Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Sijui inasema Nani hapa,ila kuhusu kufanikiwa huyu Nye Nye hakuna alichofanikiwa zaidi ya ujuha na kipumbavu uliokithiri.Kafanikiwa nini ,mtu mzima anajiita madevu aliotembea nao ingawa wengine wanasema hadindishi na wengine wanadai ni kiba 100? Pamoja na exposure na elimu anayoisema ameshindwa kuvunja mizizi ya ufukara iliyowatesa Babu zake kina matonya na yeye amebaki ombaomba kama wao! Le Mutuzz kafanikiwa kitu gani zaidi ya upumbavu tuuu.
 
Nye Nye wanakimbilia facts wakati huwa anajiita Mzee wa facts.Dada yake alijinyonga akiwa mnafanya medicine Muchs na ndugu yake aliyeanza kwenda USA na hajarudi hadi Leo.Au Nye Nye alikuwa anawaroga maana kaadmit ana ugomvi nao.
Haaa haa...kumbe le mutuz anapaa na ungo[emoji23] [emoji23]
 
Umerudi kama Dr. Shika


Wengi tumekuwa tunakuelewa tofauti ila kupitia hii story yako nimejifunza mengi neno moja tu we ni SHUJAA. walikuua wakati bado mzima
 

- hahahaha niliwahi kukuomba nini mkuu na wapi nilipokuomba? hahahaha hua sitishiki na maneno ya shombo kumbuka ningekua na kibamia wanawake niliotembea nao hapa mjini wengi sana maarufu na wa kawaida wangeshasema, na infact ningeshakimbia humu hahahahaha tafuta lingine haya hakuna lenye ukweli, ni lini nilikuomba anything? sema hapa

le Mutuz
 
Kweli nimeamini lemutuz ni babu maana Ronald Reagan alitawala marekani Kati ya mwaka 1981 to 1989 zaidi ya miaka 30 iliyopita ingawa amejaribu kuficha miaka kwenye story yake ila tumejua
 
- Kwa hiyo unasema kuna class bongo wanakukubali tu hata kama hawaamini kua hujafanikiwa kimaisha? hahahahaha haya ni mafurikoz huwezi kushidana nayo mkuu subiri kazi itakapoanza ndio utaelewa vizuri.

le Mutuz
Wewe mzee tunakuheshimu sana

Nadhani umezoea kukutana na machangudoa,
Mapenzi yana malengo mengi wewe umezoea kukutana na wapenda mafanikio
Wengine wanakutana na wapenda mihogo hata lodge akilipia hana tabu.

Kwa hiyo wacha kutuweka kundi moja.
Pambana na mademu zako.
 
Kujikomba kwa wenye pesa na madaraka,umekuwa kama jery muro.
 
- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.

le Mutuz
Mkubwa malizia then ipangishe
 
Unatembelea nyota ile ile ya matonya
 
Hivi kweli mtu mzima mwenye utu na staha utapost picha ya mama mzazi wa mtu ambaye ameshatangulia mbele za haki kaw ajili ya ushabiki wa mitandaoni tuu..ni ushabiki tu au kumdhalilisha le mutuz tu...au unamdhalilisha na huyo marehemu ambae humjui wala hakujui.jaribu kifikiria hao waliokutuma wamekuonaje.....kama sio punguani tuu..what do you get by doing ths...kwa nini usimuatack le mutuz as le mutuz hadi umtaje marehemu mama yake...you redefine the words stupid and fool to new meanings never described before...RIP MAMA WILLIAM..TUNAOMBA UWASAMEHE HAWA MONKEYS
 
Le Mutuz ni mfano wa halisi wa mtoto toka nyumba ndogo ambaye hakubweteka pamoja na kushambuliwa kwani baba anajulikana na akaamua kujipigania mwenyewe,Wapo wengi wa dizaini yake ambao hawajakua na ujasiri wa kupambana ila ni mtu wa kumpongeza na sio kumbeza.Anapigana kivyake na katulia kwa raha zake tungekuwa wengine tungeshachanganyikiwa na sasa tungekuwa sober houses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…