Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz please tupe sehemu ya 41 na kuendelea.

- Kule Instagram tumefikia 58 naona waliokua wanaleta sasa wanasua sua maana hamna mashimo ya kushindana nayo walikua wanaleta kila siku kwa sababu walitaka ishambuliwe, lakini ni ngumu sana kushindana na ukweli ndio maana wamekua mabubu ghafla hahahahahhaa!

le Mutuz
 
Le Mutuz please mimi na wengine tunafuatilia stori yako kwa makini. Tunajifunza sana. Mimi huko insta sipo. Tafadhali tutumie sehemu mwingine humu. Vitabu vikitoka tupe tarifa humuhumu pia. Tuvinunue na kusoma.

Tangu nikuone ukihojiwa CLOUDS TV nimekuwa fan wako.
 

- Thanks boss wataleta tu usiwe na wasi wasi, ila thanks kwa kunielewa.

le Mutuz
 
Salute mkuu demu mkali kaenda hewani mnyeo nao anao wa kutosha
Big up sana mkuu unajua kutembea na beat sio kama wazee wengine wanachagua hawa viumbe kama wamefumba macho
 
Aisee le mutuz le akili kubwa Leo nimekukubali ulivobadili gear angani marekani ukamuacha shetani anapambana na hali yake. Walidhani ungebaki marekani uwafulie vyupi.bro unajua yule Dada alikosea sana kwanza yule jamaa hakukutana nae Facebook.mkeo atakuwa alidanganywa saana na watu wabaya.
 

- Thanks boss kwa kunielewa love U!

le Mutuz
 
- Thanks boss kwa kunielewa love U!

le Mutuz
I love u more le mbebe
Unajua hawakujua ungeondoka .walijua ungebaki wale mshahara wako kilaini.ahahaaa le akili kubwa uliwaachiaje majanga ahahaaaa uliwaachia manyoya kuku ukala.
Ila pole kwa yote bro. Ila tulia sasa weka mbebe mmoja ndani ule maisha .ukikosa mbebe nitafute siko vibaya kiivo nalipa lipa japo muhenga
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…