sana watoto wa kitanzania hasa wanaoamini kenda majuu ni kufanikiwa ukikanyaga tu ardhi, wajifunze kuvumilia na kuishi kwa kujitegemea etc. nasema toka moyoni tuishie hapa malumbano twende kwenye story mkuu!
 
HAYA MWAGA MAMBO HAYO MKUU ..nasubiri kuona hao mademu waliokulwa na mtu Mwenye mafanikio ...
[emoji3][emoji3][emoji3]
Nawaza tu hapa sijui watatajwa na majina yaan
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Nawaza tu hapa sijui watatajwa na majina yaan
akiamua kutaja majina hapa da betina (mange) atakuwa wa kwanza kupakaziwa. sipati picha atakavyochafua insta kwa hasira.
 
 
hivi mheshimiwa waziri mkuu mstaafu, ina maana hili koloni alilisahau kabisa, akasahau hata siku ile walivyokutana? hata kumjengea kakibanda hako tu jamani, wakati huo lembebez alikuwa anakula maisha na nigaz America, story yake yote ile ya naman alivyokuwa anabadilisha wanawake marekani mamake kamsahau ivyo, no wonder laana inamfuata hakiya kweli. shukran gani sasa alimpa huyu mama, amekuzaa ukamkimbia 30 years majuu na umemwacha kwenye kijumba hicyo wewe unabadilisha volkswagen jetta. hahahaha.
 

- Seriosly ni mawazo yako tu ila kama ni story ya kawaida sidhani kama ungekua hapa unaililia, na isingekua inaliliwa na watu wengi sana duniani wanaonibembeleza kila siku niendelee wewe sio kamusi wala Biblia ya kupima mafanikio ya watu wa JF kimaisha hapana ungekua ningejiua tayari hahahahahahaha

- Sitishiki na maneno yako ya shombo ninajua kwamba my story is big na inakubalika sana na Dunia, Viongozi na Matajiri wengi sana wananiomba nisiache na tayari kuna makampuni 3 ninayo ongea nayo kuhusu kukidhamini, so mkuu sawa Shetani aliyekutuma kunikatisha tamaa ana akili sana ila ninamzidi sana ndio maana unahangaika, hahahahahaha kajipange tena hahahahaha

le Mutuz
 
 

- hahahaha nina laana na huku nimemzika na ninamjengea kaburi, wenye laana unawajua au unasikia tu? unajua maana ya laaana? hahahahahaha

le Mutuz
 
akiamua kutaja majina hapa da betina (mange) atakuwa wa kwanza kupakaziwa. sipati picha atakavyochafua insta kwa hasira.
Kwa Mange hawezi yaan nawaza mtu unawekwa picha yako na jina lako [emoji3][emoji3] watu watakufwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…