Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

kwa taarifa za Lemutuz ukisoma post zake, wameishi naye 15 good years, wamezaa watoto wale wakubwa tu, walipoachana tu Neema ambaye ni mtoto wa mchungaji amebadili dini kuwa muislam ili aolewe na mume wa mtu kama mke wa pili. hivyo ni second wife wa mume wa mtu kwa sasa. nilikuwa simjui sura, lilivyotajwa jina nikaenda kugoogle tu nikapata jina na sura zake rundo hadi watoto wao na ndio nikakumbuka kumbe ndio yule nilisikia kipindi fulani cha ugomvi wa kina hoyce temu na mange kuwa kuna mfanyakazi wa umoja wa mataifa anashughulikiwa, kumbe le mutuz mkewe ndio alikuwa mfanyakazi wa UN huko New York kama sikosei. ndio huyo kawa second wife with all exposures za kuwa nje ya nchi. nilifanya kazi na wanawake wengi wa kiislam, two of them walipoona waume zao wameongeza mke hawakuweza kuvumilia waliachana, lakini Neema yuko poa tu kuwa second wife.
Duh, acha tu usifanye mchezo kuibiwa mume, ntarud
 
Le kubwaaaa jingaaaaa...le kibamiazzzz
I honestly understand when women complains about kibamia..kwa sababu wao ndio watendwaji wakuu wa either kibamia or muhogo..they are on the receiving side...but mwanaume ambaye ndio mtendaji wa kutumia either kibamia or muhogo sasa anapomcheka mwanaume mwenzio eti ana kibamia au muhogo unatupa wasiwasi umejuaje tofauti ya huo utamu wa muhogo au kibamia...hebu tuelezee kutokana na uzoefu wako mkuu kwa nini hupendi kibamia...au why unapenda limuhogo...
 
I honestly understand when women complains about kibamia..kwa sababu wao ndio watendwaji wakuu wa either kibamia or muhogo..they are on the receiving side...but mwanaume ambaye ndio mtendaji wa kutumia either kibamia or muhogo sasa anapomcheka mwanaume mwenzio eti ana kibamia au muhogo unatupa wasiwasi umejuaje tofauti ya huo utamu wa muhogo au kibamia...hebu tuelezee kutokana na uzoefu wako mkuu kwa nini hupendi kibamia...au why unapenda limuhogo...
we pia una ki lemutuzzz???
 
- Labda niliweke tena sawa, nilipoodoka kwenda USA Marehemu Mama yangu alikua anaishi Dar, Sitakishari alikua na nyumba kubwa na Shamba kubwa sana na alikua ni mfanyakazi wa NBC. Nikiwa USA huku nyuma, aliuza kila kitu na kuamua kuhamia Tunduma kwao, akajenga nyumba nzuri na shamba kama kawaida yake, lakini akaanza kuumwa umwa mara kwa mara akaamua kubadilishana nyumba yeye akachukua ya mjini akampa mtu yake ya shambani. Nikaja kukutana naye baada ya miaka 31 akiwa anaishi mjini Tunduma, nikamisihi kuhama akagoma kabisa kwamba hawezi kuacha makaburi ya wazazi wake pale Tunduma, ok nikamwambia basi hamia Mbeya mjini akagoma, hamia Dar akagoma.

- Maisha yake yalikua ni ya kawaida cause hayakuwahi kuwa makubwa, on my part kwanza nilikua ninashambuliwa sana kwamba sijaenda kumuona so nikaenda kumuona na kuweka hizi picha ambazo mpaka leo sijawahi kuona tatizo lake zaidi ya kushambuliwa sana na watu ambao hawajawahi kuonyesha nyumba walizowajengea wazazi wao.

- Again nilikua Majuu napigania maisha yangu kwanza cuase siwezi kumsaidia anyone kama mimi mwenyewe sipo sawa, sikuwa na makaratasi kwa hiyo sikuweza kurudi, by the time ninarudi nilijaribu as much as I could kumsaidia, miezi 2 ya mwisho wa uhai wake nilikua ninatuma pesa kila wiki kwa ajili ya dawa na Hospitali, nina amani sana na yote niliyomfanyia toka nirudi moja kwa moja kutoka Majuu,

- Nilijifunza siku nyingi sana kuyapuuuza ya walimwengu kwa sababu, siku moja wananitangaza sina pesa ni mdananda tu mjini lakini the next day wanasema hakumjengea mama yake, sasa kama ni kweli ningemjengeaje na mimi ni mdananda tu? hahahahahahaha

- Iangalie vizuri Jamiiforums utaona toka nilipoanza kushambuliwa humu, lakini Social Media ndiyo my job ndiyo my Field wanaonichukia wanaongozwa na Shetani ambaye kila siku anawaahidi kuwa wasubiri kidogo atanipata tu, hahahaha tatizo ninamjua toka nikiwa mdogo yes kuna sehemu ninateleza kama binadam mpungufu, lakini kwenye vita yangu na yeye Shetani anajua kua haniwezi, ndio maana unaona vilio vingi humu ndani ni kwa sababu Shetani anajaribu sana kunitisha na kunishusha kwa kuwatumia wajinga ambao wanahangaika kutafuta my weakness lakini hawanipati, walidhani kale kavideo katanimaliza wamekwama hahahaha sasa wanahangaika tu mara hili mara lile, hapa mmekwama guys hahahahaha!

le Mutuz Mobimba
Nimekuelewa mkuu....Le kokobanga
 
le mutuz nakukubali sana, binafsi yangu najifunza vingi toka kwako i love ur courage, strength confidence N the way u battle with ur rivals ( enemies) anyways ur strong emotionally, N thats the best thing in life, which people doesn't understand, i wonder some people hate u but still watch N comment everything U post, Bitch those are ur fan keep it up bro
 
Wewe ni nani humu upangie watu cha kuuliza? Ni koherehere chako cha kuanika maisha yako mitandaon ndio kimeleta maswali hayo!!

kubwa jinga wewe kama ulijua una makando na aibu ungeona busara kuficha privacy zako!! Idiot kabisa
Maswali mengine bwana! umesoma shule kidogo mkuu? yeye ndo mtoa mada au km vp uwe unajibu wewe basi hayo maswali. Humu Jf hakuna aliye wahi taja umri wake, hata wewe hujawahi na hata ukitaja hakuna anaekujua wala anaejali, we weka mambo yako hapa tudiscuss, uwe unasema kweli au unadanganya utajua mwenyewe. Hata hadithi tulizokuwa tunasimuliwa na wahenga hazikua za kweli lkn tulijifunza kitu. Sasa wewe unauliza umri, unataka ukamwanzishe chekechea?
 
William nakushauri tujadili tu maisha yako ya majuu, tusijadili kuwa una akili kubwa au ndogo, kwasababu tukienda huko binafsi nitatofautiana na wewe. mbona tunakuona una akili ya kawaida au ndogo kulingana na umri wako? kupambana na maisha na kufikia hapo ulipofikia sio akili kubwa, ni uvumilivu tu wa mtu aliyeshindwa maisha, sasa ukianza kujisifu kuwa una akili kubwa aisee unakera kwasababu huwezi kujijua, tunaokuona ndio tunaweza kucomment juu yako. vilevile, kuishi majuu miaka hata 100 sio kwamba unakuwa na akili nyingi, exposure uliyo nayo inaonekana haijakusaidia, badala ya kujijenga kiakili umenia makubwa na kujiona na makuu kulivyo uhalisia wako. sisi wengine hatujaishi miaka mingi kama wewe lakini sometimes unakera kwasababu sio kwamba unaigiza ila unajiweka juu kuliko ulivyo.
Mkuu Bibilia inasema "ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo", km umemfatilia vzr amekubali kuwa alifeli mission zake na sababu kubwa ni akiri yake kubwa. Me nmemsoma toka mwanzo kuwa alitaka kufanya makubwa bila hata support ya mtu lkn akafeli. mf. ubaharia ambao ndo ilikuwa ndoto yake kubwa ikafail, Maisha ya marekani pia akaamua kusepa baada ya kuona hali ishakua tete. Sasa km anajiona yupo hvyo, wewe pia huna sababu ya kumpinga kwakua na wewe ni mwanadamu km yeye na unaona km anavyoona yeye. Sio wote wanaofeli shule kuwa hawana akiri na sio wote wanaofail maisha kuwa hawana akili, inategemea na sababu. Mfano mtu km dr shika watu wakaanza hadi kumdhihaki, kumsemea maneno ya dharau, waandishi wanamuuliza maswali ya kebehi. Sisi ni masikini hadi wa akiri zetu, hatuna subra, ni watu wakukurupuka. Sisemi km nakubaliana na Lemutuz ya kuwa anaakiri kubwa bali nilikuwa natoa angalizo tu kuwa hapa duniani lolote laweza kukutokea, kunawatu wamesoma hadi ulaya wamerudi wamepagawa na hakuna cha maana walichokifanya na accademic wapo vzr na unajiuliza wamepatwa na nini?
 
mkuu tusibishane, mimi ninakufahamu vizuri sana, usifikiri nimekufahamia kwenye mitandao. sasa kulinda heshima yako ngoja tujadili mengine, ila msg yangu ndio ilikuwa hiyo. lakini yote katika yote, still kuna vitu vingi nimejifunza toka kwako hasa kufanya kazi kwa bidii na kuvumilia vitu, pamoja na kwamba kuna mapungufu mengi sana ambayo sihitaji kabisa kujifunza toka kwako kwasababu kuna baadhi ya tabia zako mimi nimeziepuka na zimenipa faida kubwa sana maishani mwangu. ndo maana nilikuwa nasema usisema una akili kubwa, acha watu ndio wakuite una akili kubwa, wewe binafsi huwezi kujijua.

vilevile, unaweza kuwa unamiss point ya definition ya "maisha mazuri", what does maisha mazuri mean to you? ni kutoka na wabebez, kwenda vacation dubai au souz, kuiishi 30 years majuu? kula vizuri kwenye appartment ya kupanga?, definition yako ya maisha mazuri ni ipi? kuishi na mwili mkubwa kama tembo kama unakula garbage kila siku?
Me nafikiri maisha mazuri ni yale ambayo upoconfortable nayo, yaani Elimu, afya, mavazi, malazi na pengine uhuru na usalama wako na mali zako. Mkuu tupe defn nyingine km wewe unayo, maana jamaa yeye hivyo vyote kwake kaona hakuna tatizo lkn wewe umetilia shaka?
 
20180221_235226.png
Neema Ngwilulupi mwanamke pekee anayemtia kibamiazi mzee William wazimumzee William aliwahi kunywa simu ukonga kwa ajili yake,hadi leo analia kwa ajili yake,huyu ndio alikuwa anamtumia hela za matumizi mama Lemutuz wakati Lemutuz amemtelekeza hadi akapata kichaa pale Tunduma kwa uchungu wa kupotezewa na mwanaye aliyekuwa anasoma marekani kwa miaka 31Neema Neema umesababisha babu wa miaka 60 kuwa mapepe kushinda Shilole jamanimisifa yote akisikia Neema yuko Dar mzee William anakimbia Dar anaenda kujificha Tunduma kule kwenye choo cha mama ake kwa kuogopa Asije akakuona akaanza kulia kama kawaida yakeNeema Lepointless amezidi kuwa ndondocha huku hadi vitoto vya nursery Tanzania tuna mtu mwenye the smallest kibamiazi au kipoint thanks to Nasra international kwa kuvujisha mchezo mzimadada Neema pls njoo umchukue huyu mzee uliyesema alivunja bikra yake kwako ndio maana hautoki mdomoni kwake
 
View attachment 699581 Neema Ngwilulupi mwanamke pekee anayemtia kibamiazi mzee William wazimumzee William aliwahi kunywa simu ukonga kwa ajili yake,hadi leo analia kwa ajili yake,huyu ndio alikuwa anamtumia hela za matumizi mama Lemutuz wakati Lemutuz amemtelekeza hadi akapata kichaa pale Tunduma kwa uchungu wa kupotezewa na mwanaye aliyekuwa anasoma marekani kwa miaka 31Neema Neema umesababisha babu wa miaka 60 kuwa mapepe kushinda Shilole jamanimisifa yote akisikia Neema yuko Dar mzee William anakimbia Dar anaenda kujificha Tunduma kule kwenye choo cha mama ake kwa kuogopa Asije akakuona akaanza kulia kama kawaida yakeNeema Lepointless amezidi kuwa ndondocha huku hadi vitoto vya nursery Tanzania tuna mtu mwenye the smallest kibamiazi au kipoint thanks to Nasra international kwa kuvujisha mchezo mzimadada Neema pls njoo umchukue huyu mzee uliyesema alivunja bikra yake kwako ndio maana hautoki mdomoni kwake
wewe unaonekana ndio x wa lemutuz....japo id fake.....

kama mlishaachana for good why bado unamfatilia sana maisha yake ? si umeolewa ? bado unampenda ? mshaachana kula hamsini zako na yeye akapambane huko, alafu kibamia unachokitaja ndio kilikukojolesha 15yrs na ukazaa watoto wawili... jiheshimu wewe madam mtu mzima.
 
Back
Top Bottom