Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Duh, acha tu usifanye mchezo kuibiwa mume, ntarud
 
Le kubwaaaa jingaaaaa...le kibamiazzzz
I honestly understand when women complains about kibamia..kwa sababu wao ndio watendwaji wakuu wa either kibamia or muhogo..they are on the receiving side...but mwanaume ambaye ndio mtendaji wa kutumia either kibamia or muhogo sasa anapomcheka mwanaume mwenzio eti ana kibamia au muhogo unatupa wasiwasi umejuaje tofauti ya huo utamu wa muhogo au kibamia...hebu tuelezee kutokana na uzoefu wako mkuu kwa nini hupendi kibamia...au why unapenda limuhogo...
 
we pia una ki lemutuzzz???
 
Nimekuelewa mkuu....Le kokobanga
 
le mutuz nakukubali sana, binafsi yangu najifunza vingi toka kwako i love ur courage, strength confidence N the way u battle with ur rivals ( enemies) anyways ur strong emotionally, N thats the best thing in life, which people doesn't understand, i wonder some people hate u but still watch N comment everything U post, Bitch those are ur fan keep it up bro
 
Wewe ni nani humu upangie watu cha kuuliza? Ni koherehere chako cha kuanika maisha yako mitandaon ndio kimeleta maswali hayo!!

kubwa jinga wewe kama ulijua una makando na aibu ungeona busara kuficha privacy zako!! Idiot kabisa
Maswali mengine bwana! umesoma shule kidogo mkuu? yeye ndo mtoa mada au km vp uwe unajibu wewe basi hayo maswali. Humu Jf hakuna aliye wahi taja umri wake, hata wewe hujawahi na hata ukitaja hakuna anaekujua wala anaejali, we weka mambo yako hapa tudiscuss, uwe unasema kweli au unadanganya utajua mwenyewe. Hata hadithi tulizokuwa tunasimuliwa na wahenga hazikua za kweli lkn tulijifunza kitu. Sasa wewe unauliza umri, unataka ukamwanzishe chekechea?
 
Mkuu Bibilia inasema "ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo", km umemfatilia vzr amekubali kuwa alifeli mission zake na sababu kubwa ni akiri yake kubwa. Me nmemsoma toka mwanzo kuwa alitaka kufanya makubwa bila hata support ya mtu lkn akafeli. mf. ubaharia ambao ndo ilikuwa ndoto yake kubwa ikafail, Maisha ya marekani pia akaamua kusepa baada ya kuona hali ishakua tete. Sasa km anajiona yupo hvyo, wewe pia huna sababu ya kumpinga kwakua na wewe ni mwanadamu km yeye na unaona km anavyoona yeye. Sio wote wanaofeli shule kuwa hawana akiri na sio wote wanaofail maisha kuwa hawana akili, inategemea na sababu. Mfano mtu km dr shika watu wakaanza hadi kumdhihaki, kumsemea maneno ya dharau, waandishi wanamuuliza maswali ya kebehi. Sisi ni masikini hadi wa akiri zetu, hatuna subra, ni watu wakukurupuka. Sisemi km nakubaliana na Lemutuz ya kuwa anaakiri kubwa bali nilikuwa natoa angalizo tu kuwa hapa duniani lolote laweza kukutokea, kunawatu wamesoma hadi ulaya wamerudi wamepagawa na hakuna cha maana walichokifanya na accademic wapo vzr na unajiuliza wamepatwa na nini?
 
Me nafikiri maisha mazuri ni yale ambayo upoconfortable nayo, yaani Elimu, afya, mavazi, malazi na pengine uhuru na usalama wako na mali zako. Mkuu tupe defn nyingine km wewe unayo, maana jamaa yeye hivyo vyote kwake kaona hakuna tatizo lkn wewe umetilia shaka?
 
Neema Ngwilulupi mwanamke pekee anayemtia kibamiazi mzee William wazimumzee William aliwahi kunywa simu ukonga kwa ajili yake,hadi leo analia kwa ajili yake,huyu ndio alikuwa anamtumia hela za matumizi mama Lemutuz wakati Lemutuz amemtelekeza hadi akapata kichaa pale Tunduma kwa uchungu wa kupotezewa na mwanaye aliyekuwa anasoma marekani kwa miaka 31Neema Neema umesababisha babu wa miaka 60 kuwa mapepe kushinda Shilole jamanimisifa yote akisikia Neema yuko Dar mzee William anakimbia Dar anaenda kujificha Tunduma kule kwenye choo cha mama ake kwa kuogopa Asije akakuona akaanza kulia kama kawaida yakeNeema Lepointless amezidi kuwa ndondocha huku hadi vitoto vya nursery Tanzania tuna mtu mwenye the smallest kibamiazi au kipoint thanks to Nasra international kwa kuvujisha mchezo mzimadada Neema pls njoo umchukue huyu mzee uliyesema alivunja bikra yake kwako ndio maana hautoki mdomoni kwake
 
wewe unaonekana ndio x wa lemutuz....japo id fake.....

kama mlishaachana for good why bado unamfatilia sana maisha yake ? si umeolewa ? bado unampenda ? mshaachana kula hamsini zako na yeye akapambane huko, alafu kibamia unachokitaja ndio kilikukojolesha 15yrs na ukazaa watoto wawili... jiheshimu wewe madam mtu mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…