William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Huyu sio yule mwanzo Jackie huyu mwingine le mbebezi unajua kuchagua
Le Mutuz please tupe sehemu ya 41 na kuendelea.
Endelea kuwakula tu
- Jamani Wabebezz wananichagua wenyewe U know they just love me, nikiwaambia umri wangu wanakataa kabisa U know ila nakaribia kuoa tena kuchana na haya mambo U know.
le Mutuz
Endelea kuwakula tu
Le Mutuz please mimi na wengine tunafuatilia stori yako kwa makini. Tunajifunza sana. Mimi huko insta sipo. Tafadhali tutumie sehemu mwingine humu. Vitabu vikitoka tupe tarifa humuhumu pia. Tuvinunue na kusoma.
Tangu nikuone ukihojiwa CLOUDS TV nimekuwa fan wako.
Anakuchora tu huyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]- Thanks boss wataleta tu usiwe na wasi wasi, ila thanks kwa kunielewa.
le Mutuz
Salute mkuu demu mkali kaenda hewani mnyeo nao anao wa kutosha- Hahahaha unahangaika bure dawa yako tayari hahahaha nilikua nakulia timming tu sasa hivi kwishney humdanganyi mtu tena, kama kibamia umeishi nacho toka ukiwa Girlfriend miaka 10 na ndoa miaka 15 hukuiona kukimbia umekijua leo? hahaha sina sababu ya kukuvua nguo ila ulishajivua nguo mwenyewe kuolewa mke wa pili maana yake ni hakuna mwanaume single anayeweza kukuoa miaka 52 watoto 2 kuzaa tena huwezi, ndio maana una hasira sana na ulitegemea maisha yatanishinda bongo ulikosea maana mimi nilipigana na maisha USA mpaka nikakupeleka na ndugu zako 2,
- hahahaha babe wangu huyo jipime hapo jana hiyo maisha yangu yanaendelea wewe endelea kulia lia kwenye mitandao watakuonea huruma watakusaidia nikurudie hahahahahahaha jipime hapo kwa mbebe Lisa Mahaba huyo kitu ya miaka 22 sio miaka 52, hahahahaha I love it
Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Ha ha ha ha ha lemutuz mzee asiye na makuu big up sana endelea kutupa busara zako
- Jamani Wabebezz wananichagua wenyewe U know they just love me, nikiwaambia umri wangu wanakataa kabisa U know ila nakaribia kuoa tena kuchana na haya mambo U know.
le Mutuz
Story bila kapicha hainogi
View attachment 690276
Aisee le mutuz le akili kubwa Leo nimekukubali ulivobadili gear angani marekani ukamuacha shetani anapambana na hali yake. Walidhani ungebaki marekani uwafulie vyupi.bro unajua yule Dada alikosea sana kwanza yule jamaa hakukutana nae Facebook.mkeo atakuwa alidanganywa saana na watu wabaya.- Kule Instagram tumefikia 58 naona waliokua wanaleta sasa wanasua sua maana hamna mashimo ya kushindana nayo walikua wanaleta kila siku kwa sababu walitaka ishambuliwe, lakini ni ngumu sana kushindana na ukweli ndio maana wamekua mabubu ghafla hahahahahhaa!
le Mutuz
Huyu wa hatare balaaEndelea kuwakula tu
Aisee le mutuz le akili kubwa Leo nimekukubali ulivobadili gear angani marekani ukamuacha shetani anapambana na hali yake. Walidhani ungebaki marekani uwafulie vyupi.bro unajua yule Dada alikosea sana kwanza yule jamaa hakukutana nae Facebook.mkeo atakuwa alidanganywa saana na watu wabaya.
I love u more le mbebe- Thanks boss kwa kunielewa love U!
le Mutuz
[emoji15] [emoji15] [emoji15]I love u more le mbebe
Unajua hawakujua ungeondoka .walijua ungebaki wale mshahara wako kilaini.ahahaaa le akili kubwa uliwaachiaje majanga ahahaaaa uliwaachia manyoya kuku ukala.
Ila pole kwa yote bro. Ila tulia sasa weka mbebe mmoja ndani ule maisha .ukikosa mbebe nitafute siko vibaya kiivo nalipa lipa japo muhenga
Ahahaaa vp Mkuu?[emoji15] [emoji15] [emoji15]