Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.

le Mutuz
Duuh...tumejua mengi kuhusu wewe.
 
Lakini mzee William Lemutuz mbona unapenda kumsingizia x wako Neema Ngululupi maneno ya uongo kama amewakataza watoto wasikuone wakati wewe mwenyewe uliwaacha na bila matumizi labda baada ya miezi kadhaa dola 50 au 100 sasa hapo super bilionea huoni aibu?walivyokuja bongo wewe mwenyewe ulishuhudia walivyokataa kukuona pale Pugh na mama yao alikuwa anawabembeleza waje kukusalimia lakini wenyewe wakakataa hadi ukawa unalia kwenye gari na mama Neema akaja kukubembeleza,juzi juzi mtoto wako wa kike alikuja akaenda kumuona hadi Dk Mwele na mzee Malecela lakini wewe mwenyewe ulikataa kwenda seaview kumuona na ulikataa hadi wito wa baba yako sasa makosa ya Neema au yako Mzee Lemutuz?acha kujidhalilisha mzee na watoto wako amezidi kukasirika na kuaibika na Ile video yako ya uchi kwa mange imefikia wanamuita mtoto wako Agapeo kipoint kwa ajili ya mambo yako ya kitoto.
 
- hayo maneno sio ya Nuru, aliyaanza huyo kijana tena alimuambia msichana mmoja kutoka Uholanzi niliyekua ninamla.

le Mutuz
Mkuu unaongea mpk unatia huruma asee nahisi kama umebadilika umekua mtu mzuri usie na majigambo, au kuna kitu umekamatika hapa ndo maana umekua mdogo maana nlitegemea yale maneno yako ya ubabe. Na pia nmeshangaa leo kuona mpk papaa Matola amekuonea huruma
 
Ha ha ha ha ha we mbwiga uwage unanitembezea hako kabange unakokulaga kabla ya kukomenti
 
Samahani mkuu naomba kujua umri wako.matusi sitaki
 

Ok hahaha huyu ni my ex mwenyewe saafi saana fanially umekuja hahahaha nilijua huwezi kukosa, ok

1. Kwanza sikuenda kuwaona Pugu, nilienda kuwaona Ukonga/Sitakishari Wewe ukawawahi kua wasinisalimie aliyekuwepo ni dada yako Iku tu, nilikua nimefuatana na Shemeji yako Captain wa Ndege, nilimuambia mapema kilichonileta ni ushahidi tu maana nisingekuja mngenilaumu mpaka kufa kua siwajali watoto. Ndio maana nilikuja na tiketi ya ndege maana nilijua nikiondoka mtakaa kikao cha familia mtanitafuta tukae kikao cha kuhusu watoto. Nilipotoka huko Sitakishari nikapanda ndege Mbeya kwenda kujificha mpaka uondoke, mkaanza kunitafuta na familia yako nikasema nipo Mbeya sirudi Mama yangu anaumwa au umesahau nikamwambia Mama yako mzazi kua sina mpango wa kukaa kikao kujadili watoto wangu, nataka muwaruhusu waje kwangu au bakini nao ila sirudi nilikua nasibiri uondoke kwanza nikarudi na ndege ya usiku baada ya wewe kuondoka na Emirates, hahahahaha

2. Baada ya kuwakataza watoto wasinisalimie wewe ndugu zako mkajipanga getini muone kama nitalia hahahaha nilikua kwenye gari na shemeji yako Captain nilipowaona nikaanza kucheka nakumbuka mlivyopigwa na mshangao kuniona nacheka hahahahaha

3. Siku moja ukawatuma watoto kwa Baba yangu akaniita nikamkatalia nikamuambia watoto wangu siwezi kuwaona kwa kuvizia vizia never, mpaka huyo Mwanamke atakapokubali kua ni wangu au wao wenyewe watakapokua ila kuja kuwaona kwako itakua ni kuwazivizia, SITAKI au umesahau?

4. Mama yangu alipofariki sio wewe uliyewatuma wanitafute hahahaha uliwauliza nilichowajibu au umesahau? wewe chezea wengine sio mimi sina muda wa mchezo na ujinga ujinga,Watoto sio wangu sasa video imekuwataje? hahahaha unayejidhalilisha ni wewe maana unatakiwa kukubali kwamba wewe ni jeuri lakini hapa umekutana na ukuta, halafu nikuulize idea ya kuwabadilisha majina yao uliishia nayo wapi? hahahahahahahahahhaa

5. Imagine kutoka kua mke wangu mpaka kuishia kua mke wa pili na kubadili dini kua musilamu kwa mtoto wa Mchungaji, huoni ni laaana fulani hivi hahahahahhaa nilikuambia Mwanaume kama mimi hand hahahahahhutampata utaishia wanaume second hand huzuni sana hahahahaha

le Mutuz Mobimba
 
Too smart

Nimependa sana hii story ina mafunzo makubwa nimesoma mwanzo ilikuwa unbalanced ila umekuja umefafanua mambo nilikuwa nakuona unajiita mzee wa fact ila indeed unastahili kuwa mzee wa fact

upo vizuri sana nakumbuka kipindi kile tunasumbuana jf 2010's siku umeingia bungeni kuomba kura za ubunge wa east africa nilikuwa sikuelewi vizuri ila kwa story hii SALUTE BRO. umenifungua unaishi ndito zako ujachange ila kwa mbali umeanza kuni inspire na mimi niishi navyopenda si kama watu wanavyopenda.



Am humbled u know
 
Wapi huko mkuu?
Walikua wanaishi Mwenge NHC nyuma ya TRA siku hizi,namkumbuka huyo mama na huyo dada yake Rankeem;Yule mother alizaa na vigogo wa enzi hizo maana baba yake Rankeem naye alikua Mwenyekiti wa Magamba mkoa wa Dsm enzi za chama kushika hatamu
 

- Pamoja sana U know jhahahahahaha I love it

le Mutuz
 

- hahahahaha Wabebebzz wote niliowa date niogope huuu upuuzi please hahahahahaha pole sana mimi ni yule yule Mobimba Bomayeee! hahahahahhaa

le Mutuz
 
Walikua wanaishi Mwenge NHC nyuma ya TRA siku hizi,namkumbuka huyo mama na huyo dada yake Rankeem;Yule mother alizaa na vigogo wa enzi hizo maana baba yake Rankeem naye alikua Mwenyekiti wa Magamba mkoa wa Dsm enzi za chama kushika hatamu

- Ni kweli alizaaa na baba yangu msichana ambaye alijiua baadaye, now naomba kuuliza makosa yangu ni nini hasa mpaka kuhusishwa naye? hahahahahahhaha

le Mutuz
 
Mkuu nakasingo ka taarabu naweza piga kolabo na ww maana si kwa mipasho hiyo
 
Lilimsingizia hilo linuru...limeliwa halafu linampakazia

Ovyo kabisa!
 
- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.

le Mutuz
Unaiuza sh ngapi mkuu?
 
Kuhusu lemutuz kusema anaakili kubwa me naunga mkono the man has a little head but thinner brain.me mwenyewe naakili kubwa najijua cause najijua sisubiri mtu anijaji wakati akili ninayo mm na naiona
 
Umeona eeeh?

Yaani amebadilika kweli mpaka mtu unaingia imani, ila zamani khaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…