Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

You are either psychologicaly disturbed or you are an inbred bastard...huwezi kuwa ma maneno yenye chuki hivyo kwa mtu ambaye ana hadithia maisha yake yenye funzo kwa watu kama wewe...you are trying to find comfort from your miserable life by hating those who have succeeded in all areas of life tht you have completely failed...deal with your miseries...putana..
Sijui inasema Nani hapa,ila kuhusu kufanikiwa huyu Nye Nye hakuna alichofanikiwa zaidi ya ujuha na kipumbavu uliokithiri.Kafanikiwa nini ,mtu mzima anajiita madevu aliotembea nao ingawa wengine wanasema hadindishi na wengine wanadai ni kiba 100? Pamoja na exposure na elimu anayoisema ameshindwa kuvunja mizizi ya ufukara iliyowatesa Babu zake kina matonya na yeye amebaki ombaomba kama wao! Le Mutuzz kafanikiwa kitu gani zaidi ya upumbavu tuuu.
 
Nye Nye wanakimbilia facts wakati huwa anajiita Mzee wa facts.Dada yake alijinyonga akiwa mnafanya medicine Muchs na ndugu yake aliyeanza kwenda USA na hajarudi hadi Leo.Au Nye Nye alikuwa anawaroga maana kaadmit ana ugomvi nao.
Haaa haa...kumbe le mutuz anapaa na ungo[emoji23] [emoji23]
 
- Binafsi sijawahi kuusema Umri wangu isipokuwa ukisoma my story utaona matatizo niliyoyapata kwenda Majuu kwa sababu ya Umri mdogo, na the story behind it ni kwamba baada ya kuachana na my ex Wife aliamua kuanza kunichafua kwenye mitandao na hasa alipojaribu kurudiana nikakataa. Akaanza kutangaza umri wangu wa uongo kwamba nina Miaka 55, baadaye ikawa 56, then 58 mwisho akasema miaka 60, alipoona haina impact yoyote ya mimi kukosa Wasichana hapa Bongo akaamua kuungana na Mange kunichafua, akampa copy ya my Passport ikarushwa Dunia nzima bado haikuwa na Impact ndio mpaka leo kila mtu asiyenipenda ana struggle na umri wangu ambao binafsi nimeamua kutoutaja ili kumuonyesha Shetani anayewaongoza wanaonishambulia kuwa hana nguvu na hajui what is my wekaness.

- Ninasema hivi mimi binadam mnyonge kama wengine wote na sio Mkamilifu, ila kwa sababu ninamjua Mungu for myself najua binadam alituumba binadam kwa mfano wake, na kwamba Mungu alimnyima Shetani kujua siri ya Weakness zetu binadam, so Shetani anapokushambulia anachofanya ni kubahatisha wapi unyonge wako upo kusudi akumalize. Binadam wanapokuchukia wanaongozwa na Shetani ndio maana kwenye my Story nilisema mpaka leo bado ninapigana na Shetani yule yule niliyeanza kupigana naye toka nikiwa mdogo isipokua siku hizi kwa kujua kuwa nina akili nyingi sana ananirushia makombora mazito sana, nilikataa toka nikiwa mtoto kumuonyesha Shetani my Weakness na mpaka leo sijakubali kumpa hiyo nafasi ya kumuonyesha kua amenipata, ndio watu wengu mnahangaika sana na mimi ni kwa sababu mnahangaishwa na Shetani ambaye anadhani anaweza kunivuruga kwa kutumia wajinga wengi kunishambulia.

- Imagine my ex Wife anayo copy za Passport yangu lakini mpaka leo na yeye anahangaika kusimamia umri wangu wewe huoni kua ni maajabu ya Dunia?

- Now majuzi Shetani kabahatisha sana kuchukua kipande cha Video kwa wizi akadhani sasa kanipata, hahahahaha matokeo ni kagundua kua wala hata sijatingishika so anahangaika maana alishawaaminisa watu wake wajinga kwamba kwa hii kivideo atanimaliza hahahahahaha, na yote hii nini ni urithi wa Baba yetu mzazi ambaye yupo hai inasikitisha sana,

- Ninakumbuka nikiwa mdogo ndugu yangu wa kiume Marehemu Senyagwa alipofariki Dunia (Mungu Amuweke Pema Peponi) vichwa vya habari vya Magazeti vilisema "MTOTO WA KWANZA NA PEKEE WA KIUME WA WAZIRI MALECELA AFARIKI DUNIA" ilinishangaza sana as of WHY wameandika vile na huku wanajua nipo na wanjua kua kuna mwingine marehemu Ippy Malecela na yeye ni mtoto wa Malecela? Nani aliyewatuma kuandika vile? Ndio maana ninasema huyo ni Shetani niliyanza naye siku nyingi sana kupigana naye, nia na madhumuni yamekuwa ni kuhakikisha Dunia inaamini mimi sipo na kwa bahati mbaya sana hata my ex Wife naye akatumbukia huo mtego, leo my ex hataki niwaone watoto wangu lakini yupo radhi kuwapelekea kwa maadui zangu za jadi ..hahahahahaha....lakini sijawahi kutingishika wala kubabaika mwendo wangu wa maisha ni ule ule,

- So now najua Shetani anajipanga upya baada ya kuona kivideo hakina effect najua atakuja na kituko kingine cha ajabu maana ni kazi yake kuwaaminisha wale wanaomuamini kua ana nguvu, ambazo ninajua kwa kumjua Mungu hana ndio mimi nipo mpaka leo. Suala la umri analijaribu sana kulitumia Shetani lakini anashindwa kwa sababu sijampa nafasi hahahahahahaha!

I hope nimewasaidia wengi hapa leo kwa haya maneno machache lakini mazito sana ninajua hilo!

le Mutuz Mobimba!
Umerudi kama Dr. Shika


Wengi tumekuwa tunakuelewa tofauti ila kupitia hii story yako nimejifunza mengi neno moja tu we ni SHUJAA. walikuua wakati bado mzima
 
Sijui inasema Nani hapa,ila kuhusu kufanikiwa huyu Nye Nye hakuna alichofanikiwa zaidi ya ujuha na kipumbavu uliokithiri.Kafanikiwa nini ,mtu mzima anajiita madevu aliotembea nao ingawa wengine wanasema hadindishi na wengine wanadai ni kiba 100? Pamoja na exposure na elimu anayoisema ameshindwa kuvunja mizizi ya ufukara iliyowatesa Babu zake kina matonya na yeye amebaki ombaomba kama wao! Le Mutuzz kafanikiwa kitu gani zaidi ya upumbavu tuuu.

- hahahaha niliwahi kukuomba nini mkuu na wapi nilipokuomba? hahahaha hua sitishiki na maneno ya shombo kumbuka ningekua na kibamia wanawake niliotembea nao hapa mjini wengi sana maarufu na wa kawaida wangeshasema, na infact ningeshakimbia humu hahahahaha tafuta lingine haya hakuna lenye ukweli, ni lini nilikuomba anything? sema hapa

le Mutuz
 
View attachment 690347

PART 6:- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ...

Ndani ya Basi la Greyhound kutoka Ottawa/Canada tunaelekea New York City/USA nilikuwa ninawaza nitakapofika New York City itakuwaje? Simjui mtu so sitakuwa na mahali pa kulala JE ITAKUWAJE? but nikajikumbusha jinsi nilivyokwenda Belgium mara ya kwanza Miaka 5 nyuma so ghafla tukafika Border kama kawaida ya Uhamiaji ya USA wakishaona Passport yako inaonyesha uliwahi kuingia USA na kutoka huwa hawana tatizo na wakati huu Rais wa USA alikuwa ni President Ronald Reagan baada ya kugongewa mhuri wa kuingia nikalala usingizi mpaka Saa Nne Usiku tulikuwa tayari tupo Port Authority, West Manhattan New York City/USA mtaa wa West 42ND Street ambapo ndio mwisho wa Mabasi yote ya Mikoani yanayoingia New York City....

Kuna Mbongo mshikaji wangu nilikuwa na namba yake ya simu aliahidi kuja kunipokea lakini dakika ya mwisho HAKUJA nikashuka na begi langu dogo la nguo kama kawa nikakuta Ma Homeless kibao wanajitayarisha kulala so nikatafuta mahali saafi nikatoa Blanketi langu cause ilikuwa ni Winter time January so kulala ni kwenye masofa ya Abiria wanaposubiria mabasi ya Usiku na Asubuhi so na mimi nikawa kama Abiria ninayesubiri Basi ilinichukua miezi 3 ya Beach life kama tunavyoita kwenye Ubaharia ...

Mwishoni tu mwa wiki ya kwanza nikawa nimepata kazi Dukani as a "STOCK PERSON" kwa Mshahara wa USD $ 5 kwa saa so kwa masaa 40 kwa Wiki nilikuwa ninalipwa USD $ 200 per Week so nikaamua kukusanya pesa kwanza kwa kuendelea kukaa bure pale Stendi ya Basi ...nikiwa kazini Dukani I was charming Kiingereza cha Kimarekani ni tofauti na cha Dunia nzima so to Americans I mean wateja wa Duka nilikuwa bonge la kichekesho na English yangu ya Europe sikuwa muoga kuongea huku nikiendelea kua kichekesho kwa Wateja hasa Wakina Mama pole pole nikaanza urafiki na Wasichana Wakizungu na Weusi cause Duka nililokuwa nafanya kazi lilikua linauza Vifaa vya Nyumbani sana ambavyo Wanawake ndio wateja wakubwa nikaishia kuwa rafiki na Mama mmoja Mzungu aliyeishia kunipeleka kwa mtoto wake aliyekua bosi wa Kiwanda cha Vifaa vya Umeme akanipatia kazi iliyoanza kunilipa USD 10 kwa Saa Moja ...ITAENDELEA!
Kweli nimeamini lemutuz ni babu maana Ronald Reagan alitawala marekani Kati ya mwaka 1981 to 1989 zaidi ya miaka 30 iliyopita ingawa amejaribu kuficha miaka kwenye story yake ila tumejua
 
- Kwa hiyo unasema kuna class bongo wanakukubali tu hata kama hawaamini kua hujafanikiwa kimaisha? hahahahaha haya ni mafurikoz huwezi kushidana nayo mkuu subiri kazi itakapoanza ndio utaelewa vizuri.

le Mutuz
Wewe mzee tunakuheshimu sana

Nadhani umezoea kukutana na machangudoa,
Mapenzi yana malengo mengi wewe umezoea kukutana na wapenda mafanikio
Wengine wanakutana na wapenda mihogo hata lodge akilipia hana tabu.

Kwa hiyo wacha kutuweka kundi moja.
Pambana na mademu zako.
 
- hahahaha niliwahi kukuomba nini mkuu na wapi nilipokuomba? hahahaha hua sitishiki na maneno ya shombo kumbuka ningekua na kibamia wanawake niliotembea nao hapa mjini wengi sana maarufu na wa kawaida wangeshasema, na infact ningeshakimbia humu hahahahaha tafuta lingine haya hakuna lenye ukweli, ni lini nilikuomba anything? sema hapa

le Mutuz
Kujikomba kwa wenye pesa na madaraka,umekuwa kama jery muro.
 
- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.

le Mutuz
Mkubwa malizia then ipangishe
 
- hahahaha niliwahi kukuomba nini mkuu na wapi nilipokuomba? hahahaha hua sitishiki na maneno ya shombo kumbuka ningekua na kibamia wanawake niliotembea nao hapa mjini wengi sana maarufu na wa kawaida wangeshasema, na infact ningeshakimbia humu hahahahaha tafuta lingine haya hakuna lenye ukweli, ni lini nilikuomba anything? sema hapa

le Mutuz
Unatembelea nyota ile ile ya matonya
 
images-1-jpeg.676289
Hivi kweli mtu mzima mwenye utu na staha utapost picha ya mama mzazi wa mtu ambaye ameshatangulia mbele za haki kaw ajili ya ushabiki wa mitandaoni tuu..ni ushabiki tu au kumdhalilisha le mutuz tu...au unamdhalilisha na huyo marehemu ambae humjui wala hakujui.jaribu kifikiria hao waliokutuma wamekuonaje.....kama sio punguani tuu..what do you get by doing ths...kwa nini usimuatack le mutuz as le mutuz hadi umtaje marehemu mama yake...you redefine the words stupid and fool to new meanings never described before...RIP MAMA WILLIAM..TUNAOMBA UWASAMEHE HAWA MONKEYS
 
Le Mutuz ni mfano wa halisi wa mtoto toka nyumba ndogo ambaye hakubweteka pamoja na kushambuliwa kwani baba anajulikana na akaamua kujipigania mwenyewe,Wapo wengi wa dizaini yake ambao hawajakua na ujasiri wa kupambana ila ni mtu wa kumpongeza na sio kumbeza.Anapigana kivyake na katulia kwa raha zake tungekuwa wengine tungeshachanganyikiwa na sasa tungekuwa sober houses
 
Back
Top Bottom