William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Kwahiyo una wachumba wawili mbona umetuwekea wawili tofauti
Mwenyewe nimeshangaaMbona tena mweupe,au camera?
Sawa sawa mcute muoane sasa yasije yakajirudia ya nasra
- Ni huyo huyo mmoja Super Model Maria hizo ni Camera tu, kule anaonekana mweusi huku mweupe lakini ni mweusi sitaki Rangi ya mtume tena siku hizi hahahahah
le Mutuz
Sawa sawa mcute muoane sasa yasije yakajirudia ya nasra
Wallah wallah,kwa hakika Umeipendezesha siku yangu.......Huwa nakuheshimu sana kuniita boya acha tu nikurudishie boya mwenyewe kama mna matatizo yenu na lemutuz pambana na hali yako
Sema kweliWallah wallah,kwa hakika Umeipendezesha siku yangu.......
Endelea kuwakula tu tupo wengi sisi mpaka tunakimbilia kuolewa wake wenza
- Sina haraka hakuna jipya kwangu na yakiharibika nitatafuta mwingine wala sina wasi wasi cause it is my life, ni ajali tu kazini haina maana ukipona unaacha kazi kwa sababu umepata ajali.
le Mutuz
Huyo patric ana mke UK na U S A
- Sina haraka hakuna jipya kwangu na yakiharibika nitatafuta mwingine wala sina wasi wasi cause it is my life, ni ajali tu kazini haina maana ukipona unaacha kazi kwa sababu umepata ajali.
le Mutuz
Sasa wanaishije na mume wao wakati yupo bongo na wao mwingine UK mwingine marekaniKamuoa uke wenza(Neema kawa mke wa pili)
Ahahaa mnamchunguza sana WiFi yenuMbona tena mweupe,au camera?
Huyo patric ana mke UK na U S A
Halafu anaishi bongo sio?
Sasa hapa labda wake hua wanamtembelea mume,kila mtu kwa muda wake au mume anawatembelea wake zake kila mke kwa muda wake[emoji125] [emoji125]Sasa wanaishije na mume wao wakati yupo bongo na wao mwingine UK mwingine marekani
[emoji23] rangi haijifichiAhahaa mnamchunguza sana WiFi yenu
Naapia......hakyanani vile....[emoji1]Sema kweli
Na nilitamani ningekuwa wa Kwanza kukuombea msamaha kule ig,ila ndo hivyo tenaSema kweli
Ahahaa mnamchunguza sana WiFi yenu
Hawa ni watu wawili tofauti angalia picha vizuri na rafiki zangu ni weusi vyangara wanatumia iPhone hata siku moja hawajawahi kuwa weupe lemutuz hapa utatusamehe kwakweli[emoji23] rangi haijifichi
Ila kase ma ni mweusi,hatimae na sisi weusi tumepata mwakilishi[emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naapia......hakyanani vile....[emoji1]
Hawa ni watu wawili tofauti angalia picha vizuri na rafiki zangu ni weusi vyangara wanatumia iPhone hata siku moja hawajawahi kuwa weupe lemutuz hapa utatusamehe kwakweli
Kokobanga inaonekana umetafuna nyapu nyingi sana wewe[emoji2] [emoji2] [emoji2]