Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.

le Mutuz
Duuh...tumejua mengi kuhusu wewe.
 
Lakini mzee William Lemutuz mbona unapenda kumsingizia x wako Neema Ngululupi maneno ya uongo kama amewakataza watoto wasikuone wakati wewe mwenyewe uliwaacha na bila matumizi labda baada ya miezi kadhaa dola 50 au 100 sasa hapo super bilionea huoni aibu?walivyokuja bongo wewe mwenyewe ulishuhudia walivyokataa kukuona pale Pugh na mama yao alikuwa anawabembeleza waje kukusalimia lakini wenyewe wakakataa hadi ukawa unalia kwenye gari na mama Neema akaja kukubembeleza,juzi juzi mtoto wako wa kike alikuja akaenda kumuona hadi Dk Mwele na mzee Malecela lakini wewe mwenyewe ulikataa kwenda seaview kumuona na ulikataa hadi wito wa baba yako sasa makosa ya Neema au yako Mzee Lemutuz?acha kujidhalilisha mzee na watoto wako amezidi kukasirika na kuaibika na Ile video yako ya uchi kwa mange imefikia wanamuita mtoto wako Agapeo kipoint kwa ajili ya mambo yako ya kitoto.
 
- hayo maneno sio ya Nuru, aliyaanza huyo kijana tena alimuambia msichana mmoja kutoka Uholanzi niliyekua ninamla.

le Mutuz
Mkuu unaongea mpk unatia huruma asee nahisi kama umebadilika umekua mtu mzuri usie na majigambo, au kuna kitu umekamatika hapa ndo maana umekua mdogo maana nlitegemea yale maneno yako ya ubabe. Na pia nmeshangaa leo kuona mpk papaa Matola amekuonea huruma
 
Wewe tumbiri pori unaemweleza hayo ni nani?? sasa kama ameamua maisha yake yawe tabled kwenye streams za social media..wewe ni nguchiro gani kusema isijadiliwe..

acha kujipendekeza kwa usiowajua na kutafuta huruma zao..ata kama umezalishwa vitumbiri na kutelekezwa..uza ata visheti sio kudanga na kujipendekeza mitandaoni ..pathetic fool
Ha ha ha ha ha we mbwiga uwage unanitembezea hako kabange unakokulaga kabla ya kukomenti
 
Mwanaume anaejitambua hawezi kuishi kwa kivuli cha mzazi wake..huwezi katika umri huo ukawa bado pussy kias hicho kwamba kila hoja my dad ooh alifanya hivi mara vile..mbona bado mjinga sana ww..unajiita vipi mwanaume mwenue mafanikio wakati ukienda kwa watu cha kwanza wanachotambulishwa ni mtoto wa fulan..yaani bado unaishi kwa kivuli chake..stupid kabisa.

Na nikuombe tu unieleweshe AKILI KUBWA ni ipi?? Kwamba katika umri ambao retirement ndio unamiliki an online t.v with unexperienced and cheap workers sijui saba.

Akili kubwa ni kwamba you are almost 60+ na bado unaishi kwenye apartment ya kupanga kwamba huna sehemu unayoweza sema hii ni nyumba yangu kwa maana ya ujenzi na umiliki

Akili kubwa..ni katika miaka yako 60+ huna kitu kinachoitwa familia..yaani sio ya kwako kwa maana ya watoto wako tu lakini ata ndugu zako wamekutenga??

Akili kubwa katika miaka yako ya 60+, PICHA ZA UCHI zikionyesha maumbile ya ukinyago uliyonayo zinasambaa mitandaoni..

Akili kubwa uliyonayo wewe ni ipi..kwamba katika miaka ambayo mtu anatakiwa kuwa relaxed na kuenjoy matunda ya ujana wake wewe ndio tako liko barabarani na mitandaon kwamba unatafuta maisha.

Akili kubwa uliyonayo wewe ni ipi..?? Kwamba katika miaka ya 60+ uliyonayo unajibizana na wanawake mitandaon mpaka matusi ya nguoni??

hahahah emu nieleweshe akili kibwa uliyonayo wewe ni ipi maana the way i see it naona upuuzi mtupu wa mtu aliyekurupukia maisha uzeeni na sasa anaforce maisha ambayo alipaswa kuyaishi akiwa kwenye 30's.
Samahani mkuu naomba kujua umri wako.matusi sitaki
 
Lakini mzee William Lemutuz mbona unapenda kumsingizia x wako Neema Ngululupi maneno ya uongo kama amewakataza watoto wasikuone wakati wewe mwenyewe uliwaacha na bila matumizi labda baada ya miezi kadhaa dola 50 au 100 sasa hapo super bilionea huoni aibu?walivyokuja bongo wewe mwenyewe ulishuhudia walivyokataa kukuona pale Pugh na mama yao alikuwa anawabembeleza waje kukusalimia lakini wenyewe wakakataa hadi ukawa unalia kwenye gari na mama Neema akaja kukubembeleza,juzi juzi mtoto wako wa kike alikuja akaenda kumuona hadi Dk Mwele na mzee Malecela lakini wewe mwenyewe ulikataa kwenda seaview kumuona na ulikataa hadi wito wa baba yako sasa makosa ya Neema au yako Mzee Lemutuz?acha kujidhalilisha mzee na watoto wako amezidi kukasirika na kuaibika na Ile video yako ya uchi kwa mange imefikia wanamuita mtoto wako Agapeo kipoint kwa ajili ya mambo yako ya kitoto.

Ok hahaha huyu ni my ex mwenyewe saafi saana fanially umekuja hahahaha nilijua huwezi kukosa, ok

1. Kwanza sikuenda kuwaona Pugu, nilienda kuwaona Ukonga/Sitakishari Wewe ukawawahi kua wasinisalimie aliyekuwepo ni dada yako Iku tu, nilikua nimefuatana na Shemeji yako Captain wa Ndege, nilimuambia mapema kilichonileta ni ushahidi tu maana nisingekuja mngenilaumu mpaka kufa kua siwajali watoto. Ndio maana nilikuja na tiketi ya ndege maana nilijua nikiondoka mtakaa kikao cha familia mtanitafuta tukae kikao cha kuhusu watoto. Nilipotoka huko Sitakishari nikapanda ndege Mbeya kwenda kujificha mpaka uondoke, mkaanza kunitafuta na familia yako nikasema nipo Mbeya sirudi Mama yangu anaumwa au umesahau nikamwambia Mama yako mzazi kua sina mpango wa kukaa kikao kujadili watoto wangu, nataka muwaruhusu waje kwangu au bakini nao ila sirudi nilikua nasibiri uondoke kwanza nikarudi na ndege ya usiku baada ya wewe kuondoka na Emirates, hahahahaha

2. Baada ya kuwakataza watoto wasinisalimie wewe ndugu zako mkajipanga getini muone kama nitalia hahahaha nilikua kwenye gari na shemeji yako Captain nilipowaona nikaanza kucheka nakumbuka mlivyopigwa na mshangao kuniona nacheka hahahahaha

3. Siku moja ukawatuma watoto kwa Baba yangu akaniita nikamkatalia nikamuambia watoto wangu siwezi kuwaona kwa kuvizia vizia never, mpaka huyo Mwanamke atakapokubali kua ni wangu au wao wenyewe watakapokua ila kuja kuwaona kwako itakua ni kuwazivizia, SITAKI au umesahau?

4. Mama yangu alipofariki sio wewe uliyewatuma wanitafute hahahaha uliwauliza nilichowajibu au umesahau? wewe chezea wengine sio mimi sina muda wa mchezo na ujinga ujinga,Watoto sio wangu sasa video imekuwataje? hahahaha unayejidhalilisha ni wewe maana unatakiwa kukubali kwamba wewe ni jeuri lakini hapa umekutana na ukuta, halafu nikuulize idea ya kuwabadilisha majina yao uliishia nayo wapi? hahahahahahahahahhaa

5. Imagine kutoka kua mke wangu mpaka kuishia kua mke wa pili na kubadili dini kua musilamu kwa mtoto wa Mchungaji, huoni ni laaana fulani hivi hahahahahhaa nilikuambia Mwanaume kama mimi hand hahahahahhutampata utaishia wanaume second hand huzuni sana hahahahaha

le Mutuz Mobimba
 
- Thanks Boss, on a serious note watu hasa vijana wadogo wanatakiwa kusoma hii "TRUE STORY" of my life na kujitafakari wapi inawahusu nawajua watoto wengi wa Viongozi hapa Mjini wanaoranda randa no life, kisa walilewa na Majina ya Baba zao na sifa za watu wanafiki,

1. Sijawahi kujuta kukosa kuishi in power ya Baba yangu yaani UWaziri Mkuu na Makamu wa Rais, ingawa mara nyingi aliniomba nirudi nilimkatalia katakata, leo ninawaona Watoto wengi ambao alikulia kwenye power wanavyohangaika ninamshukuru sana Mungu, ingawa sio wote wapo ambao Baba zao walizitumia nafasi zao wapo sawa lakini sifurahishwi na maisha yao ya kujificha ficha kuogopa watu wasiwaseme kuhusu baba zao.

2. Enzi za utoto wangu ni Ubaharia na Soccer za Yanga na Simba ndizo zilizokua na impact za kutoboa kimaisha bila kusoma, lakini kwenye Ubaharia ilikua ni more fantasy than reality ambayo niliiona mwenyewe nikiwa baharini Mabaharia walikua wakirudi hawasemi hadithi yote kwa mfano mateso ya kuvuka "Bermuda Triangle" Mishahara midogo kumbuka kwenye ubaharia kulikua na Cheap Labor ya Wafilipino so malipo yalikua madogo sana ila kwa sababu walikua wanakaa muda mrefu bila kuchukua mshahara wakiwa safarini ndio maana walionekana wana pesa waliporudi ingawa pesa haikudumu sana kwa sababu tatizo halikua pesa ila akili ndogo za Mabaharia, nilitaka sana kuepuka kurudi namna hiyo and I did.

3. Nia na lengo langu kwenda ilikua kutafuta Elimu na Maisha bora zaidi nilipofika Majuu nikaishia kupata kitu muhimu sana ambacho sikukifikiria mwanzoni nacho ni "EXPOSURE" ndio maana leo ninawasumbua sana wabongo wenye akili finyu ni kwa sababu hiyo tu. Bongo kuna watu wana pesa lakini hawajui cha kuzifanyia, mimi sina pesa nyingi lakini ninajua what to with my little money. Wananishangaa kwa sababu wanaamini sina pesa sasa ninapofanya mambo yangu ya kipesa ambayo wao wanaamini wanatakiwa wayafanye wao ninawashangaza sana,

- Kuna siku mtu mmoja aliniambia kwamba "SIKU HIZI UNA PESA SANA" nikamuuliza kistaarabu sana ni lini aliwahi kuniona na pesa au nikiwa sina? hakuwa na jibu kwa sababu nilijifunza kwa Baba yangu kua pesa sio our thing,

4. Ninaomba kuchukua nafasi hii kusema bila kupindisha kwamba hii topic hapa imenishangaza sana kwa sababu ni kwa mara ya kwanza kua na mjadala unaonihusu humu JF ambao ni Fair toka nibadili ID yangu fake miaka mingi iliyopita na kua mimi mwenyewe. Nilipokua na Fake ID nilikua maarufu humu JF kuliko wote labda MWanakijiji tu ndiye tulikua level moja, lakini nilipobadili tu ID na kua mwenyewe siku zote imekua negative silalamiki cause ndiyo sababu leo ninakusanya Millions kutokana na Social Media kwa sababu nilianzia hapa JF. Nimefarijika sana kwamba kumbe sio Wabongo wote ni wajinga huu mjadala ukiusoma wote utaona Unbalance ya Negativity ambayo ni ndogo sana kulinganisha na Positive comments. Infact ni kwa mara ya kwanza nimeona watu wengi wakitetea my works in the Story,

- Ingawa pia ninaomba kuwashukuru sana Jamiiforums kwa kuamua kuibeba hii Story of my life, ninawashangaa sana wanaopinga kwa kushindwa kurekebisha wanachokipinga, ukisema hapa anasema uongo unatakiwa uuseme ukweli. Guys this is not about me it is about what I have faced in my life na jinsi nilivyopigana kufikia nilipo, binafsi sina wasi wasi na nilipo ni ninajua kua bila ya kwenda Majuu nisingekua hapa nilipo utajiri wangu mkubwa niliorudi nao ni AKILI KUBWAZZZ I am so proud of myself for that.

- Halafu Haters poleni sana maana bado ninataka kuandika Vitabu vingi, kuna "MY JF EXPERIENCE", "MY FACEBOOK EXPERIENCE", "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" "MY BONGO'S EXPERIENCE" so mna kazi sana ya kupinga pinga bila Facts hahaha saty tuned!

le Mutuz Mobimba! Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Too smart

Nimependa sana hii story ina mafunzo makubwa nimesoma mwanzo ilikuwa unbalanced ila umekuja umefafanua mambo nilikuwa nakuona unajiita mzee wa fact ila indeed unastahili kuwa mzee wa fact

upo vizuri sana nakumbuka kipindi kile tunasumbuana jf 2010's siku umeingia bungeni kuomba kura za ubunge wa east africa nilikuwa sikuelewi vizuri ila kwa story hii SALUTE BRO. umenifungua unaishi ndito zako ujachange ila kwa mbali umeanza kuni inspire na mimi niishi navyopenda si kama watu wanavyopenda.



Am humbled u know
 
Wapi huko mkuu?
Walikua wanaishi Mwenge NHC nyuma ya TRA siku hizi,namkumbuka huyo mama na huyo dada yake Rankeem;Yule mother alizaa na vigogo wa enzi hizo maana baba yake Rankeem naye alikua Mwenyekiti wa Magamba mkoa wa Dsm enzi za chama kushika hatamu
 
Too smart

Nimependa sana hii story ina mafunzo makubwa nimesoma mwanzo ilikuwa unbalanced ila umekuja umefafanua mambo nilikuwa nakuona unajiita mzee wa fact ila indeed unastahili kuwa mzee wa fact

upo vizuri sana nakumbuka kipindi kile tunasumbuana jf 2010's siku umeingia bungeni kuomba kura za ubunge wa east africa nilikuwa sikuelewi vizuri ila kwa story hii SALUTE BRO. umenifungua unaishi ndito zako ujachange ila kwa mbali umeanza kuni inspire na mimi niishi navyopenda si kama watu wanavyopenda.



Am humbled u know

- Pamoja sana U know jhahahahahaha I love it

le Mutuz
 
Mkuu unaongea mpk unatia huruma asee nahisi kama umebadilika umekua mtu mzuri usie na majigambo, au kuna kitu umekamatika hapa ndo maana umekua mdogo maana nlitegemea yale maneno yako ya ubabe. Na pia nmeshangaa leo kuona mpk papaa Matola amekuonea huruma

- hahahahaha Wabebebzz wote niliowa date niogope huuu upuuzi please hahahahahaha pole sana mimi ni yule yule Mobimba Bomayeee! hahahahahhaa

le Mutuz
 
Walikua wanaishi Mwenge NHC nyuma ya TRA siku hizi,namkumbuka huyo mama na huyo dada yake Rankeem;Yule mother alizaa na vigogo wa enzi hizo maana baba yake Rankeem naye alikua Mwenyekiti wa Magamba mkoa wa Dsm enzi za chama kushika hatamu

- Ni kweli alizaaa na baba yangu msichana ambaye alijiua baadaye, now naomba kuuliza makosa yangu ni nini hasa mpaka kuhusishwa naye? hahahahahahhaha

le Mutuz
 
1. Mwanaume anatakiwa kuishi kwa kivuli cha Wazazi wake, unless kama hana wazazi kama ulivyo pole sana ninawapenda wazazi wangu na mapungufu yao yote.

2. Pole pole ninaanza kukuelewa unakotokea so ni muhimu sana nikuelimishe, Mama yangu mzazi nilikua ninamztunza na kumtumia pesa maisha yangu yote na shahidi wangu on it ni my Ex wife na mama yangu Mdogo anayeishi Mbeya, sina sababu ya kuonyesha anything on that, Mama yangu sina tatizo naye wala sijawahi kuwa na tatizo naye ni Mama yangu na ndio maana alipofariki nilikuwa wa kwanza, sijui ulitaka nifanye nini zaidi ya nilyomfanyia, pole sana hahahaha wewe shindana na mimi sio Wanaonihusu hahahahahahaha.

3. Kumbe unawajua kina Mwele? hahahahahaha sasa pole pole unaanza kujifunua ni nani hahahaha ndio maana umekomaaa sana kunishambulia kumbe unawajua kina Mwele? hahahahaha umenifurahisha sana look niliamua kuchana nao niliporudi bongo ili kuepusha any missundestandings siwahitaji na hawanihitaji maisha yanasonga here I am!

4. Watoto wangu ni wangu tu sina sababu ya kubishana na wewe ambaye wala huwajui na wala hawakuhusu, umedanganywa tu na waliokutuma kuja hapa those are my kids, wanatumia pesa zangu za Peshion kule kama hujui, hahahaha tuliza boli umedanganywa.

5. Mengine yote ni waste of time, mimi kazi yangu ni Social Media miaka 60 sijafikisha siku nikifikisha utakua wa kwanza kujua, halafu ni aibu kwa mtoto wa kiume kama wewe kuandika andika umbeya kwenye mitandao maana hapa ni Pwani kuwa makini unaweza kuishia kuvalishwa dela na kukunishwa nazi. hahahahahahahhhaa!1

le Mutuz
Mkuu nakasingo ka taarabu naweza piga kolabo na ww maana si kwa mipasho hiyo
 
Yaan wit walikua bene bene tukienda sehemu lazima tumuone nuru na mbebez wake mwisho wa siku tupo na nuru le mbebez akaja kwa bahati mbaya tu wakasalimiana juu juu tu ndio kumuuliza vipiii kwani mmeachana ooh nimeachana nae hadi..... tukaguna wote tukamwambia hiyo kashfa hatujawahi sikia kwa lemutuz
Lilimsingizia hilo linuru...limeliwa halafu linampakazia

Ovyo kabisa!
 
- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.

le Mutuz
Unaiuza sh ngapi mkuu?
 
mkuu tusibishane, mimi ninakufahamu vizuri sana, usifikiri nimekufahamia kwenye mitandao. sasa kulinda heshima yako ngoja tujadili mengine, ila msg yangu ndio ilikuwa hiyo. lakini yote katika yote, still kuna vitu vingi nimejifunza toka kwako hasa kufanya kazi kwa bidii na kuvumilia vitu, pamoja na kwamba kuna mapungufu mengi sana ambayo sihitaji kabisa kujifunza toka kwako kwasababu kuna baadhi ya tabia zako mimi nimeziepuka na zimenipa faida kubwa sana maishani mwangu. ndo maana nilikuwa nasema usisema una akili kubwa, acha watu ndio wakuite una akili kubwa, wewe binafsi huwezi kujijua.

vilevile, unaweza kuwa unamiss point ya definition ya "maisha mazuri", what does maisha mazuri mean to you? ni kutoka na wabebez, kwenda vacation dubai au souz, kuiishi 30 years majuu? kula vizuri kwenye appartment ya kupanga?, definition yako ya maisha mazuri ni ipi? kuishi na mwili mkubwa kama tembo kama unakula garbage kila siku?
Kuhusu lemutuz kusema anaakili kubwa me naunga mkono the man has a little head but thinner brain.me mwenyewe naakili kubwa najijua cause najijua sisubiri mtu anijaji wakati akili ninayo mm na naiona
 
Mkuu unaongea mpk unatia huruma asee nahisi kama umebadilika umekua mtu mzuri usie na majigambo, au kuna kitu umekamatika hapa ndo maana umekua mdogo maana nlitegemea yale maneno yako ya ubabe. Na pia nmeshangaa leo kuona mpk papaa Matola amekuonea huruma
Umeona eeeh?

Yaani amebadilika kweli mpaka mtu unaingia imani, ila zamani khaa!
 
Back
Top Bottom