Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

wewe unaonekana ndio x wa lemutuz....japo id fake.....

kama mlishaachana for good why bado unamfatilia sana maisha yake ? si umeolewa ? bado unampenda ? mshaachana kula hamsini zako na yeye akapambane huko, alafu kibamia unachokitaja ndio kilikukojolesha 15yrs na ukazaa watoto wawili... jiheshimu wewe madam mtu mzima.
We nawe acha ufala sio kila mtu ni x wa Lemutuz,huyo Le Kibamiazi anajishtikizia kila dakika na wakati maisha yake yote ya mitandaoni yani like an old public joker,Mimi ningekuwa huyo mke wake unafikiri ningemuexpose kiasi gani na siri zake zote na miaka yote walioishi?Me Kibamiazi aache kujishtukizia na kumchafua X wake ambaye hana hata time naye.
 
We nawe acha ufala sio kila mtu ni x wa Lemutuz,huyo Le Kibamiazi anajishtikizia kila dakika na wakati maisha yake yote ya mitandaoni yani like an old public joker,Mimi ningekuwa huyo mke wake unafikiri ningemuexpose kiasi gani na siri zake zote na miaka yote walioishi?Me Kibamiazi aache kujishtukizia na kumchafua X wake ambaye hana hata time naye.
Sasa tuchukulie hivyo unavyotaka ww kwamba ww sio x wake ss maisha yke yanakuhusu nn kila mtu na maisha ndugu yngu tuache roho hzo watu weusi watu km nyie ndio wachawi wenyewe wa kipindi hiki hiyo husda mbaya sna ndugu yngu pole sna muache huyo nae mwita kubwa jinga kibamia ndio maisha yke ww angalia yko ukishindwa njoo pm nikupe mume mm...
 
Mkuu Bibilia inasema "ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo", km umemfatilia vzr amekubali kuwa alifeli mission zake na sababu kubwa ni akiri yake kubwa. Me nmemsoma toka mwanzo kuwa alitaka kufanya makubwa bila hata support ya mtu lkn akafeli. mf. ubaharia ambao ndo ilikuwa ndoto yake kubwa ikafail, Maisha ya marekani pia akaamua kusepa baada ya kuona hali ishakua tete. Sasa km anajiona yupo hvyo, wewe pia huna sababu ya kumpinga kwakua na wewe ni mwanadamu km yeye na unaona km anavyoona yeye. Sio wote wanaofeli shule kuwa hawana akiri na sio wote wanaofail maisha kuwa hawana akili, inategemea na sababu. Mfano mtu km dr shika watu wakaanza hadi kumdhihaki, kumsemea maneno ya dharau, waandishi wanamuuliza maswali ya kebehi. Sisi ni masikini hadi wa akiri zetu, hatuna subra, ni watu wakukurupuka. Sisemi km nakubaliana na Lemutuz ya kuwa anaakiri kubwa bali nilikuwa natoa angalizo tu kuwa hapa duniani lolote laweza kukutokea, kunawatu wamesoma hadi ulaya wamerudi wamepagawa na hakuna cha maana walichokifanya na accademic wapo vzr na unajiuliza wamepatwa na nini?
Mkuu salute!! Umeongea kila kitu umemaliza maana kuna maprofessor wamepiga kitabu balaa na wamekaa majuu miaka kibao lakini wapo hapo bongo na hawana kitu na wanaonekana wamefail maisha. Mie namkubali le kokobanga yuko very open kwa maisha yake , Haigizi.
 
Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa nuru ni mdada wa mjini nilikua nakuonaga nae sana miaka flani hivii tukimuuliza lemutuz ni mtu wako anakataa mwisho wa siku akasema nimeachana na lemutuz eti hasi...... acha niishie hapa tu
Mama hujakoma???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utalamba kufuri na uku
 
Le Mutuz jiongeze wanaosema una kibamia na ni wanaume wanataka uwagonge, ki kawaida utani kama huo wanasema wanawake, do it man! All the best
Aisee kweli mwauname Mzima unamwandama Mwanaume Mwenzio eti anakibamia maana Ashawai kukugonga unataka aongeze ili iwe bonge ya pipe ili akupelekee vizuri wapuuzi kweli awa jamaa
 
Hakika Le Mutuz umepambana, nakupongeza sana sana.
Hakuna mwanadamu mkamilifu,

na wengi wetu tunanyooshea vidole vibanzi vya wenzetu huku tukificha maboriti yaliyoko katika maisha yetu ya kila siku.

Umejaribu kupambana bila kuegemea katika mgongo wa wenye madaraka, hukutaka kubebwa, wala kudekezwa na wakubwa.

Umepigana kiume hadi umefanikiwa, umekuwa mfano kwa vijana kuiga falsafa ya kujitegemea kwa kusimama kwa miguu yao.

Sikujui, ila stori yako imenifurahisha sana, ni ya ujasiri na nguvu.

Baadhi ya watoto wa wakubwa hawawezi kupita katika njia zako, wanapita njia za mkato kwa mbeleko.

Kuhusu tabia nzuri au mbaya ni Mungu pekee ndiye anayeweza kusema, sio binadamu.
Binadamu anaweza kutoa ushauri mzuri kwa mtu na sio kuhukumu.

Asante Le Mutuz, kwa stori nzuri ya maisha, wenye busara wamekuelewa vizuri.
 
Huna sifa wala hustahil kuwa mfano kwa vijana..kwa maana ni kijana mjinga tu atataka kufata mfano wa mzee ambae anapicha za uchi mitandaoni, mzee ambae watoto wake wamemtenga yaan hana familia na sababu ni tabia za uozo alizonazo..
Taarifa niliyopata jion hii imezidi kunifanya ni dharau kwamba sio akili ndogo bali ata utu huna..natumai kitabu chako kitawaeleza wasomaji wake sababu iliyokufanya kutaka kumuua mama yako wa kambo umrithi baba yako mali..!!
Hahahahaha..alafu kwenye hii picha bado napata ukakasi kujua AKILI KUBWA ni yupi kati yenu..na kila mmoja alikuwa anawaza nini kichwan..hahha
View attachment 698824
The List nilichangia mwanzoni baadae nikawa msomaji tu!.
kwenye blue
Hivi toka W. J. Malecela kazaliwa hadi alipofikia hujaona kitu cha vijana kujifunza hadi uishie sema sio mfano wa kuigwa na vijana!..Hujaona historia aliyosema toka alipokuwa kwenye meli mpaka anasoma USA hadi anarud Bongo kuna nini cha kujifunza!?.
  • Vijana hawawezi jifunza ndoto zao zinatakiwa/zinaweza badilika pale watakapokutana na mambo tofauti na waliyoamini?.
  • Hawaezi kujifunza kwamba maisha ni popote wasiogope kwenda sehemu yeyote kutafuta?.
  • Hawaezi kujifunza haijalishi ulikuwa nani na unamjua nani ila utakuwa nani na utawajua kina nani?.
  • Hawezi jifunza usiogope chekwa na dunia mradi unajua nini wafanya?.
  • Hawaezi jifunza unapoona hujafanikiwa ugenini usione aibu kurudi nyumbani kujipanga upya?.
  • Hawaezi kujifunza kutoamini sana wapenzi wao hadi kupiga mapicha ya ajabu?.
Hizo 'tabia za uozo' za Lemutuz tumuachie yeye kama Lemutuz vijana wanatakiwa chukua hustles alizopitia na kujifunza zifanya kwa utaalamu mpya utakaowafanya wafanikiwe mapema!.
Kwenye Red
Hivi ni watu gani hao ambao wanasoma huu uzi halafu wanakufata wewe kukupa siri za Lemutuz, kwani hawawezi kufungua ID na kukoment wao kama wao ili tuwahoji!?. Kuna allegation zingine zitahitaji maelezo tukikuuliza utayakosa itabidi urudi yauliza kwao then uje yajibu sasa kama mwanaume kwanini usiwaambie 'ingieni mchangie hayo mambo JF' kupunguza maswali ya JF kuja kwangu. Je nikisema haya nitakuwa nimekosea?
  • Wewe ni mchochezi.
  • Wewe ni Mbea.
  • Wewe unatumika na wabaya wa Lemutuz.
  • Wewe ni ndugu hasi wa W. J. Malecela.
  • Wewe ni Mange kimambi.
Huyo Mwanamke ni nani?.. Kwanini useme Lemutuz hana akili kwa kutumia mfano wake?. Simfahamu W. J. Malecela lakini nachukua historia wa struggle zake kama mfano bora kwa vijana watafutaji!
 
View attachment 699581 Neema Ngwilulupi mwanamke pekee anayemtia kibamiazi mzee William wazimumzee William aliwahi kunywa simu ukonga kwa ajili yake,hadi leo analia kwa ajili yake,huyu ndio alikuwa anamtumia hela za matumizi mama Lemutuz wakati Lemutuz amemtelekeza hadi akapata kichaa pale Tunduma kwa uchungu wa kupotezewa na mwanaye aliyekuwa anasoma marekani kwa miaka 31Neema Neema umesababisha babu wa miaka 60 kuwa mapepe kushinda Shilole jamanimisifa yote akisikia Neema yuko Dar mzee William anakimbia Dar anaenda kujificha Tunduma kule kwenye choo cha mama ake kwa kuogopa Asije akakuona akaanza kulia kama kawaida yakeNeema Lepointless amezidi kuwa ndondocha huku hadi vitoto vya nursery Tanzania tuna mtu mwenye the smallest kibamiazi au kipoint thanks to Nasra international kwa kuvujisha mchezo mzimadada Neema pls njoo umchukue huyu mzee uliyesema alivunja bikra yake kwako ndio maana hautoki mdomoni kwake
27750553_889755357873530_356163274070909615_n.jpg


- hahahahahaha hebu jipime kwa huyu mchumba wangu wa sasa uone hahahaha ona kitu cha natural hicho, ulipokuwa unambembeleza Davis Mosha nikurudie hukujua kua ni kibamia? hahahahaha umejua sasa baada ya kukukataa hahahaha wewe endeleaa kuwa mke wa pili wa Muisilamu,

- Mke wa pili wa Patric Mwanga mume halali wa Mariam Komanya na watoto wao 2 na wewe ndani, hahahahaha pole sana umeolewa lakini huna amani unafuata fuata ndio Wanawake wenzako watajifunza kutoka kwako kua sio wanaume wote hapa Duniani ni wa kuchezea, hahahahaha

- Le Mchumba anaitwa Super Model Maria,

le Mutuz
 
27858426_890100874505645_6598767427303196256_n.jpg


- hahahaha jipime hapo mama wa watoto 2 na picha za mwaka juzi, hii ni last weeek hahahahaha pole sana umenichafua sana ili wanawake wanikatae lakini unaona katoka yule kaja huyu hahahahaha

le Mutuz
le mutuz achana nao bna . huyu ndo neema?
 
le mutuz achana nao bna . huyu ndo neema?
28377756_894853064030426_1647713000675833766_n.jpg


- Hapana huyu ndiye mchumba wangu wa sasa Super Model Maria, sasa nimemletea Neema my ex Wife ajipime maana anajaribu kutishia nyau na picha zake za zamani sana alipokua mdogo, aweke za sasa ajipime na huyu my babe hahahahaha ameyataka mwenyewe!

le Mutuz
 
We nawe acha ufala sio kila mtu ni x wa Lemutuz,huyo Le Kibamiazi anajishtikizia kila dakika na wakati maisha yake yote ya mitandaoni yani like an old public joker,Mimi ningekuwa huyo mke wake unafikiri ningemuexpose kiasi gani na siri zake zote na miaka yote walioishi?Me Kibamiazi aache kujishtukizia na kumchafua X wake ambaye hana hata time naye.
28377756_894853064030426_1647713000675833766_n.jpg


- Wewe Neema Mwanga Patric achana na mimi nilisha move on wala sikuhitaji, Baba yangu mzazi ana akili sana toka nilipokua na wewe kwenye ndoa aliniambia niuze Shamba na Nyumba yangu kwa sababu aliniambia kuna siku wewe na ndugu zako mtajaribu kuniua kwa sababu ya lile shamba ndilo linalokutesa mpaka leo,

- Niache mimi nina mchumba huyo hapa Super Model Maria, wala hamfanani wewe ni mzee una watoto 2 huyu msichana mbichi sana umeona? hahahahahaha I love it Le Mutuz Mobimba!

le Mutuz
 
28377756_894853064030426_1647713000675833766_n.jpg


- Hapana huyu ndiye mchumba wangu wa sasa Super Model Maria, sasa nimemletea Neema my ex Wife ajipime maana anajaribu kutishia nyau na picha zake za zamani sana alipokua mdogo, aweke za sasa ajipime na huyu my babe hahahahaha ameyataka mwenyewe!

le Mutuz
huyu mbabe wa ukweli sana hongera.nasra umemuacha? halafu story yako nimeipenda sana bro .unajua mwanzoni nilikuwa sikuelewi ila toka nilivokusoma nimekuheshimu ndugu yangu .wewe ni mshindi amini hivo kwa majanga yale usikubali kabisa mtu akupangie maisha yako .lipi hujawai kuona eti?
 
28377756_894853064030426_1647713000675833766_n.jpg


- Wewe Neema Mwanga Patric achana na mimi nilisha move on wala sikuhitaji, Baba yangu mzazi ana akili sana toka nilipokua na wewe kwenye ndoa aliniambia niuze Shamba na Nyumba yangu kwa sababu aliniambia kuna siku wewe na ndugu zako mtajaribu kuniua kwa sababu ya lile shamba ndilo linalokutesa mpaka leo,

- Niache mimi nina mchumba huyo hapa Super Model Maria, wala hamfanani wewe ni mzee una watoto 2 huyu msichana mbichi sana umeona? hahahahahaha I love it Le Mutuz Mobimba!

le Mutuz
huyo mwanga patric si ana mke na watoto uk? amemuoa lini tena neema?
 
Back
Top Bottom